#COVID19 Polepole aweka msimamo wake wa kutochanjwa

#COVID19 Polepole aweka msimamo wake wa kutochanjwa

Hivi kweli Mama Samia kakubali wananchi wake na yeye kuwa sehemu ya majaribio ya chanjo
Yaani Afrika bado tuna ujinga mwingi sana, yaani unasaini kabisa kisha unachanjwa??!!!! Mungu tupe nusra kwakweli!!
Niko upande wa Polepole na Gwajiboy
Katika utafiti wowote ule wa chanjo lazima kunakuwa na makundi mawili ya watj wanaoshiriki utafiti huo. Kundi la kwanza linaitwa CONTROL!! Hili huwa linadungwa maji matupu kwa lugha ya kitabibu yanaitwa placebo!! Kundi la pili linaitwa EXPERIMENTAL!! Hili kundi la experimental ndo hudungwa chanjo yenyewe inayolengwa! Halafu maisha ya watu kwenye makundi haya mawili hufuatiliwa kwa karibu kwa miaka zaidi ya kumi!! Wahamasishaji wa chanjo wao mara nyingj huchanjwa placebo!! Haiwezekani kwenye utafiti wasiwepo waliodungwa placebo!! Ila ni vizuri kwa waliodungwa placebo kuweka wazi hilo!! Ikiwezekana watu wapewe option ya kuchagua kuwa kwenye kundi la CONTROL au EXPERIMENTAL!! aana kitalaam haya makundi lazima yawepo!
 
Ana hasira ya kuvuliwwa vyeo vyote he has nothing to lose. Yani anaonyesha wazi kabisa kwamba haogopi kutoa msimamo wake kinzani na president.
 
Katika utafiti wowote ule wa chanjo lazima kunakuwa na makundi mawili ya watj wanaoshiriki utafiti huo. Kundi la kwanza linaitwa CONTROL!! Hili huwa linadungwa maji matupu kwa lugha ya kitabibu yanaitwa placebo!! Kundi la pili linaitwa EXPERIMENTAL!! Hili kundi la experimental ndo hudungwa chanjo yenyewe inayolengwa! Halafu maisha ya watu kwenye makundi haya mawili hufuatiliwa kwa karibu kwa miaka zaidi ya kumi!! Wahamasishaji wa chanjo wao mara nyingj huchanjwa placebo!! Haiwezekani kwenye utafiti wasiwepo waliodungwa placebo!! Ila ni vizuri kwa waliodungwa placebo kuweka wazi hilo!! Ikiwezekana watu wapewe option ya kuchagua kuwa kwenye kundi la CONTROL au EXPERIMENTAL!! aana kitalaam haya makundi lazima yawepo!
Ooh! Asante sana mkuu, na hapa ndo kitaalam tunapofatilia tunapata D by D nadhani! Unaangalia differences katika haya makundi mawili jinsi muda unapokuwa unasogea mbele!

Nashukuru mno!
 
ARV haipatani na covid vaccines 😂😄😂😄
 
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Facebook, alipokuwa akiongelea kuhusiana na muziki wa Singeli, sentensi yake yamwisho ilikuwa ni kutoa msimamo wake kuhusu chanjo, amesema chanjo ni hiyari nayeye hatachanja.

Huyu ndiye Polepole ninayemfahamu, Mungu akujalie ufike mbali, kile kiti kinakufaa kabisa.
Abaki bongo asisafiri nje ya nchi
 
Siku hizi yupo busy anatoa viclip vya kejeli
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Facebook, alipokuwa akiongelea kuhusiana na muziki wa Singeli, sentensi yake yamwisho ilikuwa ni kutoa msimamo wake kuhusu chanjo, amesema chanjo ni hiyari nayeye hatachanja.

Huyu ndiye Polepole ninayemfahamu, Mungu akujalie ufike mbali, kile kiti kinakufaa kabisa.
 
Katika utafiti wowote ule wa chanjo lazima kunakuwa na makundi mawili ya watj wanaoshiriki utafiti huo. Kundi la kwanza linaitwa CONTROL!! Hili huwa linadungwa maji matupu kwa lugha ya kitabibu yanaitwa placebo!! Kundi la pili linaitwa EXPERIMENTAL!! Hili kundi la experimental ndo hudungwa chanjo yenyewe inayolengwa! Halafu maisha ya watu kwenye makundi haya mawili hufuatiliwa kwa karibu kwa miaka zaidi ya kumi!! Wahamasishaji wa chanjo wao mara nyingj huchanjwa placebo!! Haiwezekani kwenye utafiti wasiwepo waliodungwa placebo!! Ila ni vizuri kwa waliodungwa placebo kuweka wazi hilo!! Ikiwezekana watu wapewe option ya kuchagua kuwa kwenye kundi la CONTROL au EXPERIMENTAL!! aana kitalaam haya makundi lazima yawepo!
Daah na wewe unatoa mapendekezo yasiyowezeka a, ukishaambiwa inakuaje tena placebo?
 
Nimekushangaa sana ndugu..!! Imesemwa na Rais wetu kwamba kuchanja ni hiari, na yeye kasema hachanji, SASA CHA AJABU NINI HADI USEME NI HASIRA? Au wakati inasemwa kuchanja ni hiari ilimaanisha nini?
Na wewe pia nimekushangaa!
Kwamba hujaelewa nia au lengo haswa la huyo pole pole?!! Hv ni sawa km huchanji kuwatangazia watu kuwa hufanyi hivyo? We ni kiongozi/ulikuwa kiongozi, unategemea nini unapoongea maneno km hayo hadharani wakati unajua fika hili taifa lina wapumbavu kibao walioozeshwa akili kipindi fulani na mtu fulani hadi akaitwa Mungu?

Si heshima kutia neno lenye hali ya ukinzani kwa kiongozi wako pasipo ulazima. Naamini wapo wengine wasiochanja lkn wanaelewa athari ya maneno yao na wametulia tu. Yeye kinamsumbua nini km sio chuki?! Aliwahi kuongea chochote chenye hali ya ukinzani kipindi cha mwendazake au yote yalikuwa mazuri tu?! Kumshindishwa mama kwenye hili ndiyo lengo lake kuu........nafurahi ameshashindwa tayari. Nimeona kule kilimanjaro kupitia BBC watu walivyopokea vzr maana ni sehemu walioathirika sana.

Ningelikuwa raisi, ningelitafuta kipengele kinachoniruhusu kumvua ubunge mbunge aliyeteuliwa na raisi na kukitumia dhidi ya huyu mnafiki anayeonekana kukosa lishe utotoni mara moja!!
 
Polepole ni mfuata upepo tu,
Hivi kama angelikua kwenye nafasi yake ya wenezi angekataa chanjo?
Nafasi ya wenezi ilibadili msimamo wake kuhusu katiba mpya.
 
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Facebook, alipokuwa akiongelea kuhusiana na muziki wa Singeli, sentensi yake yamwisho ilikuwa ni kutoa msimamo wake kuhusu chanjo, amesema chanjo ni hiyari nayeye hatachanja.

Huyu ndiye Polepole ninayemfahamu, Mungu akujalie ufike mbali, kile kiti kinakufaa kabisa.
Mimi ni Tomaso, siamini mpaka nione!.
Kwa vile humu ni jf, ukileta hoja kutoka pengine popote, ilete na ushahidi. Leta screen shot ya hiyo Facebook ya Polepole

Ila Polepole kama Polepole, hata mimi namkubali sana,

Aliyevaa viatu vyake kwa sasa bado vimempwaya kabisa, ila huko mbeleni labda vita mfiti.
P
 
Mimi ni Tomaso, siamini mpaka nione!.
Kwa vile humu ni jf, ukileta hoja kutoka pengine popote, ilete na ushahidi. Leta screen shot ya hiyo Facebook ya Polepole

Ila Polepole kama Polepole, hata mimi namkubali sana, aliyevaa viatu vyake sasa vimempwaya kabisa.
Hii hapa mkuu,
Screenshot_20210805-194403.jpg
 
Na wewe pia nimekushangaa!
Kwamba hujaelewa nia au lengo haswa la huyo pole pole?!! Hv ni sawa km huchanji kuwatangazia watu kuwa hufanyi hivyo? We ni kiongozi/ulikuwa kiongozi, unategemea nini unapoongea maneno km hayo hadharani wakati unajua fika hili taifa lina wapumbavu kibao walioozeshwa akili kipindi fulani na mtu fulani hadi akaitwa Mungu?

Si heshima kutia neno lenye hali ya ukinzani kwa kiongozi wako pasipo ulazima. Naamini wapo wengine wasiochanja lkn wanaelewa athari ya maneno yao na wametulia tu. Yeye kinamsumbua nini km sio chuki?! Aliwahi kuongea chochote chenye hali ya ukinzani kipindi cha mwendazake au yote yalikuwa mazuri tu?! Kumshindishwa mama kwenye hili ndiyo lengo lake kuu........nafurahi ameshashindwa tayari. Nimeona kule kilimanjaro kupitia BBC watu walivyopokea vzr maana ni sehemu walioathirika sana.

Ningelikuwa raisi, ningelitafuta kipengele kinachoniruhusu kumvua ubunge mbunge aliyeteuliwa na raisi na kukitumia dhidi ya huyu mnafiki anayeonekana kukosa lishe utotoni mara moja!!
Hoja yako ni dhaifu, aliyeanza kututangazia kuwa anachanja si Samia? Sasa nasisi tukisema hadharani hatuchanji kuna ubaya gani? Au unataka tuwe wanafiki?
 
Huyu ndiye Polepole ninayemfahamu, Mungu akujalie ufike mbali, kile kiti kinakufaa kabisa.

Its true, nimeona, this is wrong !. Alichofanya sio !.


P
 
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Facebook, alipokuwa akiongelea kuhusiana na muziki wa Singeli, sentensi yake yamwisho ilikuwa ni kutoa msimamo wake kuhusu chanjo, amesema chanjo ni hiyari nayeye hatachanja.

Huyu ndiye Polepole ninayemfahamu, Mungu akujalie ufike mbali, kile kiti kinakufaa kabisa.
Polepole Hana akili huyo, Ana akili ya kuku. I can’t wait 2025 to see him unemployed. The guy is a good example of a moron. Good on Samia to get rid of him.
 
Its true, nimeona, this is wrong !. Alichofanya sio !.


P
Amekosea wapi? Hakuna tofauti kati ya alichokifanya na kile kilichofanywa na Samia. Maana Samia katumia hiari yake kuchanjwa hadharani, Polepole katumia hiari yake kukataa hadharani. Au ulitaka awe mnafiki? Unafiki haukubaliki mbele za Mungu. Ameendelea kupambana na mabeberu na vibaraka wake hadharani.

Huyu mama anaturudisha nyuma sana.
 
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Facebook, alipokuwa akiongelea kuhusiana na muziki wa Singeli, sentensi yake yamwisho ilikuwa ni kutoa msimamo wake kuhusu chanjo, amesema chanjo ni hiyari nayeye hatachanja.

Huyu ndiye Polepole ninayemfahamu, Mungu akujalie ufike mbali, kile kiti kinakufaa kabisa.
Huyu mzee wa V eite alimuabudu mwendazake bado yupo kwenye kipindi cha denial. Corona ipo na inaua watu wa rika mbalimbali. Ni bahati mbaya tu kuwa maambukizi na vifo vya corona havitangazwi.
 
We Màtaga Acha ujinga,wanatakiwa juchanjwa ni wale wenye miaka 50+ au wenye changamoto mbalimbali.
He huyo Polepole wako ana miaka 50.
Mkuu wa wilaya ya Temeke Jokate Mwengelo kachanja na hana miaka 50 yuko chini sana tu ina maana ana changamoto mbalimbali?
 
Hivi kweli Mama Samia kakubali wananchi wake na yeye kuwa sehemu ya majaribio ya chanjo ya kipuuzi?

Yaani Afrika bado tuna ujinga mwingi sana, yaani unasaini kabisa kisha unachanjwa??!!!! Mungu tupe nusra kwakweli!!

Niko upande wa Polepole na Gwajiboy
Na mimi pia sichanji siwezi geuza mwili wangu kuwa test tube ya kutest dawa ya mzungu.
 
Back
Top Bottom