Uchaguzi 2020 Polepole: CCM inawataka wagombea wote waliofeli kura za maoni kuwapigia kampeni washindi watakaokaidi kukosa teuzi!

Uchaguzi 2020 Polepole: CCM inawataka wagombea wote waliofeli kura za maoni kuwapigia kampeni washindi watakaokaidi kukosa teuzi!

Katibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa.

Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena ni taasisi ya Umma hivyo ina vyeo na fursa nyingi kwahiyo wale watakaokaidi kukampenia wenzao watakosa teuzi siku za usoni.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Ukitema shida,ukimeza shida...
 
Hiyo ni ngumu sana na asahau hilo jambo.

Yaani Watumishi wa Umma ambao ni makada wa CCM zaidi ya elfu 7 waliojitokeza kukipigania chama huko majimboni - Serikali hii hii ya CCM imewanyima mishahara ya miezi miwili ( mwezi wa saba na huu wa nane), leo hii eti waende wakakipigie kampeni CCM huko majimboni, hao makada anawaona ni wajinga enhee?

Sasa subiri waone kitachotokea. Mtu atoke Dar aende Mbeya kukipigia kampeni CCM wakati Mshahara hana, nguvu hiyo ataitoa wapi?
Mwambie pole pole aache ufala ! Wao wasubiri maana dharau zao sasa zitawatokea puani.
Kweni wa mwezi huu ushatoka?
 
Katibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa.

Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena ni taasisi ya Umma hivyo ina vyeo na fursa nyingi kwahiyo wale watakaokaidi kukampenia wenzao watakosa teuzi siku za usoni.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Binadamu si kama mbwa kwamba unaweza kumtuma chochote utakavyo .
 
Hiyo ni ngumu sana na asahau hilo jambo.

Yaani Watumishi wa Umma ambao ni makada wa CCM zaidi ya elfu 7 waliojitokeza kukipigania chama huko majimboni - Serikali hii hii ya CCM imewanyima mishahara ya miezi miwili ( mwezi wa saba na huu wa nane), leo hii eti waende wakakipigie kampeni CCM huko majimboni, hao makada anawaona ni wajinga enhee?

Sasa subiri waone kitachotokea. Mtu atoke Dar aende Mbeya kukipigia kampeni CCM wakati Mshahara hana, nguvu hiyo ataitoa wapi?
Mwambie pole pole aache ufala ! Wao wasubiri maana dharau zao sasa zitawatokea puani.
Acha mishahara ya hao wafanyakazi 7000/wana CCM ukatumike kujenga stigler's mkuu.
 
Inasikitisha sana,ukiona kilichoandikwa kwenye hizo salary slip zao ni mahanga
Na ninahisi hizi hela zitakuwa zishakuwa diverted kwenda aidha kwenye miradi ya Serikali au kwenye mambo mengine
Mimi naona ni sawa kabisa mkuu maana siku zote hao wana CCM wakiambiwa mambo hayaendi sawa wanasema tutangulize uzalendo.

Sasa na mimi nasema hio mishahara acha ikajenge SGR na wasilipwe mshahara mpk baada ya uchaguzi.
 
Ukumbuke wagombea wengi waliofeli ni watumishi wa Umma na hapo walipo July na August 2020 mishahara hawana. Kisa waliogombea uongozi wa kisiasa ndani ya CCM. Leo unakuja na gia nyingine wakawasaidie kampeni umesahau wameponea kufukuzwa kazi? Na mishahara imechukuliwa na serikali hiyo hiyo ya chama tawala?
Kazi na dawa.
tapatalk_1577354951190.jpg
 
Hiyo ni ngumu sana na asahau hilo jambo.

Yaani Watumishi wa Umma ambao ni makada wa CCM zaidi ya elfu 7 waliojitokeza kukipigania chama huko majimboni - Serikali hii hii ya CCM imewanyima mishahara ya miezi miwili ( mwezi wa saba na huu wa nane), leo hii eti waende wakakipigie kampeni CCM huko majimboni, hao makada anawaona ni wajinga enhee?

Sasa subiri waone kitachotokea. Mtu atoke Dar aende Mbeya kukipigia kampeni CCM wakati Mshahara hana, nguvu hiyo ataitoa wapi?
Mwambie pole pole aache ufala ! Wao wasubiri maana dharau zao sasa zitawatokea puani.
Polepole kweli haijitosherezi ,wakate teuzi yako,utoke Dar hadi Kigoma kumfanyia kampeni underdog wako uliemshinda by far, wakati huo huo mshahara mmoja wamekunyanganya.Unless wewe si mtu.Huna feelings?
 
Mwambie Polepole keshaanza Serukamba kule Kigoma kahamia ACT na keshachukua fomu ya kugombea ubunge.................. pia mwambieni Membe kawaita wote waliokatwa waende ACT watapata nafasi upo wewe Polepole? akili ndogo kama kidonge cha priton
Serukamba hataki kulaza damu.
 
Back
Top Bottom