Uchaguzi 2020 Polepole: Dkt. Magufuli ataendelea na mikutano ya kampeni katika mikoa 6. Mama Samia ataelekea Zanzibar

Uchaguzi 2020 Polepole: Dkt. Magufuli ataendelea na mikutano ya kampeni katika mikoa 6. Mama Samia ataelekea Zanzibar

Ni 98% au 86% nyie mataga?
98% +86% halafu gawanya kwa idadi ambayo ni 8 hivi (jiwe,polepole, Bashiru,Majaliwa,Msajili, Tume,Polisi na Kamati ya maadili) wastani unapata 23% + za wasanii ni kama 38 hivi

Lissu ana 59% halafu jiwe 38%
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaongea sana kumshinda mgombea uraisi wa ccm yaani polepole ana mikutano mingi kumshinda magufuli ccm mmekamatwa pabaya pumzi imekata mwecheni magufuli apambane na wenzie View attachment 1603096
Hahahaaaa .........umenikumbusha Zamoyoni Mogella wa Simba " Golden boy" alivyokabwa na mabeki wanne wa Yanga yaani Yusuf Bana, Ahmed Amasha, Athuman Chama na Isihaka Hassan huku General Juma Mkambi akishuka kusaidia.

Zamoyoni hakufunga goli siku ile.

CCM oyeeeee!
 
Polepole anapenda kuongea na waandishi, halafu anachoongea ni kila kile anarudia kila siku, chama cha mbowe na chama cha zitto ndio vinavyomtoa roho
 
Back
Top Bottom