Poleni sana wamachinga, hiyo ndiyo CCM haijawahi kubadilika

Poleni sana wamachinga, hiyo ndiyo CCM haijawahi kubadilika

Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.

Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.

Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .

View attachment 1949458
Wapinzani wa nchi hii ni wapuuzi tu. Kabla ya zoezi hili mlisema Wamachinga ni Mzigo, leo mnawaonea huruma. Ovyo kabisaaa
 
Wapinzani wa nchi hii ni wapuuzi tu. Kabla ya zoezi hili mlisema Wamachinga ni Mzigo, leo mnawaonea huruma. Ovyo kabisaaa
Kuwa mwana ccm inahitaji kujitoa akili
 
Si mlisema ninyi ni wanyonge, sasa ni muda wa kunyongwa....
 
Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.

Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.

Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .

View attachment 1949458
Hata angekuwepo ni muda tu ungewadia wangewaondoa ccm hawatofautiani sana na Manara.
 
Makala anajua analofanya

Muda utasema
Muda gani Tena huo Mama D?! Nchi ndiyo hivyo tena...Binafsi siku hizi naishi kwa hofu tupu...yaani ninachosikia mitaani sijawahi kuona ni manung'uniko kwa kwenda mbele...
 
Muda gani Tena huo Mama D?! Nchi ndiyo hivyo tena...Binafsi siku hizi naishi kwa hofu tupu...yaani ninachosikia mitaani sijawahi kuona ni manung'uniko kwa kwenda mbele...

Muda utasema 1954
 
Nakubaliana na wewe bila shaka yoyote.
Lkn hao walizoeshwa na kupewa uhakika kuwa hakuna atakaye wagusa kisa waliichagua ccm.

Leo hii ccm hiyo hiyo inawageuka na kuwaachia simanzi
Ukiona ccm inawanyenyekea wananchi ujue ni ajili ya kuepusha vurugu ili waendelee kutawala lakini kuhusu kura hawahofii wanajua wataiba.
 
Kila mtu ana mahitaji ya msingi ya familia, so kutokufata taratibu za mipango miji na kuchafua miji hyo haukubaliki, halafu masoko yako mengi huko ndio ilikuwa sehemu Yao nakumbuka enzi za mkwere machinga walikuwa hawauzi popote migambo ilifanya kazi yao, so machinga wasiji one vulnerable kwa kutaka huruma kila mwananchi anapambana na Hali yake ya maisha, na hamna kitu kirahisi duniani.
Ninawasiwasi na akili yako pia unachomiliki huja miliki kihalali utakuwa mwizi umachinga hakuna mtu anayeuchagua ila ni maisha tu

Mtu yeyeto tajiri ambaye hakurithi utajiri lazima alianza kama machinga serikali haijawafanyia sawa hata kidogo


Subiri 2025 majimbo yote ya mijini na kwenye majiji yanaenda upinzani kila hisi hiki kitu kili wabeba sana ccm

Wanainch wengi masikini ndio huwa wanapiga kura hawa matajiri wanaongoza serikali sasa ngoja tuone maana tayari wameshajiunga na ccm wanatesa wanainch huwezi kumvunjia mtu sehem anayojipatia kipato huu ni uhuni

Tanzania imepoteza mwelekeo hayo maeneo wanayotaka kuwapeleka mitaji wamewapa na hizo tozo mtu unamnyanyasa kiasi hicho

Nadhani Magufuli ataka kwenye mioyo wa watu alitengeneza hali ambayo mwenye nacho alikuwa anafaidi sawa na ambaye hana lakini sasa matajiri wanaongoza serikali


Huku watu wanapeleka picha Zao marekani sijajua SURA YA RAISI KWENDA MAREKANI KWANI SURA YAKE NI KIVUTIO MBONA HII INACHEKESHA SIJAJUA HASA WASHAURI WAKE AKILI HAWANA


SUBIRI 2025 TUTAKUTANA NAYE LABDA HANGONBEI TUMEMCHOKA NA KUTUMBUA SASA HATUMBUI MAANA ALIKUWA ANATAKA MSOGALISM IRUDI VUZURI SASA IMEREJEA

NA HII NDO IMEMSHAULI AFUKUZE MACHINGA KAMA WAKAKIMBIZI ILA MUNGU NI TUMAINI LETU
 
Mtanikumbuka..........

Humu JF kuna watu wanafiki, kipindi kule Mwendazake alipowaruhusu wamachinga,walimponda humu sana, halafu leo wanamsema Mwendazake mbaya.

Leo ukizisoma comments zao unahisi labda watu wawili tofauti.

Erythrocyte kaka naona yale maombi yako ya machinga watolee mijini kipindi cha Mwendazake akiwa rais yamesika, ila navyo kujua leo utakuwa upande wa wamachinga (threads na comments zako ninazo).
Suala ni ccm kuwa ndumila kuwili kwani mwendazake hakuwa ccm?
 
Muda gani Tena huo Mama D?! Nchi ndiyo hivyo tena...Binafsi siku hizi naishi kwa hofu tupu...yaani ninachosikia mitaani sijawahi kuona ni manung'uniko kwa kwenda mbele...
Ccm ni ile ile.. hamna jipya
 
Back
Top Bottom