Uchaguzi 2020 Polepole: CHADEMA walichapisha kura feki ili kuvuruga Uchaguzi Mkuu

Jamaa yuko na points. Km walimkamata nazo kwa nn walimuachia??
 
Nia ni kuvuruga uchaguzi na kudanganya wananchi kuwa Ccm imeiba. Ndio maana mliweka tick kwa wagombea wa Ccm.

Aliyezima mitandao alikuwa anaficha CHADEMA wasilete kura za udanganyifu. Nikimuona kiongozi wa CCM kanisani anatubu siwezi kushangaa maana nafsi zitawasuta sana kuhusu vitendo walivyofanya. Hivi watu wazima mnaweza kuwa mnajadili mambo aliyotamka mtu wa propaganda
 
Kama walichapisha wao na ni kosa kisheria kwann msiwachukulie hatua.. Nyie si mnaenguvu aysee?
 

Polepole kura feki mlizichapisha Zanzibar Government press , Maruhubi, Mliwapa likizo fupi wafanyakazi wote mkawaingiza maofisa wa Usalama TISS mkaanza kazi. Tunajua yote
Ukuta wa nje mliuongeza urefu
 
Jamaa angejua huku mitaani wanavyomchukulia angekuwa ananyamazaga tu
 
sijui kala maharage ya wapi huyu naye...
 
πŸ–•πŸΏπŸ‘ŒπŸΏ
 
Unataka kupigwa uwahi asubuhi sanaa
 
kwani hatuna kazi nyingine za kufanya tuanze kumsifia magu kila mahali..hata akionea watu tusiofu akiharibu tusifu akijenga tusifu....
 
Tarehe 2 utakuwa kwenye keyboarf yako. Huko barabarani hautaend
 
Stupidity comedian Mr. Polepole.
Hivi amesahau kuwa polisi ndio waliokuwa wakiwalinda hao vijana waliobebeshwa kura feki za Jiwe pindi walipotaka kuchomwa moto!!!
Kuchoma moto watu ni kujichukukulia sheria mkononi.
Hata vibaka hilindwa na polisi.
 
Your browser is not able to display this video.

Dalili mbaya zilisha jionyesha.
Sikio lankifa haliitajo dawa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…