Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hao nao wakae kimya tu.
Wana nini cha kusema ambacho ni kipya?
Wana nini cha kusema ambacho ni kipya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
''alipo tupo'' alipo hampo mnajifariji tu na nyie mkichongewa majeneza mtaingia, kubalini sasa hayupo tena ondoeni ile dhana ya kutawala mileleTunawakaribisha Waandishi kwenye press conference saa nane leo, hapa ofisi Kuu za CCM Mkoani Dodoma,
Tafadhali mjulishe na mwenzio usikose mkutano huu muhimu.
Moto wetu: Alipo tupo
Mwenezi wetu anajua kutabasamu hata nyakati ngumu za misibaTunawakaribisha Waandishi kwenye press conference saa nane leo, hapa ofisi Kuu za CCM Mkoani Dodoma,
Tafadhali mjulishe na mwenzio usikose mkutano huu muhimu.
Moto wetu: Alipo tupo
Unatubishia? Upinzani hamjitambui nyie''alipo tupo'' alipo hampo mnajifariji tu kubalini sasa hayupo tena ondoeni ile dhana ya kutawala milele
PM hawezi kabisa kamwe kua VP..nasema hivi hawezi na abakie huko huko kwenye upm kama atabahatika kuendeleaMama Samia ndio rais wa Tanzania kwa sasa... Makamu wa rais atakuwa Kasim Majaliwa.
Watu wa kanda ile naona mnakesha kwa waganga kwaajili ya umakamu wa rais
Dah... mwaka huu si mchezowanatuchanganya tu !! watuache kwanza - Mzee kaumwa wee wanasema yupo ofisini anachapa kazi... haya tuambieni leo ni kazi ipi alikuwa anafanya?
CCM bana sijui watakua lini?
Wewe kama hujui kaa kimyawanatuchanganya tu !! watuache kwanza - Mzee kaumwa wee wanasema yupo ofisini anachapa kazi... haya tuambieni leo ni kazi ipi alikuwa anafanya?
CCM bana sijui watakua lini?
Na Tuna omba chonde chonde sifa zote alizokuwa ana sifiwa Bwana yule sasa zirudi kwa 'Mama! Yani 'Mama wewe ni mkarimu kama sio wewe leo umeme ungekuwa umekatika!
Huyu mwamba kinachomfanya atabasamu ni nini?Tunawakaribisha Waandishi kwenye press conference saa nane leo, hapa ofisi Kuu za CCM Mkoani Dodoma,
Tafadhali mjulishe na mwenzio usikose mkutano huu muhimu.
Moto wetu: Alipo tupo
Wewe kama hujui kaa kimuyawanatuchanganya tu !! watuache kwanza - Mzee kaumwa wee wanasema yupo ofisini anachapa kazi... haya tuambieni leo ni kazi ipi alikuwa anafanya?
CCM bana sijui watakua lini?
Tunawakaribisha Waandishi kwenye press conference saa nane leo, hapa ofisi Kuu za CCM Mkoani Dodoma,
Tafadhali mjulishe na mwenzio usikose mkutano huu muhimu.
Moto wetu: Alipo tupo