Poleni Watanzania, kumbe Corona imegonga hadi Ikulu na kumuathiri mwanaye Rais

Poleni Watanzania, kumbe Corona imegonga hadi Ikulu na kumuathiri mwanaye Rais

"Duniya ina ajabu ... Tanzania wana Magufuli lakini amewaachiya uhuru , Kenya tuko na Uhuru lakini ndio katupiga magufuli ..." πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wakenya wanatumiwa vibaya na mabeberu.
jana dereva wa kiganda aliepimwa kenya na kukutwa na korona alivofika kwao ug amepimwa tena na kukutwa hana korona!

Wakenya acheni kutumika!"

Hata wale madereva 78 kutoka tz waliosema wanakorona ni uzushi mtupu!

Kuishi na jirani mnafiki huku mkilazimisha undugu ni shida saaana!

Bora magufuli ajenge ukuta kwenye mpaka na kenya"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rasi Magufuli amekiri kwamba mwanaye aligunduliwa kuwa na corona, na amepona, nahisi hadi hapo Watanzania mtaanza kuamini hiki kitu kipo na sio propaganda za wazungu au mambo ya mapaipai na sijui oili ya gari,mtaanza kuchukua tahaadhari, rais mwenyewe kimeingia kwake ikulu, na hapo ingekua kwa mataifa mengine yeye kama baba wa nyumba angeingia karantini kama kwa namna moja au nyingne alikaribiana na mwanaye.

Nampa hongera kwa kutoficha hili na kulisema wazi lisije kutoka na wengine.
======================

Tanzania President John Pombe Magufuli has revealed that one of his two children who had contracted the novel Coronavirus is now healthy and doing push ups.

President Magufuli said that the child, whom he did not name, was locked up in their room using homemade remedies to treat the condition and now they are back on their feet.

β€œNina mtoto wangu alipata Corona, mtoto wa kuzaa mimi, amejifungia kwenye chumba akaanza kujitibu, akanywa malimau na tangawizi, amepona yuko mzima sasa anapiga push up,” said President Magufuli during a church service.

The president, who has drawn criticism for being dismissive about the coronavirus outbreak and even ordered a three-day prayer period, has also hinted at reopening schools and allowing tourists back.

Magufuli while still insisting that Coronavirus is like any other disease, says that he will not allow the virus, which has shutdown the whole world and brought economies to their knees – to take over his country.

β€œHatuwezi kubali Corona itawale, Mungu wetu atatawala… tumekua na magonjwa kama ukimwi…,” he said.

Magufuli reveals his child who had Coronavirus is 'healed and doing push ups' - Citizentv.co.ke
Corona ilipomshika Mme wenu Boris Johnson, hakushangilia au kushangaa,ila kwa Magufuli,imekuwa Headline kwenu!
 
Corona ilipomshika Mme wenu Boris Johnson, hakushangilia au kushangaa,ila kwa Magufuli,imekuwa Headline kwenu!

Leo madereva Watanzania 51 wamegunduliwa na corona, na wote walikua wanang'ang'ania kuingia Kenya, juzi waligunduliwa 78.
Mnataka kutuletea balaa lenu hilo, mbaki huko huko muambukizane hadi mtie akili, yaani mpaka sasa kuna baadhi yenu bado mnafikiri hiki kirusi kimebuniwa dhidi ya Watanzania pekee yenu.

Rais wenu anasema madereva waachiwe waingie kwenye mataifa majirani kisa wamejiendesha wenye kilomita 1,000
 
Leo madereva Watanzania 51 wamegunduliwa na corona, na wote walikua wanang'ang'ania kuingia Kenya, juzi waligunduliwa 78.
Mnataka kutuletea balaa lenu hilo, mbaki huko huko muambukizane hadi mtie akili, yaani mpaka sasa kuna baadhi yenu bado mnafikiri hiki kirusi kimebuniwa dhidi ya Watanzania pekee yenu.

Rais wenu anasema madereva waachiwe waingie kwenye mataifa majirani kisa wamejiendesha wenye kilomita 1,000
Vipi kuhusu kuombwa rushwa ya ksh 3,000 ili wasiandikiwe cheti cha corona, hili unaliongeleaje?
Mmejaa rushwa hadi kwenye ugonjwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu kuombwa rushwa ya ksh 300 ili wasiandikiwe cheti cha corona, hili unaliongeleaje?
Mmejaa rushwa hadi kwenye ugonjwa!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sina habari na hilo na kama kweli linatendeka itakua upumbavu uliopitiliza, haya mapolisi yatatumaliza huwa washenzi sana nahisi kuyachukia, kuruhusu Watanzania waingie Kenya kiholela yaani ndio kwisha yetu, Watanzania washajichokea kisa umaskini na kuamua wakujifia ajifie na wa kupona apone huko mbele, tusifike huko jameni.
 
Sina habari na hilo na kama kweli linatendeka itakua upumbavu uliopitiliza, haya mapolisi yatatumaliza huwa washenzi sana nahisi kuyachukia, kuruhusu Watanzania waingie Kenya kiholela yaani ndio kwisha yetu, Watanzania washajichokea kisa umaskini na kuamua wakujifia ajifie na wa kupona apone huko mbele, tusifike huko jameni.
Wakenya siku zote ni walafi, mmekuwa na tabia ya kuwaandikia vyeti vya corona wasio na ksh. 2,000 hadi 3,000. Na mwenye nayo anapita na hana corona.
Kwa tabia hii inanipa wasiwasi kuwa takwimu za madereva wetu ni za kupika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya siku zote ni walafi, mmekuwa na tabia ya kuwaandikia vyeti vya corona wasio na ksh. 2,000 hadi 3,000. Na mwenye nayo anapita na hana corona.
Kwa tabia hii inanipa wasiwasi kuwa takwimu za madereva wetu ni za kupika.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ulafi wa hela ni kitu cha kawaida kwa binadamu na ndio maana unaona ndugu zako hawa wanaacha kwao huko wanakuja kutuomba omba pesa kwenye barabara zetu

 
Wakenya siku zote ni walafi, mmekuwa na tabia ya kuwaandikia vyeti vya corona wasio na ksh. 2,000 hadi 3,000. Na mwenye nayo anapita na hana corona.
Kwa tabia hii inanipa wasiwasi kuwa takwimu za madereva wetu ni za kupika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya ukiwa na kitu kidogo cha kupeana unaweza fanya chochote.

 
Rasi Magufuli amekiri kwamba mwanaye aligunduliwa kuwa na corona, na amepona, nahisi hadi hapo Watanzania mtaanza kuamini hiki kitu kipo na sio propaganda za wazungu au mambo ya mapaipai na sijui oili ya gari,mtaanza kuchukua tahaadhari, rais mwenyewe kimeingia kwake ikulu, na hapo ingekua kwa mataifa mengine yeye kama baba wa nyumba angeingia karantini kama kwa namna moja au nyingne alikaribiana na mwanaye.

Nampa hongera kwa kutoficha hili na kulisema wazi lisije kutoka na wengine.
======================

Tanzania President John Pombe Magufuli has revealed that one of his two children who had contracted the novel Coronavirus is now healthy and doing push ups.

President Magufuli said that the child, whom he did not name, was locked up in their room using homemade remedies to treat the condition and now they are back on their feet.

β€œNina mtoto wangu alipata Corona, mtoto wa kuzaa mimi, amejifungia kwenye chumba akaanza kujitibu, akanywa malimau na tangawizi, amepona yuko mzima sasa anapiga push up,” said President Magufuli during a church service.

The president, who has drawn criticism for being dismissive about the coronavirus outbreak and even ordered a three-day prayer period, has also hinted at reopening schools and allowing tourists back.

Magufuli while still insisting that Coronavirus is like any other disease, says that he will not allow the virus, which has shutdown the whole world and brought economies to their knees – to take over his country.

β€œHatuwezi kubali Corona itawale, Mungu wetu atatawala… tumekua na magonjwa kama ukimwi…,” he said.

Magufuli reveals his child who had Coronavirus is 'healed and doing push ups' - Citizentv.co.ke
Ulifurahia kuingia Ikulu Tz, sasa ipo jokoni kwa Kenyatta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom