#COVID19 Polepole aweka msimamo wake wa kutochanjwa

#COVID19 Polepole aweka msimamo wake wa kutochanjwa

Kwa jinsi umri wa Polepole ulivyosonga mbele akipata uviko haponi
 
Yaani akili yako yoooote ndiyo imeishia hapo? Kwani hata Elementary Biology hujawahi kusoma?
Tangu uzaliwe hadi leo kuna vaccines ngapi umewhai kuchanjwa? Kuna vaccine unachanjwa ukizaliwa tu, wala hata wazazi wako hawajui. Kuna vaccine nyingi mno, ya ugonjwa wa Njano, Malaria, tetenasi, reprosy etc etc etc

Akili yako iko centred kwenye libido, kama Botha alivyokuwa anatukana watu weusi SA kuwa akili zao zinaishia kwenye libido!!!!!!!!!!!!!
Unaweza kufikiri kwamba una akili ukiwa miongoni mwa vilaza lakini ukichanganywa na vipanga uwezi kujitambua.Wewe aliyekuambia kuna Vaccine ya Covid-19 kwa sasa ulimwenguni nani? Tupe reputable sources za approval ya Covid-19 vaccine unazozifahamu. Medical expert says it takes more than ten years to develop an arguably effective vaccine for any disease.Astrazeneca,sinopham,sinovac,pfizer ,Johnson and Johnson zinazoitwa chanjo they are nothing but merely viongeza kinga za mwili and if thats the case hakuna ulazima wa kuzitumia kwani kuna njia nyingine mbadala ya kuvipata isiyokuwa na disclaimer na ni kula vyakula vyenye uwezo wa kuimalisha kinga za mwili naturally.uwezi kumwelewa polepole kwani uwezo wako umefikia kikomo brother believe me.
 
Kwa utovu huo wa nidhamu ,naamini mpaka sasa neno mpaka tusingekuwa tunalitaja tukitaja jina lake
 
Naomba kujua ni kwanini wale wanaotumia Dawa za ARV's ( Waathirika ) wa UKIMWI ( Dally Kimoko ) hasa hapa Mkoani Dar es Salaam na Dodoma niliobahatika Kukutana nao wanapinga na hawataki kabisa Kuchanjwa wala kuusikia Msamiati wa Kulazimishwa ( Kulazimishana ) Kuchanjwa?
Chanjo hususani ya J&J ina hali ya kushusha chini kinga ya mwili kabla mwili haujajiimarisha na kuanza kutengeneza tena kinga. Sasa, ktk kakipindi hako ka mpito ukikutwa una tuugonjwa twetu utu kama ukimwi, sukari, presha, seli mundu, tezi dume, na mengine yanayofanana na hayo; Umekwenda!
Mbaya jamaa hawakupiki kujua hali yako ya afya kuhusiana na hayo magonjwa makubwa. Ukuenda wanachanja tu kuongeza takwimu! Wengi wengine jamaa zangu; Wamekwenda!
 
Back
Top Bottom