Poleni Watanzania, kumbe Corona imegonga hadi Ikulu na kumuathiri mwanaye Rais

Poleni Watanzania, kumbe Corona imegonga hadi Ikulu na kumuathiri mwanaye Rais

Corona ipo ila ni vijimafua visivyo na madhara hata chembe kwa binadamu kwa ufupi havina uwezo hata wa kuua panya
 
Sasa wewe kwani kina siku yoyote Magufuli alisema haamini kama corona ipo! ?

Nyie ndo wale wale tu!! Na uhuru naona awafungie tu na Internet maana porojo nyingi sana humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ikulu iko wapi?
Hata chato alipo sasa hivi, si mnasema ni ikulu..!?
Nadhani wewe ndie pengine hujui, idiot thrice!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Acha ungese
 
Makungwi kama nyie Saiz mkitoa uzi hatucomment
 
Uingereza ilimpata hadi waziri mkuu lakini wakenya hamkuzuia waingereza kuingia Kenya.
Watanzania wanajua Corona ipo na tunaishi kwa kuchukua tahadhari,hakuna mtanzania aliesema kwamba Corona haipo,msije kuleta mambo ambayo hayapo.

Umeona raia gani wa UK wakiingia Kenya kiholela, nyie kama tungecheka nanyi mngetuambukiza balaa lenu, Watanzania 78 kwa siku moja wote corona halafu walikua wanang'ang'ania kuachiwa waingie Kenya, bora hivyo walishtukiwa na kuachwa warudi kwao huko muambukizane mpaka muelewane wenyewe.

Kwa sasa hivi hamna cha undugu wala nini, kila mtu ahangaikie kwao huko, nimependa sana hotuba ya waziri wenu wa afya, naona akili imewaingia, sasa madereva wa kila nchi wanafika mpakani na kubadilishana, gari linapulizwa kabisa kote, funguo zinaoshwa, yaani tuonane kwa misingi hiyo. Hapo hutaskia tukilalamika, ilmradi mnabaki huko huko na sisi madereva wetu huku huku.
Tulikua na kesi za madereva wetu wakiingia Tanzania wanageuza na corona. Sasa ni mwendo wa kila mtu kwao na shida zake na mahangaiko yake. Mkidumisha hivyo halafu msikie tukiendelea kuwasema basi ujue tutakua na matatizo kwenye akili zetu.

Nimeona ndio hatua ambazo zimechukuliwa na majirani zenu wote, mbaki ndani kwenu na balaa lenu.
 
Umeona raia gani wa UK wakiingia Kenya kiholela, nyie kama tungecheka nanyi mngetuambukiza balaa lenu, Watanzania 78 kwa siku moja wote corona halafu walikua wanang'ang'ania kuachiwa waingie Kenya, bora hivyo walishtukiwa na kuachwa warudi kwao huko muambukizane mpaka muelewane wenyewe.

Kwa sasa hivi hamna cha undugu wala nini, kila mtu ahangaikie kwao huko, nimependa sana hotuba ya waziri wenu wa afya, naona akili imewaingia, sasa madereva wa kila nchi wanafika mpakani na kubadilishana, gari linapulizwa kabisa kote, funguo zinaoshwa, yaani tuonane kwa misingi hiyo. Hapo hutaskia tukilalamika, ilmradi mnabaki huko huko na sisi madereva wetu huku huku.
Tulikua na kesi za madereva wetu wakiingia Tanzania wanageuza na corona. Sasa ni mwendo wa kila mtu kwao na shida zake na mahangaiko yake. Mkidumisha hivyo halafu msikie tukiendelea kuwasema basi ujue tutakua na matatizo kwenye akili zetu.

Nimeona ndio hatua ambazo zimechukuliwa na majirani zenu wote, mbaki ndani kwenu na balaa lenu.
Unaeongea sijui kama lunch Leo umekula,,,,Lockdown sio rahisi kama KUNYA
 
Umeona raia gani wa UK wakiingia Kenya kiholela, nyie kama tungecheka nanyi mngetuambukiza balaa lenu, Watanzania 78 kwa siku moja wote corona halafu walikua wanang'ang'ania kuachiwa waingie Kenya, bora hivyo walishtukiwa na kuachwa warudi kwao huko muambukizane mpaka muelewane wenyewe.

Kwa sasa hivi hamna cha undugu wala nini, kila mtu ahangaikie kwao huko, nimependa sana hotuba ya waziri wenu wa afya, naona akili imewaingia, sasa madereva wa kila nchi wanafika mpakani na kubadilishana, gari linapulizwa kabisa kote, funguo zinaoshwa, yaani tuonane kwa misingi hiyo. Hapo hutaskia tukilalamika, ilmradi mnabaki huko huko na sisi madereva wetu huku huku.
Tulikua na kesi za madereva wetu wakiingia Tanzania wanageuza na corona. Sasa ni mwendo wa kila mtu kwao na shida zake na mahangaiko yake. Mkidumisha hivyo halafu msikie tukiendelea kuwasema basi ujue tutakua na matatizo kwenye akili zetu.

Nimeona ndio hatua ambazo zimechukuliwa na majirani zenu wote, mbaki ndani kwenu na balaa lenu.
Afu kingine nan kawaambia corona inasambaa usiku ad muwahi kulala kama kuku,,,je corona ni chinjachinja,au ni au kibaka.? Uo ni umama kuwashauri chukueni za magu Ila msichanganye na za kwenu maana mnawaz MATOPE
 
Kaka ebu tuweni wakweli... lockdown Kenya inawasaidia nini? Au mnatafuta misaada Kwa wazungu?
Umeona raia gani wa UK wakiingia Kenya kiholela, nyie kama tungecheka nanyi mngetuambukiza balaa lenu, Watanzania 78 kwa siku moja wote corona halafu walikua wanang'ang'ania kuachiwa waingie Kenya, bora hivyo walishtukiwa na kuachwa warudi kwao huko muambukizane mpaka muelewane wenyewe.

Kwa sasa hivi hamna cha undugu wala nini, kila mtu ahangaikie kwao huko, nimependa sana hotuba ya waziri wenu wa afya, naona akili imewaingia, sasa madereva wa kila nchi wanafika mpakani na kubadilishana, gari linapulizwa kabisa kote, funguo zinaoshwa, yaani tuonane kwa misingi hiyo. Hapo hutaskia tukilalamika, ilmradi mnabaki huko huko na sisi madereva wetu huku huku.
Tulikua na kesi za madereva wetu wakiingia Tanzania wanageuza na corona. Sasa ni mwendo wa kila mtu kwao na shida zake na mahangaiko yake. Mkidumisha hivyo halafu msikie tukiendelea kuwasema basi ujue tutakua na matatizo kwenye akili zetu.

Nimeona ndio hatua ambazo zimechukuliwa na majirani zenu wote, mbaki ndani kwenu na balaa lenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiswahili ni janga kuu Kenya

Eti "mtoto wa kuzaa....."

Magufuli amesema "mtoto wangu wa kumzaa..."

Ni bora mbaki kwenye kijaluo na kikikuyu tu.
 
Ni Mwendo wa Nyungu Mwanzo Mwisho mpaka kieleweke.
 
Umeona raia gani wa UK wakiingia Kenya kiholela, nyie kama tungecheka nanyi mngetuambukiza balaa lenu, Watanzania 78 kwa siku moja wote corona halafu walikua wanang'ang'ania kuachiwa waingie Kenya, bora hivyo walishtukiwa na kuachwa warudi kwao huko muambukizane mpaka muelewane wenyewe.

Kwa sasa hivi hamna cha undugu wala nini, kila mtu ahangaikie kwao huko, nimependa sana hotuba ya waziri wenu wa afya, naona akili imewaingia, sasa madereva wa kila nchi wanafika mpakani na kubadilishana, gari linapulizwa kabisa kote, funguo zinaoshwa, yaani tuonane kwa misingi hiyo. Hapo hutaskia tukilalamika, ilmradi mnabaki huko huko na sisi madereva wetu huku huku.
Tulikua na kesi za madereva wetu wakiingia Tanzania wanageuza na corona. Sasa ni mwendo wa kila mtu kwao na shida zake na mahangaiko yake. Mkidumisha hivyo halafu msikie tukiendelea kuwasema basi ujue tutakua na matatizo kwenye akili zetu.

Nimeona ndio hatua ambazo zimechukuliwa na majirani zenu wote, mbaki ndani kwenu na balaa lenu.
Yule jamaa alorekodi wale wachina polisi wakaanza kumsaka alikuwa anarekodi akiwa uwanja wa ndege wa hong kong au ?
Halafu kwa taarifa yako huku Tanzania hali ni salama kabisa,Arusha hadi Nairobi ni masaa sita tu,hivi unakwamba wapi ?
 
risala za rambi rambi kwa Mh. dkt J.P Maghufuli kwa kumpoteza dada yake.

20200517_225941.jpg
 
Rasi Magufuli amekiri kwamba mwanaye aligunduliwa kuwa na corona, na amepona, nahisi hadi hapo Watanzania mtaanza kuamini hiki kitu kipo na sio propaganda za wazungu au mambo ya mapaipai na sijui oili ya gari,mtaanza kuchukua tahaadhari, rais mwenyewe kimeingia kwake ikulu, na hapo ingekua kwa mataifa mengine yeye kama baba wa nyumba angeingia karantini kama kwa namna moja au nyingne alikaribiana na mwanaye.

Nampa hongera kwa kutoficha hili na kulisema wazi lisije kutoka na wengine.
======================

Tanzania President John Pombe Magufuli has revealed that one of his two children who had contracted the novel Coronavirus is now healthy and doing push ups.

President Magufuli said that the child, whom he did not name, was locked up in their room using homemade remedies to treat the condition and now they are back on their feet.

Nina mtoto wangu alipata Corona, mtoto wa kuzaa mimi, amejifungia kwenye chumba akaanza kujitibu, akanywa malimau na tangawizi, amepona yuko mzima sasa anapiga push up,” said President Magufuli during a church service.

The president, who has drawn criticism for being dismissive about the coronavirus outbreak and even ordered a three-day prayer period, has also hinted at reopening schools and allowing tourists back.

Magufuli while still insisting that Coronavirus is like any other disease, says that he will not allow the virus, which has shutdown the whole world and brought economies to their knees – to take over his country.

Hatuwezi kubali Corona itawale, Mungu wetu atatawala… tumekua na magonjwa kama ukimwi…,” he said.

Magufuli reveals his child who had Coronavirus is 'healed and doing push ups' - Citizentv.co.ke
Nakuona mama la mama" Vipi umekula lakini? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom