Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
-
- #61
Wewe ni mjinga alafu mse...ng. Yaani hujui mzunguko wa pesa ni muhimu kwa uchumi wa taifa! Kama hauna wateja biashara itakuwa hai?Ujinga gani? ilihali kila kukicha naona masoko yanapanuka kwa wingi wa wafanyabiashara.
Kwamba mtu akifunga bishara chanzo Ni Magufuli?wacheni maneno ya kuokoteza vijiweni
hapana mkuu dokument zipo mkuu ni wewew tu kuomba na utapewa maana ni haki yako kikatiba!Kwa iyo unakiri kuwa mmeshindwa kujibu hoja za lissu??? Sawasawa????
Mihogo inalika Dsm. Kama vile kipindi cha njaa.Mkuu acha kujitoa ufahamu kwa jina la "siasa"...mbona bei ya fungu la muhogo haishuki bei na uhitaji umekuwa mkubwa hasa baabda ya wanaume kuanza kuitafuna kama dozi ya 2 X 3?
Kwa hiyo wanachi kuishi maisha magumu huku hata kupata mlo ni shida sio ajenda? Au sababu mnawajibu waweke grisi?ote tunaishi maisha ya chini lakini palipo na ukweli lazma usemwe now,mara ya kwanza tulikuwa tunataka mtuambie nini mtafanya mkipewa nchi na siyo kueneza uongo sasa baada ya kusema nini mtafanya ndo mmepoteza kabisa matumaini ya kupata 20% ya kura za wenye kujitambua maana agenda ni moja tu kuuza nchi na kurudisha power ya aliye nyuma yenu
Acha ubwege wew Kibwetele, hizo documents zisioneshwe bungeni kule waje wakuoneshe wakati huu wa Kampeni tena ni feki hizo ni documents za lumumba hukobaada ya makamanda kuonyeshwa "dokumenti" za bunge zinazohusu kupitishwa kwa bajeti za ujenzi wa Chato international airport, ununuzi wa ndege, ujenzi wa bwawa la kufua umeme la JK Nyerere nk sasa mmeamia kwenye "hela mfukoni" hahaha
pesa imesinyaa lakini siyo kwa kiasi tunachoaminishwa,fedha ipo na watu wanatumia fedha,na hata hela iliyotumika yote ipo kwenye miradi mikubwa ambayo mingi ishaaanza kurudisha fedha na mingine soon itaanza kutoa fedha katika kipindi kifupi kama Air tanzania,stiglor gorge n.k
Siwezi kujibu mtu ambae hana akili ambae anaifananisha Tanzania na Ufaransa.Kakuuliza Swala la Msingi Sana ungemjibu Vizuri
NB, Kama unalo hilo jibu
Kwenye makalio ya mama yako.Wapi uko
mkuu matusi ya nini tushindane kwa hoja mbona matusi na vurugu ni imekuwa kama lugha yenu mamaWewe ni mjinga alafu mse...ng. Yaani hujui mzunguko wa pesa ni muhimu kwa uchumi wa taifa! Kama hauna wateja biashara itakuwa hai?
Kusema document ni feki ilikuwa inatosha sana mkuu, sasa hayo matusi ya "bwege" na kibwetele yanongeza nini? Nikiwa mdogo niliwahi kuwa mvuvi, wavuvi huwa wana matusi bora kabisa sasa haya ya kwako ni ya kienyeji sana mbona?Acha ubwege wew Kibwetele, hizo documents zisioneshwe bungeni kule waje wakuoneshe wakati huu wa Kampeni tena ni feki hizo ni documents za lumumba huko
sekta binafsi hyo ipi iliyouliwa tutajie tupe na evidence ndo maana ya great thinkers huwa hatukaririshwi mzeePunguzeni ujinga... Style yenu ya kuendesha miradi mikubwa inaonesha nyie ni washamba tu... Mnaua sekta binafsi kwa akili zenu zilizojaa uji uji!!
Mambo ya hovyo ya ccm tumechoka tunataka mabadiliko.Unazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.
Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?
Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.
Sasa kama huna huruma kwa mama ntilie amabae wateja wake ni fundi ujenzi ambao sasa hawana kazi mitaani,maana watu hawajengi,hakuna mzunguko wa pesa mkubwa wewe si mpumbavu.mkuu matusi ya nini tushindane kwa hoja mbona matusi na vurugu ni imekuwa kama lugha yenu mama
Matusi hayasaidi lolote hapaKwenye makalio ya mama yako.
Wewe upo vizuri?Kama ni magumu labda kwako tu
Mzee chama cha mapinduzi ni chama kinachozingatia sheria na mgawanyo wa madaraka ndani ya chama, siyo chama chenu ambacho kinamilikiwa na mtu mmoja msemaji yeye kila kitu yeye.View attachment 1580410
Pole pole asiwaone waTanzania ni wajinga sana... Yeye anagombea nafasi ipi??
Tunataka tusikie kutoka kwa mgombea wao make yeye ndo so far kaiharibu nchi kwa umbumbumbu wake!!!
Hauziwi mtu mbuzi kwenye gunia...!!
28.10.2020 tunajambo letu...