johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hotuba imejitosheleza.......maswali ya nini?Muulize jamaa yako Pasco waandishi wa habari siku hizi vipi? Wanakosa maswali ya kumuuliza mwenezi wa Ccm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hotuba imejitosheleza.......maswali ya nini?Muulize jamaa yako Pasco waandishi wa habari siku hizi vipi? Wanakosa maswali ya kumuuliza mwenezi wa Ccm?
swali la Mjumbe kutoka Songwe uliona lilivyojibiwa na Mwenyekiti wa CCM ??Hiyo barua fake iliandikwa hapo Ufipa!
Lakini imeakisi ukweli maana ndicho magamba wanachofanya kwa Sasa......Hiyo barua fake iliandikwa hapo Ufipa!
Hata kutaka ufafanuzi wa kugombea uongozi wa vyombo vya dola? Angekuwepo Pasco angeuliza maana ni mdadisi sana. Angeuliza kwa manufaa ya wana Jf tuelewe vizuri.Hotuba imejitosheleza.......maswali ya nini?
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole ataongea na waandishi wa habari kuanzia saa 10.00 jioni.
Kikubwa ni nidhamu ya kuzingatiwa kwa watia nia ya kugombea Ubunge na udiwani kwa tiketi ya chama tawala yaani chama dume CCM. Baba Lao.
Mkutano unafanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
Updates;
Maendeleo hayana vyama!
Mh. Polepole ameanza kwa kueleza mafanikio waliyoyapata katika kutafuta Wagombea wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea wa Urais wa Zanzibar.
Kwa niaba ya Mwenyekiti wa CCM Polepole amewashukuru Wanadodoma kwa kuwapokea vyema katika mji huo na Wajumbe wote waliofika katika mji huo kuwa na wakati mzuri sana na kuwafanya kumaliza mkutano wao kwa amani na mshikamano mkubwa.
Sambamba na hilo, Polepole amewashukuru Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa kwa kumpa dhamana Mwenyekiti wa CCM Dkt John Pombe Magufuli kugombea kwa kipindi kingine ili akaikamilishe kazi aliyoianza katika muhula wa kwanza.
Zaidi ya hayo, Polepole amewashukuru wasimamizi wa Uchaguzi kuanzia kwenye Halmashauri kuu kwa kazi waliyoifanya kuanzia kwenye mchakato wa kumpata Mgombea urais Zanzibar na Wasimamizi wa uchaguzi waliowezesha kumpata Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
Aidha, Polepole ameeleza kuwa kutokana na kuwapo kwa maswali mbalimbali yapo mambo mbalimbali ambayo chama kingependa kutoa ufafanuzi baada ya Uchaguzi wa Wagombea nafasi za Urais kukamilika.
Huu ni woga wa CCM Mpya. Zoezi la kutia nia ubunge na udiwani limepooa kupitia CCM Mpya, linafanywa kwa kificho gizani na kutojiamini kisa na sababu mazingatio yanayotolewa Dodoma kuwa wanaogopa makundi.
13 Julai 2020
Dodoma, Tanzania
Polepole : Mabango au Vipeperushi viwe vya ktk nguzo au mtandaoni haviruhusiwi na CCM Mpya
Watia nia ktk kutaka kuteuliwa kugombea uongozi wa nafasi vyombo vya dola kupitia CCM Mpya wasomewa makatazo ikiwemo vipeperushi ktk mitandao ya kijamii
Je Gwajima ameshafeli vigezo, masharti na makatazo kwa watia nia CCM kuanza kampeni kinamna?