Uchaguzi 2020 Polepole: Dkt. Magufuli ataendelea na mikutano ya kampeni katika mikoa 6. Mama Samia ataelekea Zanzibar

Uchaguzi 2020 Polepole: Dkt. Magufuli ataendelea na mikutano ya kampeni katika mikoa 6. Mama Samia ataelekea Zanzibar

Chakubanga mwambie mgombea wenu Magufuli aje Mtwara huku Kijiji cha Kitaya kata ya Nanyamba wananchi wanamhitaji
 
.
IMG_20201016_110021.jpeg
 
Ni yule Katibu Mwenezi aliyefanikiwa zaidi kwenye uongozi huo ndani ya CCM anayetarajiwa kuongoza ushindi wa 86%+ kwa JPM mwaka huu anaongea na wanahabari.

Karibuni tuchote hekima

October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm

Ushindi kwa Rais Magufuli ni 98%

Ni 98% au 86% nyie mataga?
 
Back
Top Bottom