Mbunge wa kuteuliwa na mtunga Sheria Humphrey Polepole, anadai hii awamu ya rais Samia sio awamu ya sita.
Rais Samia alisema yeye ndiye rais ya awamu ya Sita. Kwamba ni awamu ya sita kipindi cha kwanza.
"Hii serikali sio mpya,haikupigiwa kura, huwezi ukaita awamu ya sita, awamu lazima iwe na miaka10, ilani na Sera zinazopaswa kutekelezwa ni zile tulizozinadi 2020, asiwadanganye mtu kuwa hii ni awamu ya sita,Kwa sababu aliyeondoka ni Magufuli peke yake" kasema polepole.
RAIS SAMIA ANASEMA UFISADI ULIFANYIKA AWAMU ZILIZOPITA SIO AWAMU YAKE YA SITA
"Kuna makundi wanajua wanayoyafanya ndani ya serikali, na yanageuka kusema serikali ya awamu ya 6 ufisadi umerudi mambo yako hovyo kumbe wao ndio wako hovyo, mambo hayo yalifanyika huko nyuma, gari bovu linaangushiwa awamu ya 6 sitakubali"
Rais Samia Suluhu akiwa Bandarini.
Polepole anasema yupo anawafuatilia watu fulani. Ambao hakuwataja kwa jina ila amesha wapa warning kuwa wakivurunda atawaambia wazi wazi kuwa umevurunda. Inaonesha kuna watu wanataka waachane na ile miradi mikubwa ya awamu ya magufuli
Polepole anamtishia box la kura MWENYEKITI WA CCM Taifa, haaa haaa haaa mnafiki, chakubanga, kiroboto atulie watu wale nchi kama yeye alivyokuwa akiila na maviete.
MAISHA yanaenda kasi sana Polepole anaweweseka?? Dunia hadaa..
Comrade Kinana ka anamcheki kwa mbali...
Everyday is Saturday................................😎
Hivi polepole alinyang'anywa hela zote alizopiga nini? Mana inaonekana hana cha kupoteza kwa sasa. Ila polepole akipata chochote atanyamaza tu.
Huyu jamaa asingekuwa mnafiki, basi alikuwa ni mwanaharakati jasiri.
Enzi za Kikwete, polepole alikuwa anaikosoa CCM wazi wazi.
Pia, hawa ndio waliokusanya maoni ya katiba mpya.
Jiwe alikuja kumvuruga polepole na kumfanya mnafiki. Leo hii hata afanye vipi, watu hawawezi kumuelewa Polepole kwa sababu aliishajidharirisha enzi za Jiwe!
Polepole anamtishia box la kura MWENYEKITI WA CCM Taifa, haaa haaa haaa mnafiki, chakubanga, kiroboto atulie watu wale nchi kama yeye alivyokuwa akiila na maviete...😎