Jasusi Mbobezi
Senior Member
- May 17, 2020
- 195
- 851
Ana akili nyingi sanaNi mfuasi wa Askofu Gwajima!
Polepole ulimuangalia kwa jicho la kisiasa kutokana na mlengo wake wa kiitikadi, kama haupo upande anaousimamia unaweza kumchukia. Lakini linapokuja suala la imani yake kuhusu Mungu anayemuamini hapo ni lazima tu utamtaka.
Akili maVX imemtoka imerudi ile ya Bunge Maalum la Katiba
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumuamini mtu mwenye kaumbo kama ka mtoto ni kazi sana.
Anatunza legasiNi mfuasi wa Askofu Gwajima!
Hao ni wanaopewa kipaumbele, ila nyumbu yeyote anayejitokeza anachanjwa kama unabisha nenda uone kama hudungwi[emoji23]We Màtaga Acha ujinga,wanatakiwa juchanjwa ni wale wenye miaka 50+ au wenye changamoto mbalimbali.
He huyo Polepole wako ana miaka 50.
Polepole ana 68We Màtaga Acha ujinga,wanatakiwa juchanjwa ni wale wenye miaka 50+ au wenye changamoto mbalimbali.
He huyo Polepole wako ana miaka 50.