Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Ila lazima ubinadamu uwepo, kosa walifanya wenyewe ccm.Wapinzani tunazingua kila kitu siasa, Wamachinga hawafai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila lazima ubinadamu uwepo, kosa walifanya wenyewe ccm.Wapinzani tunazingua kila kitu siasa, Wamachinga hawafai
Mkuu, mie nina maoni tafauti. Ni zaidi ya wiki sasa tokea serikali imewatahadharisha wafanyabiashara ndogondogo kuhusu maeneo ya kufanyia biashara zao. Kumbuka reli ya kati ilijengwa kwa mjeledi na Mjerumani vinginevo.............Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.
Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.
Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .
View attachment 1949458
Acha awapange wakae kwa mpango
Kama lawama iwe lawama lakini jambo
Litimie
Ova
Nakubaliana na wewe bila shaka yoyote.Mkuu, mie nina maoni tafauti. Ni zaidi ya wiki sasa tokea serikali imewatahadharisha wafanyabiashara ndogondogo kuhusu maeneo ya kufanyia biashara zao. Kumbuka reli ya kati ilijengwa kwa mjeledi na Mjerumani vinginevo.............
Huo ndiyo ukweli najua unauma
aibu kwa kweli! kama serikali ilikuwa inachukua 20 za vitambulisho na bado wanalipiaga ushuru kwa kweli wamewafanyia kitendo cha kikatili sana! ni aibu!Nimeshangazwa kupitia UTV channel mkuu wa Wilaya anahojiwa asubuhi kwa kile kikichotokea usiku wa manane anadai haielewi na hana taarifa.Huyo ndo mkuu wa Wilaya ambaye tukio limefanyika ndani ya wilaya yake huku yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ukinzi na usalama wa wilaya ! angekuwa Magu angeshakula kichwa mara tu alipotoka kwenye camera
Kama Hawafai NANI ALIWARUHUSU KUFANYA BIASHARA POPOTE NA AKASEMA WASIBUGUZIWE je Alikuwa MPINZANI?Wapinzani tunazingua kila kitu siasa, Wamachinga hawafai
Makala anajua analofanya
Muda utasema
Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.
Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.
Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .
View attachment 1949458
Naunga mkono hoja...Mtu anayetetea machungu hajielewi imagine hawalipi Kodi, wanaziba barabara na mitaro wanachafua mji na wako kila corner halafu waachwe in the name of wanyonge, pia hao machinga walikuwa wanapata faida kubwa vile hawalipi Kodi, mambo ya OSHA na Kodi kibao. Mimi natamani jiji zima lisafishwe barabara ziwe clean na waende sehemu zilizotengwa kihalali
Wanataka kupata faida huku wakikwepa gharama zingine imagine kariakoo wao hawalipi Kodi ya jengo, na gharama zingine wao ni kupanga tu popote pale na wanapata faida ila Kodi hawaki kulipa pili wanachafua mazingira jiji zima linaonekana chafu vibanda vya hovyo kila cornerTatizo wamachinga wanajiweka kwenye kundi la vulnerable kama wasiojiweza wazee na watoto. Wanataka serikali iwapatie sehemu za biashara, iwape mitaji, wasifuate sheria zozote, wasilipe kodi , hata akiwa na uwezo wa kukodi fremu hataki