Poleni sana wamachinga, hiyo ndiyo CCM haijawahi kubadilika

Poleni sana wamachinga, hiyo ndiyo CCM haijawahi kubadilika

Nimeona kikundi kidogo alichokuwa anaongea nacho samia huko marekani nadhani tuweni wawazi kuwa hao sio wafanyabiashara ila ni wadau wachache sana. Sijaona tija kwenye hilo

Pia nimeona picha ya samia imewekwa huko marekani kama bango kuna umuhimu gani kwani wa marekani hiyo picha inawaletea nini??
Hii billboard inatusaidia nini kama nchi na bajeti yake inatokea wapi BUNGE LINAJUA HIVI SHIDA TUNAZOPATA HUKU ZIMETATULIWA!?

AKINA DIAMONDI HUWA WANAWEKA HIZO BILLBOARD ILI WAUZE NYIMBO ZAO

JE? KUWEKWA HUKO PICHA YA RAISI WETU INAMUSAADA GANI
KWANINI WASIWEKE PICHA ZA VIVUTIO VYA UTALII KWANI PICHA YAKE RAISI INAMUSAADA GANI KUWEKWA KAMA PICHA YA BILLBOARD HUKO MAREKANI
Upo sawa na kama taifa naona bado kuna sehemu tunakwama sana au kwa kujua au kwa kutojua.

Kipindi hiki taifa limekwama pande zote kiuchumi baada ya system yoote ya wawekezaji kuvurugwa na utawala wa awamu iliyopita.
 
Wanataka kupata faida huku wakikwepa gharama zingine imagine kariakoo wao hawalipi Kodi ya jengo, na gharama zingine wao ni kupanga tu popote pale na wanapata faida ila Kodi hawaki kulipa pili wanachafua mazingira jiji zima linaonekana chafu vibanda vya hovyo kila corner
Hapo anayebeba lawama zoote ni serikali kwa kuwadanganya ili waichague ccm
 
safi sana, ukiwapa mwezi hawaondoi,
zoezi liwe endelevu waje na Mvuti wasafishe hawa walioziba njia
 
Nimeona kikundi kidogo alichokuwa anaongea nacho samia huko marekani nadhani tuweni wawazi kuwa hao sio wafanyabiashara ila ni wadau wachache sana. Sijaona tija kwenye hilo

Pia nimeona picha ya samia imewekwa huko marekani kama bango kuna umuhimu gani kwani wa marekani hiyo picha inawaletea nini??
Hii billboard inatusaidia nini kama nchi na bajeti yake inatokea wapi BUNGE LINAJUA HIVI SHIDA TUNAZOPATA HUKU ZIMETATULIWA!?

AKINA DIAMONDI HUWA WANAWEKA HIZO BILLBOARD ILI WAUZE NYIMBO ZAO

JE? KUWEKWA HUKO PICHA YA RAISI WETU INAMUSAADA GANI
KWANINI WASIWEKE PICHA ZA VIVUTIO VYA UTALII KWANI PICHA YAKE RAISI INAMUSAADA GANI KUWEKWA KAMA PICHA YA BILLBOARD HUKO MAREKANI
Mkuu inaonyesha wewe ni mlalamishi pro max na maishani mwako huwa huna jema
 
Hapo anayebeba lawama zoote ni serikali kwa kuwadanganya ili waichague ccm
Sio kuwadaganya jiwe alizingua kuwaruhusu kufanya biashara kokote na hii ilikuwa ina madhara mengi, wakati wa kikwete hakukuwa na machinga wa hovyo, so kuwaacha tu kuendelea kuharibu kisa uccm inachafua miji na kupunguza walipa kodi
 
Kwa hili MAKALA namlaumu sana anatakiwa kufukuzwa maana kama wametoa mwezi halafu unavunja usku wa manane na mali za watu unachukua!

Mkuu wa mkoa aliambiwa na Rais watoeni kwa staha

kwako DADA UMMY sasa una la kuongea sema na wewe TUKUSKIE au CCM ni ileile
Hawa watu wanajifichia kwenye ujinga kama huo huo uliousema"tutafutie maeneo".Mji lazima upangwe bro na kusimamia staha.hawa watu wako kila mahala kwa hapa Bongo walishafikia kubaya,ukipita posta asubuhi moshi unafuka watu wanakangaa mihogo katika njia za waenda kwa miguu.Masoko yapo,maeneo yapo.lazima kuwe na utaratibu.mimi Binafsi nampongeza Makala amesubutu.

Mmachinga ni mfanyabiashara ya kutembea tembea.huyu wa kuwa na mahali flan pa kufanyia biashara siyo mmaching,huyo anatakiwa awe mahali palipopangwa kwa shughuli hiyo.
 
Mtu anayetetea machungu hajielewi imagine hawalipi Kodi, wanaziba barabara na mitaro wanachafua mji na wako kila corner halafu waachwe in the name of wanyonge, pia hao machinga walikuwa wanapata faida kubwa vile hawalipi Kodi, mambo ya OSHA na Kodi kibao. Mimi natamani jiji zima lisafishwe barabara ziwe clean na waende sehemu zilizotengwa kihalali
Tatizo sio kuwatoa bali mnawapeleka wapi?

Hizo sehemu mnapozipeleka kuna wateja watao waingizia kipato cha kujitosheleza kwa mahitaji yao ya msingi na familia zao.

Kuhusu maduka sijajua haya maduka ya GSM na mengine makubwa, ila maduka karibia yote pale KKoo hawalipi kodi inavyotakiwa.

Magu hakuwadanganya alishawahi kusema, tena mbele ya wakuu wa mkoa kwamba mkiwatoa hawa wawekeni kwenye mazingira ya uhakika ili waweze kufanya biashara zao.
 
Ni sahihi kuwatimua na kuvunja hayo mauchafua yao hapo barabarani lakini sio sahihi kuwavunjia na mali zao zikiwa ndani mama ultimatum waliyopewa haikuwa imetimia.
Nashangaa baadhi ya wachangiaji hawaoni kuwa ili ni Tatizo ishu sio kuvunja ishu kwenda saa nane usiku au saa 9 kama wanavyodai na kuchukua mali zao au walikuwa ni vibaka
 
Hawa wapumbavu wanaipenda sana CCM na Jiwe, walisahau kuwa jiwe aliwatumia kisiasa tu ili kuficha dhambi zake.
Machinga wanachafua jiji.
 
Wewe
Hawa watu wanajifichia kwenye ujinga kama huo huo uliousema"tutafutie maeneo".Mji lazima upangwe bro na kusimamia staha.hawa watu wako kila mahala kwa hapa Bongo walishafikia kubaya,ukipita posta asubuhi moshi unafuka watu wanakangaa mihogo katika njia za waenda kwa miguu.Masoko yapo,maeneo yapo.lazima kuwe na utaratibu.mimi Binafsi nampongeza Makala amesubutu.

Mmachinga ni mfanyabiashara ya kutembea tembea.huyu wa kuwa na mahali flan pa kufanyia biashara siyo mmaching,huyo anatakiwa awe mahali palipopangwa kwa shughuli




Wewe hata umachinga haujui subiri hayo majimbo yote yanarudi upinzani sio muda mrefu tunasubiri kuona ccm inawafia

Mkononi machinga walikuwa wanaendesha maisha vizuri
 
Kwa hili MAKALA namlaumu sana anatakiwa kufukuzwa maana kama wametoa mwezi halafu unavunja usku wa manane na mali za watu unachukua!

Mkuu wa mkoa aliambiwa na Rais watoeni kwa staha

kwako DADA UMMY sasa una la kuongea sema na wewe TUKUSKIE au CCM ni ileile
Si lazima walichosema hao walalamikaji kiwe kweli. Mara nyingi kutokana na hali zetu na mfumo kandamizi na usiojitambua, huwa tunalazimika kuwa wabishi tu. Kuna uwezekano mkubwa tu walishapewa muda. Sasa jiulize, ni nani katika hali kama hiyo atakubali kutoka hapo? Hapo ni maisha ya watu. Na hao wajasiriamali wanazuga kwa kuyasema hayo, ukweli ni kwamba hawawezi kuwaacha wabomoaji salama. Ndiyo maana watu wa dhuluma wanakuja kwa kushitukiza.

Serikali ishayakoroga haya, kuyatibu inahitaji akili mpya. Keshokutwa utasikia wamewaruhusu tena,wanajaa. Inabaki kuwa kama kumkimbiza kanga kichakani.
 
hao wamachinga ama wafanyabiashara wenye kutumia ivo vibanda huku store wana mzigo wa kutosha.. mtu ana mtaji wa m15 jamani tangu lini ni machinga.. wanazuga na vitambukisho vya jeipm huku wenzao wenye mafrem wanakomaa na tozo.. kuni zinawaka mpaka posta samora avenue wanakaanga mihogo ..ikiachwa hio in a span ya mwaka mmoja tu dar nzima itakua haina tofauti na kwetu zinziligi
 
Hawa wapumbavu wanaipenda sana CCM na Jiwe, walisahau kuwa jiwe aliwatumia kisiasa tu ili kuficha dhambi zake.
Machinga wanachafua jiji.
Jiwe anashida gani hapo huoni sikuhizi mpaka tuna ndege ya raisi anakwenda anakopenda

Yeye matajiri wana muogonza badala aongeze yeye hiyo ya kuwatoa imetokana na nguvu ya matajiri kwa sababu hana haja na masikini machinga anawaona kama watu ambao hafai kufanya biashara

Tunamsubiri 2025 ccm lazima itapoteza majimbo yote ya mjini

Wanamuomboleza RAIS MAGUFULI wamevunjiwa huko marekani kwan kuna vya bure

Machinga utafukiri sio watanzania matajiri wanahonga masikini anaenda kuvunjiwa vitu vyake nadhani jiulize kama ndugu au mama ako kavunjiwa kibanda cha kulushis familia

Nadhani ccm kipindi hiki imepoteza mwelekeo huwezi kutengeneza tabaka la watu wachache wa kufaidi matunda ya nchi hilo picha la samia huko nje ya nchi la nini ? Mbona hatujaona la kenyatta , ksgame, museveni ,

Au rais mwingine africa nadhani kunashida mahali mabeberu wanapenda rais ambaye hajari wanainchi wake

Nimeona huko marekani akiongea na kikundi kidogo cha wasera maana mkutano wa wafanyabiashara au wawekezaji utaukua tu kiukumbi chenyewe ni kidogo sana

Hii inatupa taswira halisi kuwa kunashida mahali

Ile ROYAL TOUR HIVI KUNA MTU HAJUI TANZANIA KUNANINI?
 
Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.

Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.

Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .

View attachment 1949458
Inasikitisha sana. Ila SCANIA imepata shavu. Yani ITV wameitangaza bure.
 
Si lazima walichosema hao walalamikaji kiwe kweli. Mara nyingi kutokana na hali zetu na mfumo kandamizi na usiojitambua, huwa tunalazimika kuwa wabishi tu. Kuna uwezekano mkubwa tu walishapewa muda. Sasa jiulize, ni nani katika hali kama hiyo atakubali kutoka hapo? Hapo ni maisha ya watu. Na hao wajasiriamali wanazuga kwa kuyasema hayo, ukweli ni kwamba hawawezi kuwaacha wabomoaji salama. Ndiyo maana watu wa dhuluma wanakuja kwa kushitukiza.

Serikali ishayakoroga haya, kuyatibu inahitaji akili mpya. Keshokutwa utasikia wamewaruhusu tena,wanajaa. Inabaki kuwa kama kumkimbiza kanga kichakani.

Kwanini uwavunjia unataka wakafe maana hao sio matajiri sasa kama kila kitu kimevunjwa

Wanaishi je? Inamaana wewe unakaa upande wa serikali utakuwa unashida kwenye ubongo

Au umepata uteuzi ndo maana unapopo yaani unaropoka ropoka sana!

Kwani hilo eneo linawafanya nini

Machinga walikuwa wanajipatia maisha yao bila shida

Subiri haya majimbo yote ya majiji na mijini yote niya upinzani

Ccm inarudi kule kule unatesa wananchi kisa umerithi urais kwa kufa rais waliomtegemea


Unataka kuniambia kuwa matajiri wanao iendesha serikali ndio wataiweka madarakani


Hao wamachinga ndio watanzania wengi tajiri huwezi mkuta huko mamalishe na machinga ndio wanateseka
 
Back
Top Bottom