Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Nilivyoona tu mbele kuna misikio wa waidadi na FEI MIUNO nikajua hii sareMitanzania inacheza mpira wa kijinga sana.
🤣🤣🤣🤣Kama imeleta kiasi cha kutosha kupita stake we chimba harafu Lala mbele😄
Basi akili kumkichwa mhindi Huwa hafai ni wewe tu chekeka mawazo🤣🤣🤣🤣
Tatizo mkeka ukiisha salama kuna em za kutosha
PoaBasi akili kumkichwa mhindi Huwa hafai ni wewe tu chekeka mawazo
Algeria ametoa au ulicash out
ZIDI ya Ethiopia.Sio kitu rahisi kuamini ili ilikuwa ni dua zangu kwenye mkeka wangu.
Ambaye mpaka sasa hivi kabakia Algeria naombeni ushauri wa mikeka je ni cashout?
Mie Tanzania na Ghana sikuweka kabisaSio kitu rahisi kuamini ili ilikuwa ni dua zangu kwenye mkeka wangu.
Ambaye mpaka sasa hivi kabakia Algeria naombeni ushauri wa mikeka je ni cashout?