Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu aliyetengeneza hili tangazo amekosa picha nyingine ya PolePole? Anamuweka anachekelea kiasi hicho wakati tuna msiba?Mkutano na waandishi wa habari utaanza saa 8 mchana kutokea ofisi ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba
View attachment 1728666
Wameshaanza kuchomekeana.Hii picha aliyoweka haikufaa kwa kipindi hiki tupo katika majonzi makubwa. Mbona anacheka au amefurahi kitu gani. Tafafhali wahusika waibadili inatuletea taharuki.
Ngoja wanaCCM asilia wamfurushe kama mbwa maana alikalia Majungu na kujipendekeza.Huyu naye kiburi kwisha
He looks like a secondary school boy, how old is he?Haina haja! Abaki na unafiki, chuki na njaa zake.
Tunahitaji utaifa wetu, ambao hawezi kuurudisha.
Akafie mbaliNgoja wanaCCM asilia wamfurushe kama mbwa maana alikalia Majungu na kujipendekeza
Designer angalau basi ungetafuta picha ya jamaa akiwa hajakenua sana; Sasa hii ni kama amefurahia yaliyotokea (Ni kama, siyo amefurahia, zingatia neno kama kwenye usomaji)Mkutano na waandishi wa habari utaanza saa 8 mchana kutokea
Wako busy wanagawAna vyeo na kuchech account zao huko ulaya zitskavyojaa manoti next week. All this should be handled by tha army and acting President and not Polepole. Just to confuse the people. Am for Mwinyi as next President why not, he has cleaned Zanzibar na uozo wots.Hata wale vibaraka wa Lumumba wameshindwa kuweka picha kulingana na muktadha.
Sawa.Mkutano na waandishi wa habari utaanza saa 8 mchana kutokea ofisi ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba
Anataka kuelezea taratibu za mazishi akiwa kama MC?Mkutano na waandishi wa habari utaanza saa 8 mchana kutokea ofisi ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba
Hata Yesu alipokufa kuna watu walicheka sembuse Magufuli? Hata Mbowe wenu akifa wapo watakaocheka. That's life1. Mosi; picha haiendani na wakati tulio nao kama Taifa.
2. Pili; afunge mdomo wake maana Taifa hili limefika hapa kutokana na watu wa aina yake. Sikuwaza hata siku moja watu watafurahia kifo cha kiongozi yeyote mkubwa hadharani. Haya ni matokeo ya kupanda bangi na kutegemea kuvuna mahindi.
3. Tatu; nilidhani huu ni muda wa kufanya toba kama Taifa, na siyo wa kiki kwenye vyombo vya habari
It is madness!!!Huyu hana jipya,aliiagiza Corona iondoke Tanzania au ibaki Tanzania kwa heshima lakini Corona ikaamua kumpuuza na imemuua Kayafa!
View attachment 1728670
Wengine washaanza kupiga Simu kwa waganga kulinda viti vyao. Wachumia tumbo.Wako busy wanagawAna vyeo na kuchech account zao huko ulaya zitskavyojaa manoti next week. All this should be handled by tha army and acting President and not Polepole. Just to confuse the people. Am for Mwinyi as next President why not, he has cleaned Zanzibar na uozo wots.