jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
a.ka mnyooshajiaka Chakubanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
a.ka mnyooshajiaka Chakubanga
Chakubanga hana jipya huyuKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Kamarada Humphrey Polepole leo Jumamosi Oktoba 17, 2020 atazungumza na Vyombo Vya Habari.
Mkumbushe Mwenzako
Mtaarifu Mwenzako
Usipange Kukosa
Vipi tena maji ya shingo yamewafika tena ccm mbona press conference kila siku?Ni yule Katibu Mwenezi aliyefanikiwa zaidi kwenye uongozi huo ndani ya CCM anayetarajiwa kuongoza ushindi wa 86%+ kwa JPM mwaka huu anaongea na wanahabari.
Karibuni tuchote hekima
Ni yule Katibu Mwenezi aliyefanikiwa zaidi kwenye uongozi huo ndani ya CCM anayetarajiwa kuongoza ushindi wa 86%+ kwa JPM mwaka huu anaongea na wanahabari.
Karibuni tuchote hekima
October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm
Ushindi kwa Rais Magufuli ni 98%
Ni 98% au 86% nyie mataga?
October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm
Ushindi wa Ccm ni 98%
Huu ni uonevu mkubwa sana,sasa hivi Kikwete anatushambulia MbagalaNi yule Katibu Mwenezi aliyefanikiwa zaidi kwenye uongozi huo ndani ya CCM anayetarajiwa kuongoza ushindi wa 86%+ kwa JPM mwaka huu anaongea na wanahabari.
Karibuni tuchote hekima
Chuki kama hizi haziwezi kusaidia kamanda.Sura imemkomaa kama sanamu la mpingo uwezo wake ni mdogo sana
October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm
Ushindi wa Ccm ni 98%
Jpm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaongea sana kumshinda mgombea uraisi wa ccm yaani polepole ana mikutano mingi kumshinda magufuli ccm mmekamatwa pabaya pumzi imekata mwecheni magufuli apambane na wenzie View attachment 1603096
Chuki kama hizi haziwezi kusaidia kamanda.