Poleni wana Simba SC Wenzangu kwa Goli lile la 'Kubabatiza' na Kupaki Kwao 'Kontena', ila Mwanaume 'Hatairiwi' mara mbili

Poleni wana Simba SC Wenzangu kwa Goli lile la 'Kubabatiza' na Kupaki Kwao 'Kontena', ila Mwanaume 'Hatairiwi' mara mbili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nilipumzika kidogo kama kwa miaka Mitatu kuwa katika Kamati ya Utamaduni ( Ufundi wa Jadi ) wa Timu yangu pendwa ya Simba SC ila kwa 'Dharau' zinazoendelea hapa mjini sasa 'Mwanamume' narejea Kazini na leo GENTAMYCINE nasema Kitakachowapata Yanga SC huko Kigoma tarehe 25 July, 2021 kitakuwa ni Fundisho kwa wengine wote.

Uongozi wa Simba SC naomba katika Jopo langu mniletee Mzee Hassan Dalali, Mafia wangu wa Mipira Kassim Dewji, Yule Bibi wa Pemba mwenye Ziwa Moja, Yule Babu yetu wa Morogoro ambaye hupanda Milima ya Uluguru kwa Baiskeli bila Kunyonga Pedeli na Yule Mtoto Mdogo wa Mbeya ili Kazi yangu ( yetu ) iwe rahisi.

Si Mzee wao wa Ikwiriri anasema ana Watu? Sasa Mimi GENTAMYCINE namjibu kuwa sina tu Watu bali nina Mafundi na Magwiji na namuomba huyo Mzee tukutane Mkoani Kigoma ndipo atatujua kuwa Tanzania nzima Bingwa wa Kuroga, Fitina na Umafia Michezoni ni Simba SC.

Nina hasira ambayo haina mfano sasa.
 
Nilipumzika kidogo kama kwa miaka Mitatu kuwa katika Kamati ya Utamaduni ( Ufundi wa Jadi ) wa Timu yangu pendwa ya Simba SC ila kwa 'Dharau' zinazoendelea hapa mjini sasa 'Mwanamume' narejea Kazini na leo GENTAMYCINE nasema Kitakachowapata Yanga SC huko Kigoma tarehe 25 July, 2021 kitakuwa ni Fundisho kwa wengine wote.

Uongozi wa Simba SC naomba katika Jopo langu mniletee Mzee Hassan Dalali, Mafia wangu wa Mipira Kassim Dewji, Yule Bibi wa Pemba mwenye Ziwa Moja, Yule Babu yetu wa Morogoro ambaye hupanda Milima ya Uluguru kwa Baiskeli bila Kunyonga Pedeli na Yule Mtoto Mdogo wa Mbeya ili Kazi yangu ( yetu ) iwe rahisi.

Si Mzee wao wa Ikwiriri anasema ana Watu? Sasa Mimi GENTAMYCINE namjibu kuwa sina tu Watu bali nina Mafundi na Magwiji na namuomba huyo Mzee tukutane Mkoani Kigoma ndipo atatujua kuwa Tanzania nzima Bingwa wa Kuroga, Fitina na Umafia Michezoni ni Simba SC.

Nina hasira ambayo haina mfano sasa.
Mzee ashakili utopolo akikaa vibaya kwa Simba ataezekwa za kutosha kwa mamtiki hii mzee ashaona mbali hawa utopolo huko kigoma wanaenda kulia na kusaga meno
 
Nilipumzika kidogo kama kwa miaka Mitatu kuwa katika Kamati ya Utamaduni ( Ufundi wa Jadi ) wa Timu yangu pendwa ya Simba SC ila kwa 'Dharau' zinazoendelea hapa mjini sasa 'Mwanamume' narejea Kazini na leo GENTAMYCINE nasema Kitakachowapata Yanga SC huko Kigoma tarehe 25 July, 2021 kitakuwa ni Fundisho kwa wengine wote.

Uongozi wa Simba SC naomba katika Jopo langu mniletee Mzee Hassan Dalali, Mafia wangu wa Mipira Kassim Dewji, Yule Bibi wa Pemba mwenye Ziwa Moja, Yule Babu yetu wa Morogoro ambaye hupanda Milima ya Uluguru kwa Baiskeli bila Kunyonga Pedeli na Yule Mtoto Mdogo wa Mbeya ili Kazi yangu ( yetu ) iwe rahisi.

Si Mzee wao wa Ikwiriri anasema ana Watu? Sasa Mimi GENTAMYCINE namjibu kuwa sina tu Watu bali nina Mafundi na Magwiji na namuomba huyo Mzee tukutane Mkoani Kigoma ndipo atatujua kuwa Tanzania nzima Bingwa wa Kuroga, Fitina na Umafia Michezoni ni Simba SC.

Nina hasira ambayo haina mfano sasa.
Tukiroge kitufe cha log in cha ma Moderator kisifanye kazi, maisha bila ban yawezekane.
JamiiForums Kwanza Simba baadaye
 
Mtu mwenye hasira ya kisasi huwa haongei wala kuwataja wenzake, yeye anatenda kimyakimya.

Game iliyopita ulisema umeshamaliza kazi mapema, Mwisho wa siku ni morali na kujitoa kwa wachezaji wa Yanga ndio kumeleta faida.

Ili Simba ishinde ni suala la wachezaji kujitoa na kuacha kuwadharau Yanga kuwa wao wameokota tu wachezaji, hii mikwara ya nje ya uwanja ya kurogana mbona ipo miaka yote inasaidia kutuburudisha tu sisi mashabiki.
 
Mzee ashakili utopolo akikaa vibaya kwa Simba ataezekwa za kutosha kwa mamtiki hii mzee ashaona mbali hawa utopolo huko kigoma wanaenda kulia na kusaga meno
Si wanataka 'Kurogana' Mkuu? Sasa wenye Kazi zetu 'tukuka' hata Mshana Jr anasubiri tumerejea na huko Kigoma Yanga SC wanaenda Kukutana na 'Dhahama' ambayo kamwe hawakuwahi Kuiota Kukutana nayo.
 
Yani toka tuwapige kile kimoja cha ndoa,akili zenu zimekuwa kama genereta lililoishiwa mafuta[emoji28][emoji28] kila kukicha mnaweweseka!
Hamjui hata mtumie kifaa gani kujiliwadha
 
Si wanataka 'Kurogana' Mkuu? Sasa wenye Kazi zetu 'tukuka' hata Mshana Jr anasubiri tumerejea na huko Kigoma Yanga SC wanaenda Kukutana na 'Dhahama' ambayo kamwe hawakuwahi Kuiota Kukutana nayo.
We unaongelea habari ya Mshana jr, haya njoo kichwa kichwa uone Kama Hilo govi halikatwa kwa msumeno bila ganzi hapo Lake Tanganyika stadium
 
Nilipumzika kidogo kama kwa miaka Mitatu kuwa katika Kamati ya Utamaduni ( Ufundi wa Jadi ) wa Timu yangu pendwa ya Simba SC ila kwa 'Dharau' zinazoendelea hapa mjini sasa 'Mwanamume' narejea Kazini na leo GENTAMYCINE nasema Kitakachowapata Yanga SC huko Kigoma tarehe 25 July, 2021 kitakuwa ni Fundisho kwa wengine wote.

Uongozi wa Simba SC naomba katika Jopo langu mniletee Mzee Hassan Dalali, Mafia wangu wa Mipira Kassim Dewji, Yule Bibi wa Pemba mwenye Ziwa Moja, Yule Babu yetu wa Morogoro ambaye hupanda Milima ya Uluguru kwa Baiskeli bila Kunyonga Pedeli na Yule Mtoto Mdogo wa Mbeya ili Kazi yangu ( yetu ) iwe rahisi.

Si Mzee wao wa Ikwiriri anasema ana Watu? Sasa Mimi GENTAMYCINE namjibu kuwa sina tu Watu bali nina Mafundi na Magwiji na namuomba huyo Mzee tukutane Mkoani Kigoma ndipo atatujua kuwa Tanzania nzima Bingwa wa Kuroga, Fitina na Umafia Michezoni ni Simba SC.

Nina hasira ambayo haina mfano sasa.
Kua mpole chief kigoma tutamalizana nao vyema waache waseme!!!
 
Nilipumzika kidogo kama kwa miaka Mitatu kuwa katika Kamati ya Utamaduni ( Ufundi wa Jadi ) wa Timu yangu pendwa ya Simba SC ila kwa 'Dharau' zinazoendelea hapa mjini sasa 'Mwanamume' narejea Kazini na leo GENTAMYCINE nasema Kitakachowapata Yanga SC huko Kigoma tarehe 25 July, 2021 kitakuwa ni Fundisho kwa wengine wote.

Uongozi wa Simba SC naomba katika Jopo langu mniletee Mzee Hassan Dalali, Mafia wangu wa Mipira Kassim Dewji, Yule Bibi wa Pemba mwenye Ziwa Moja, Yule Babu yetu wa Morogoro ambaye hupanda Milima ya Uluguru kwa Baiskeli bila Kunyonga Pedeli na Yule Mtoto Mdogo wa Mbeya ili Kazi yangu ( yetu ) iwe rahisi.

Si Mzee wao wa Ikwiriri anasema ana Watu? Sasa Mimi GENTAMYCINE namjibu kuwa sina tu Watu bali nina Mafundi na Magwiji na namuomba huyo Mzee tukutane Mkoani Kigoma ndipo atatujua kuwa Tanzania nzima Bingwa wa Kuroga, Fitina na Umafia Michezoni ni Simba SC.

Nina hasira ambayo haina mfano sasa.
Mpuuzi tu wewe
 
Popoma hii ID imetoka kwenye bani naona umeanza kelele,
 
Mzee Mpili mechi ya Kigoma ameshaimaliza siku tano zilizo isha, kwa hyo mkikutana kazi yenu kubwa itakuwa kuanza kuchomoa magoli
 
Mzee ashakili utopolo akikaa vibaya kwa Simba ataezekwa za kutosha kwa mamtiki hii mzee ashaona mbali hawa utopolo huko kigoma wanaenda kulia na kusaga meno
Popoma.
 
Nilipumzika kidogo kama kwa miaka Mitatu kuwa katika Kamati ya Utamaduni ( Ufundi wa Jadi ) wa Timu yangu pendwa ya Simba SC ila kwa 'Dharau' zinazoendelea hapa mjini sasa 'Mwanamume' narejea Kazini na leo GENTAMYCINE nasema Kitakachowapata Yanga SC huko Kigoma tarehe 25 July, 2021 kitakuwa ni Fundisho kwa wengine wote.

Uongozi wa Simba SC naomba katika Jopo langu mniletee Mzee Hassan Dalali, Mafia wangu wa Mipira Kassim Dewji, Yule Bibi wa Pemba mwenye Ziwa Moja, Yule Babu yetu wa Morogoro ambaye hupanda Milima ya Uluguru kwa Baiskeli bila Kunyonga Pedeli na Yule Mtoto Mdogo wa Mbeya ili Kazi yangu ( yetu ) iwe rahisi.

Si Mzee wao wa Ikwiriri anasema ana Watu? Sasa Mimi GENTAMYCINE namjibu kuwa sina tu Watu bali nina Mafundi na Magwiji na namuomba huyo Mzee tukutane Mkoani Kigoma ndipo atatujua kuwa Tanzania nzima Bingwa wa Kuroga, Fitina na Umafia Michezoni ni Simba SC.

Nina hasira ambayo haina mfano sasa.
Kimono cha nguruwe kinakusumbua na mimba changa.
 
Back
Top Bottom