Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,379
- 1,069
Hiyo si alikuwa akimnukuu mgombea fulani hivi ambaye anabweka hovyo kila akikutana na picha ya JPM!Sura imemkomaa kama sanamu la mpingo uwezo wake ni mdogo sana
MAGUFULI4LIFE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo si alikuwa akimnukuu mgombea fulani hivi ambaye anabweka hovyo kila akikutana na picha ya JPM!Sura imemkomaa kama sanamu la mpingo uwezo wake ni mdogo sana
Au hujui unachoandikaMAGUFULI4LIFE
Haa😁😂😀😅😄😄😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaongea sana kumshinda mgombea uraisi wa ccm yaani polepole ana mikutano mingi kumshinda magufuli ccm mmekamatwa pabaya pumzi imekata mwecheni magufuli apambane na wenzie View attachment 1603096
Acha kuukosea mpingo nidhamu mkuu mpigo huwa unang'ara sana huyu ni kama bati lenye kutuSura imemkomaa kama sanamu la mpingo uwezo wake ni mdogo sana
Hahaha halafu anawaita wenzie misukuleMbona hii picha sura yake ni kama amekalia kitu chenye ncha kali? [emoji51][emoji51]
Kamanda mambo kama haya hayatusaidii.Mkuu toka huko kilingeni uta wamaliza hawa ngombe
8 imerudi nyuma 9 emegeuzwa.Ni 98% au 86% nyie mataga?
Hapa Polisi wako golini au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaongea sana kumshinda mgombea uraisi wa ccm yaani polepole ana mikutano mingi kumshinda magufuli ccm mmekamatwa pabaya pumzi imekata mwecheni magufuli apambane na wenzie View attachment 1603096
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu mnavituko humu hahahah, ndo screenshot hiyo?
October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm
Ushindi wa Ccm ni 98%
Mnakuwa waongo mpaka mnakuwa unrealistic.October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm
Ushindi wa Ccm ni 98%
Ila zile zinazoelekezwa kwa shangazi zsko weusi zinakusaidia kuwanunulia kijiko!Chuki kama hizi haziwezi kusaidia kamanda.
Magufuli anapenda utani kamanda,tumi akili.Ila zile zinazoelekezwa kwa shangazi zsko weusi zinakusaidia kuwanunulia kijiko!
Kwa hiyo majimbo ya upinzani anapowagomea pesa za maendeleo ni utani! Kheri nikae na ujinga wangu kuliko kumshabikia mwenye chuki.Magufuli anapenda utani kamanda,tumi akili.
Rudi kwenu Malawi,ya Tanzania tuachie sisiKwa hiyo majimbo ya upinzani anapowagomea pesa za maendeleo ni utani! Kheri nikae na ujinga wangu kuliko kumshabikia mwenye chuki.