mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
98% +86% halafu gawanya kwa idadi ambayo ni 8 hivi (jiwe,polepole, Bashiru,Majaliwa,Msajili, Tume,Polisi na Kamati ya maadili) wastani unapata 23% + za wasanii ni kama 38 hiviNi 98% au 86% nyie mataga?
Anamtukana Nani Leo?Ni yule Katibu Mwenezi aliyefanikiwa zaidi kwenye uongozi huo ndani ya CCM anayetarajiwa kuongoza ushindi wa 86%+ kwa JPM mwaka huu anaongea na wanahabari.
Karibuni tuchote hekima
[emoji23][emoji23]basi yaishe,duh,,,Sura imemkomaa kama sanamu la mpingo uwezo wake ni mdogo sana
Kwani uchaguzi huwa sio wa huru na haki?
Muulize PolepoleKwani uchaguzi huwa sio wa huru na haki?
Unajua sifa za uchaguzi huru na haki?Kwani uchaguzi huwa sio wa huru na haki?
Acha hasira kamanda.Muulize Polepole
Niache nimalizie Konyagi yanguAcha hasira kamanda.
Angalia usivunje mguu kama kamanda wetu mkuu Mbowe.Niache nimalizie Konyagi yangu
Mimi nikishalewa huwa najichunga na WanaCCM waniviziao na mipini na marungu kama huamini muulize Upendo PenezaAngalia usivunje mguu kama kamanda wetu mkuu Mbowe.
Wote hao Bado chenga awala.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaongea sana kumshinda mgombea uraisi wa ccm yaani polepole ana mikutano mingi kumshinda magufuli ccm mmekamatwa pabaya pumzi imekata mwecheni magufuli apambane na wenzie View attachment 1603096
October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm
Ushindi kwa Rais Magufuli ni 98%
Laghai sana huyu babu kijana
Ahaaaaaaa,kwani Geita CCM wanavurugu?Mimi nikishalewa huwa najichunga na WanaCCM waniviziao na mipini na marungu kama huamini muulize Upendo Peneza
Hahahaaaa .........umenikumbusha Zamoyoni Mogella wa Simba " Golden boy" alivyokabwa na mabeki wanne wa Yanga yaani Yusuf Bana, Ahmed Amasha, Athuman Chama na Isihaka Hassan huku General Juma Mkambi akishuka kusaidia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaongea sana kumshinda mgombea uraisi wa ccm yaani polepole ana mikutano mingi kumshinda magufuli ccm mmekamatwa pabaya pumzi imekata mwecheni magufuli apambane na wenzie View attachment 1603096
Geita tumeshamkataa Magufuli katakatataAhaaaaaaa,kwani Geita Ccm wanavurugu?
Mbona hii picha sura yake ni kama amekalia kitu chenye ncha kali? 😬😬