#COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

#COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

Katika maisha ya mwanadamu ukishaitwa mwizi hilo jina halitafutika milele hata kama utaenda kutubu na kuacha wizi hilo jina halitafutika,chuki,roho mbaya na kutopendana katika maisha yetu ndo kinachotawala na sijui kama hivi vyote vinasaidia au vinafaida,uzima wa mtu kichwani anaujua Mungu na si mwanadamu.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
umeshamaliza au itaendelea??
 
Umevaa barakoa au unabwata tu hovyo mitandaoni?
Hahahaha! Hayo madawa unayosifia yote yametokana na mimea. Huwezi kuwa mbunifu kwa kukopi kopi.
Hakuna anayejionyesha kwenye suala la kupambana na Uviko-19. Kenya chanjo zimefika kitambo lakini bado maambukizi yako pale pale, sasa hapa kinachoendelea ni biashara tu.
Kwa hiyo huo uganga wenu wa kienyeji, mnataka kufanya Biashara pia?!
 
Kwa hiyo huo uganga wenu wa kienyeji, mnataka kufanya Biashara pia?!
Punguani wenzako wako bize wanazika majeneza.

Ona hii.....
IMG-20210617-WA0005.jpg
 
Polepole usidhani jeshi ni muarubaini wa kila kitu, nchi nyingi zilizo tawaliwa kijeshi zina skendo kibao licha ya jeshi kukamata dola.
 
sidhani kama huyu mtu ni mzima kichwani.
Ndiyo ana akili timamu labbda wewe ndiyo huna akili timamu. Dawa zote zina viambata vya miti shamba ndiyo maana hata Wazungu wako unaowaabudu walipanda miti ya mikwinini kuel tanga kwa ajili ya kutengeneza dawa ya malaria.

Kwa hiyo unachosema ni kweli kwa sababu kuna wataamu wa wanaojua miti ambayo ni dawa na wakikutanishwa watatoka na dawa bora sana kwa hiyo usiwakatishe watu tamaa. Hayati, Baba wa Taifa Mwal.

Nyerere alishawahi kusema anayezadharau utamaduni wake ni mwendawazimu na hajui asili yake. Wazungu wakoloni wakati wanatutawala waliziita tamaduni zetu za kishenzi ili watukatishe tamaa na kutugawa kama leo wanavyotugawa ili tuone kila kitu chao ni bora sana na cha kwetu ni dhaifu.
 
Ndiyo ana akili timamu labbda wewe ndiyo huna akili timamu. Dawa zote zina viambata vya miti shamba ndiyo maana hata Wazungu wako unaowaabudu walipanda miti ya mikwinini kuel tanga kwa ajili ya kutengeneza dawa ya malaria...
huu ugoro ulioandika hapa ndiyo umesababisha mkamzika Kinjekitile wenu huko Chato..

Chief inatakiwa wewe na Polepole mfahamu kuwa Covid-19 sio local problem ni global problem na itatatuliwa globally.
 
Na ndiyo sababu sijasema mioyo yetu!. Inaonekana wewe umevurugwa hadi hujitambui tena.
ungekuwa na akili usinge sema hivi
Watanzania tumfuate
ungetumia neno Watanzania naomba tumfuate, ila kwasababu uwezowako wakuelewa ni mdogo nakusamehe
 
Na ndiyo sababu sijasema mioyo yetu!. Inaonekana wewe umevurugwa hadi hujitambui tena.

mtu wenu kaishaoza sasa hivi kwahiyo tulieni. nchi inaendeshwa kistaarabu sasa. Alikula nyungu na mapapai mwishoe ameishia wapi...? Pathetic
 
mtu wenu kaishaoza sasa hivi kwahiyo tulieni. nchi inaendeshwa kistaarabu sasa. Alikula nyungu na mapapai mwishoe ameishia wapi...? Pathetic
pumbavu wewe shetani. mwisho wako ni mbaya kulioko unaowadhihaki maana huna akili wala Mungu
 
Hivi polepole in kijana, mtu wa makamo au mzee? Mnisaidie hata kwa Dr. Bashiru. Naomba anayejua umri wake tafadhari, kabla sijajikita kwenye hoja yake.
 
Huyu bado yuko zama za jiwe za kati. Watu wenye mawazo kama haya dunia ya leo ni tatizo sana.
 
Huyu nae.Yeye si aache kunywa ARV na ajikite kunywa za mimea made in Tanzania ?Naona bado wanaishi na fikra Jiwe. Ila hii dunia jamani. Nikikumbuka kauli za A boy from Geita nabaki kucheka tu.
 
Polepole Corona is not a local problem, wake up, it's a global problem, and therefore it must be solved globally.
Solved globally by who? White people as usual? Stupid black people, no wonder we are still the scam of the earth. You should educate yourself 1st madhara ya covid vaccines kabla hamjaanza kupayuka...nachukia sana ujinga tulionao watu weusi. Information is readily available lakini mamtu ka mapunguani vile vichwani.
 
Back
Top Bottom