#COVID19 Polepole aweka msimamo wake wa kutochanjwa

#COVID19 Polepole aweka msimamo wake wa kutochanjwa

Polepole ulimuangalia kwa jicho la kisiasa kutokana na mlengo wake wa kiitikadi, kama haupo upande anaousimamia unaweza kumchukia. Lakini linapokuja suala la imani yake kuhusu Mungu anayemuamini hapo ni lazima tu utamtaka.
..Yap!...nadhani msimamo wake wa kiimani umehusika pakubwa kuikataa chanjo.
 
Polepole ulimuangalia kwa jicho la kisiasa kutokana na mlengo wake wa kiitikadi, kama haupo upande anaousimamia unaweza kumchukia. Lakini linapokuja suala la imani yake kuhusu Mungu anayemuamini hapo ni lazima tu utamtaka.
..Yap!...nadhani msimamo wake wa kiimani umehusika pakubwa kuikataa chanjo.
 
Amekosea wapi? Hakuna tofauti kati ya alichokifanya na kile kilichofanywa na Samia. Maana Samia katumia hiari yake kuchanjwa hadharani, Polepole katumia hiari yake kukataa hadharani. Au ulitaka awe mnafiki? Unafiki haukubaliki mbele za Mungu. Ameendelea kupambana na mabeberu na vibaraka wake hadharani.

Huyu mama anaturudisha nyuma sana.
Boss wako akikubali kitu, kukipinga hadharani ni insubordination !.
P
 
Siku hizi yupo busy anatoa viclip vya kejeli
Mama Samia mteue Polepole awe katibu wa kujikomba huko Bunda, he is a waste of space popote slipped, the guy is imbecile. Yeye na Haji Manara ni chingu kimonos akili ya popo.basically they are mentally restarted.
 
Kwanini mnapenda sana kuwadis wanaokuwa tofauti na nyinyi wakati ishu yenyewe ni hiari? Na kwanini hamtaki kuwa huru kimawazo na akaonesha msimamo wake. Nampongeza sana comrade wangu na namuunga mkono kwa kuwa muwazi
 
MTAJI UKIISHA KAMARI MUHIMU!
1628240020088.png
 
Tukiwaambia hili jambo lilivyo makini kushughulkia wanaolipinga, wapumbv wanatusema vibaya kuwa hatuend na dunia inavyo taka, hayaa itafika mahali mutaelewa dhumun la chanjo si kukulinda bali kukumaliza na kuuwa nguvu kazi ya kizaz cha kesho, madhara hutoona leo baada ya kuchanja, bal tegema uzao wako kujawa mitoto mishenz yenye matabia ya hovyo ambayo hata ktk ukoo wako hakuna wa tabia hizo, pia tegemea mattzo ya uzazi kama ugumba,utasa na mimba kuharibika au kuzaliwa watoto wenye matatizo ya akili na ulemavu, haya ndyo malengo ya chanjo, Mujue kuwa chanjo si arama ya mpinga kristo, wala ukipata si kigezo cha kukuita umewekewa 666, bali ni tatizo unalowekewa ambalo litakugharimu wew na uzao wko, haya yote yanafanyika ili kuweka population balance ktk kutumia keki ya dunia, yaan wale mabwana wenye dunia wanataka dunia ibak na watu wachace ambao hawata maliza maliasiri za dunia hii, so wanafanya kupunguza hizi takataka zinazokubali chanjo, ili tubaki na wenye akili waliogomea chanjo, na sie pia tutegemee mazito uko mbeleni,,mujue kuwa kuna mazito yanayokuja ambayo ni zaid ya covid19, nina sema haya nikiwa na uhakika wa kipi nakisema....Omba uzima tu yambeleni hayafuraishi hata kidogo....majanga ndio kwanza yanaanza, huu ni mwanzo tu tegemeeni majanga zaid ya haya.....
 
Tukiwaambia hili jambo lilivyo makini kushughulkia wanaolipinga, wapumbv wanatusema vibaya kuwa hatuend na dunia inavyo taka, hayaa itafika mahali mutaelewa dhumun la chanjo si kukulinda bali kukumaliza na kuuwa nguvu kazi ya kizaz cha kesho, madhara hutoona leo baada ya kuchanja, bal tegema uzao wako kujawa mitoto mishenz yenye matabia ya hovyo ambayo hata ktk ukoo wako hakuna wa tabia hizo, pia tegemea mattzo ya uzazi kama ugumba,utasa na mimba kuharibika au kuzaliwa watoto wenye matatizo ya akili na ulemavu, haya ndyo malengo ya chanjo, Mujue kuwa chanjo si arama ya mpinga kristo, wala ukipata si kigezo cha kukuita umewekewa 666, bali ni tatizo unalowekewa ambalo litakugharimu wew na uzao wko, haya yote yanafanyika ili kuweka population balance ktk kutumia keki ya dunia, yaan wale mabwana wenye dunia wanataka dunia ibak na watu wachace ambao hawata maliza maliasiri za dunia hii, so wanafanya kupunguza hizi takataka zinazokubali chanjo, ili tubaki na wenye akili waliogomea chanjo, na sie pia tutegemee mazito uko mbeleni,,mujue kuwa kuna mazito yanayokuja ambayo ni zaid ya covid19, nina sema haya nikiwa na uhakika wa kipi nakisema....Omba uzima tu yambeleni hayafuraishi hata kidogo....majanga ndio kwanza yanaanza, huu ni mwanzo tu tegemeeni majanga zaid ya haya.....
Yaani akili yako yoooote ndiyo imeishia hapo? Kwani hata Elementary Biology hujawahi kusoma?
Tangu uzaliwe hadi leo kuna vaccines ngapi umewhai kuchanjwa? Kuna vaccine unachanjwa ukizaliwa tu, wala hata wazazi wako hawajui. Kuna vaccine nyingi mno, ya ugonjwa wa Njano, Malaria, tetenasi, reprosy etc etc etc

Akili yako iko centred kwenye libido, kama Botha alivyokuwa anatukana watu weusi SA kuwa akili zao zinaishia kwenye libido!!!!!!!!!!!!!
 
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Facebook, alipokuwa akiongelea kuhusiana na muziki wa Singeli, sentensi yake yamwisho ilikuwa ni kutoa msimamo wake kuhusu chanjo, amesema chanjo ni hiyari nayeye hatachanja.

Huyu ndiye Polepole ninayemfahamu, Mungu akujalie ufike mbali, kile kiti kinakufaa kabisa.
Huyu jamaa Polepole ni mtu mnafiki na hatari sana. Ni hatari mno kumwamini. He is not stable and trustworth. Aina hii ya watu ni hatari sana ktk jamii. Sampuli yake ni pamoja na Paramagamba, Mkumbo, Zitto, Mwigulu, Makonda, na kadhalika. Hawa kwa lugha ya kisasa hujulikana kama WajasiriaSiasa. Ni wachumiaTumbo. Ni hatari. Wao ni, ... Punda Afe, Mzigo Ufike!
Kwa jumla hawafai kuongoza jamii.
 
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Facebook, alipokuwa akiongelea kuhusiana na muziki wa Singeli, sentensi yake yamwisho ilikuwa ni kutoa msimamo wake kuhusu chanjo, amesema chanjo ni hiyari nayeye hatachanja.

Huyu ndiye Polepole ninayemfahamu, Mungu akujalie ufike mbali, kile kiti kinakufaa kabisa.
Mbona haangukii kwenye category yoyote?? Aache ujinga
 
Huyu jamaa Polepole ni mtu mnafiki na hatari sana. Ni hatari mno kumwamini. He is not stable and trustworth. Aina hii ya watu ni hatari sana ktk jamii. Sampuli yake ni pamoja na Paramagamba, Mkumbo, Zitto, Mwigulu, Makonda, na kadhalika. Hawa kwa lugha ya kisasa hujulikana kama WajasiriaSiasa. Ni wachumiaTumbo. Ni hatari. Wao ni, ... Punda Afe, Mzigo Ufike!
Kwa jumla hawafai kuongoza jamii.

Nyerere aliwaita ni malaya wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom