#COVID19 Polepole aweka msimamo wake wa kutochanjwa

#COVID19 Polepole aweka msimamo wake wa kutochanjwa

RIP CHARLES KEENJA NA MKEO
POLENI FAMILIA
 
We Màtaga Acha ujinga,wanatakiwa juchanjwa ni wale wenye miaka 50+ au wenye changamoto mbalimbali.
He huyo Polepole wako ana miaka 50.
Kuna faida yoyote unapata ukionekana mjinga?
 
We Màtaga Acha ujinga,wanatakiwa juchanjwa ni wale wenye miaka 50+ au wenye changamoto mbalimbali.
He huyo Polepole wako ana miaka 50.
Kila anayetaka anachanjwa mkuu. Hata ukiwa na miaka chini ya 20 na hauko kwenye kundi lolote unapigwa chanjo.
 
Sawa,
1.haimo kwenye ilani yao.
2. sio kipaumbele chao
 
Polepole ulimuangalia kwa jicho la kisiasa kutokana na mlengo wake wa kiitikadi, kama haupo upande anaousimamia unaweza kumchukia. Lakini linapokuja suala la imani yake kuhusu Mungu anayemuamini hapo ni lazima tu utamtaka.
Yeah! Nimoja ya kijana mmoja safi sana, ana jua kujenga hoja kwa umakini sana..tukiachana na tutabia TWA kula kondoo wa bwana, yuko vizuri mnoo
 
halafu sehem kubwa ya watu wanaochanja ni 45yrs+ ko hata humu weng wanaopinga maamuz ya polepole ni miongon mwa 45yrs+
 
Hivi kweli Mama Samia kakubali wananchi wake na yeye kuwa sehemu ya majaribio ya chanjo ya kipuuzi?

Yaani Afrika bado tuna ujinga mwingi sana, yaani unasaini kabisa kisha unachanjwa??!!!! Mungu tupe nusra kwakweli!!

Niko upande wa Polepole na Gwajiboy
 
Usimuhusishe Mungu kwenye mambo yasiyostahili, huyu polepole aliamini Magufuli ndiye Mungu na hakika ndiye aliyemuabudu.
 
Hasira tu hizo za kutolewa ukatibu mwenezi na kukata tamaa ya teuzi.......hamna lolote. Jambo la kupendeza ni kuwa watu makini kuliko yeye wameshachanja tayari. Hana ishu anaweza kurudi tu na kuwa Shuja wa chadema kama mwanzo maana kuwaongoza chadema ni rahisi sana.....we jifanye unapingana tu na serikali au raisi, hata km hujui wapi unaelekea
Nimekushangaa sana ndugu..!! Imesemwa na Rais wetu kwamba kuchanja ni hiari, na yeye kasema hachanji, SASA CHA AJABU NINI HADI USEME NI HASIRA? Au wakati inasemwa kuchanja ni hiari ilimaanisha nini?
 
Back
Top Bottom