Poleni sana wamachinga, hiyo ndiyo CCM haijawahi kubadilika

Poleni sana wamachinga, hiyo ndiyo CCM haijawahi kubadilika

Kwa hili la wamachinga na namna wanavyoendesha shughuli zao ni mtu mjinga pekee ama machinga mwenyewe anayeweza kulitetea. Ni kweli kila mmoja anatakiwa kuwezeshwa kupata riziki yake lakini iwe kwa utaratibu. Mji umekuwa kama vijiji vya ujamaa?
Wapeni maeneo sasa
 
Tatizo wamachinga wanajiweka kwenye kundi la vulnerable kama wasiojiweza wazee na watoto. Wanataka serikali iwapatie sehemu za biashara, iwape mitaji, wasifuate sheria zozote, wasilipe kodi , hata akiwa na uwezo wa kukodi fremu hataki
 
Acha awapange wakae kwa mpango

Kama lawama iwe lawama lakini jambo

Litimie

Ova
Sawa kabisa, wamechafua mitaa ya kila mikoa.

Tunataka mitaa iliyopangika na misafi hata sisi watembea kwa miguu tuweze kutembea kwa uhuru kwenye njia zetu za watembea kwa miguu na sio kutembea kwenye njia za magari.

Wamachinga ni wale wanaotembeza bidhaa kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine na sio hao walio wengi waliojenga vibanda, hao ni wafanya biashara na siyo wamachinga.
 
Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.

Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.

Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .

View attachment 1949458
kwaio unataka kusemaje sasa?
 
Hiyo ndo Serikali ya Awamu ya 6 inatarajia kuingia Awamu 7
 
Anayepashwa kulaumiwa ni marehemu Magufuli kwa kuwadanganya kuwa hawawezi kuguswa na mtu yeyote kisa walimchagua.
Kwani before mkuu walikuwa wanafanyaje?
Tusimlaumu JPM,hizo ni propaganda za CCM kuwatumia vijana,maana tangu awamu ya nne hakukuwa na uamzi wa kuwasaidia zaidi ya wao kupiga pesa kupitia ujenzi wa Machinga Complex. Tangu lini machinga umjengee Golofa la nini wakati yeye anatandika chini au kibanda.
CCM wajitafakari na sera zao na hii 2025 itawaumbua sana.
 
Kwani before mkuu walikuwa wanafanyaje?
Tusimlaumu JPM,hizo ni propaganda za CCM kuwatumia vijana,maana tangu awamu ya nne hakukuwa na uamzi wa kuwasaidia zaidi ya wao kupiga pesa kupitia ujenzi wa Machinga Complex. Tangu lini machinga umjengee Golofa la nini wakati yeye anatandika chini au kibanda.
CCM wajitafakari na sera zao na hii 2025 itawaumbua sana.
Upo sahihi kabisa kiongozi
 
Sasa walidanganywa kivipi? Wakati wa uhai wake alijitahidi kuwawekea mazingira bora ya biashara na wao wakawa na furaha tele.

Unajua Mleta Mada samehe saba mara sabini, ondosha chuki.
 
Sasa walidanganywa kivipi? Wakati wa uhai wake alijitahidi kuwawekea mazingira bora ya biashara na wao wakawa na furaha tele.

Unajua Mleta Mada samehe saba mara sabini, ondosha chuki.
Kamwe siwezi kuwasamehe hao wasaliti wacha wateseke
 
Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.

Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.

Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .

View attachment 1949458
CCM ni cancer, usishangae 2025 wakawaambia warudi
 
Back
Top Bottom