Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594


Polepole yupo katika mood ya kuchanganyikiwa kisiasa.

He has not been a bright fellow all along.

He is not even a Thinker.

Opportunist?-YES.

Polepole alichomoza wakati wa mjadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.

Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.

AKASIFIA MA V8
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure ya opportunist Polepole.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!
Sasa yuko mitaani baada ya mentor wake Magufuli kufariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.

WHOM IS HE FOOLING?
Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.

Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!

Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
 
Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.

Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, Polepole asijekuwa na pointi ya msingi halafu tukashindwa kuisikiliza kwasababu ya kumuhukumu kwa past.

Inajulikana wapo baadhi ya wanasiasa waliowahi kuongea pumba siku za nyuma lakini leo wakiongea tunawasikiliza, kwanini isiwe hivyo kwa Polepole?

Haki ya mtu lazima iheshimiwe bila kujali amewahi kufanya nini au kusema nini siku za nyuma, kuipigania haki yako lazima uipiganie kwa mwenzako pia unapoona kile unachokipigania wewe anadhulumiwa bila kujali yuko upande upi kiitikadi.
 
Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema...
Polepole angekuwa na msimamo basi asingekubali kuteuliwa kuwa dc wa ubungo.

Kumbuka kwenye ukusanyaji wa maoni ya katiba pendekezwa ya mzee Warioba alivyo kuwa analaani vyeo vya udc.
 
Mbona mnatumia nguvu kubwa kuandika

“Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote”

Mnamshambulia nini umekili hana sifa
 
Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.
Mbinu hii unayoitahadhalisha hutumiwa sana na wachache wa hoja.

Huanza kumshambulia mtu personally kuliko kushambulia hoja yake kwa hoja zenye nguvu.

Mtu soft kama shaka hawezi kubishana na chakubanga hata dakika 2.
 
mbinu hii unayoitahadhalisha hutumiwa sana na wachache wa hoja.

huanza kumshambulia mtu personally kuliko kushambulia hoja yake kwa hoja zenye nguvu.
mtu soft kama shaka hawezi kubishana na chakubanga hata dakika 2.
Polepole ni kichwa zaidi ya Shaka no doubt about it, nimegundua wengi hukwepa hoja zake kwa kujificha kwenye vivuli vya "sukuma gang" etc, mambo ya kipuuzi kabisa.

Polepole ajibiwe kwa hoja , sio vitisho au kejeli, hizi akili migando zikemewe kama mapepo wachafu.
 
Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.
Hawezi kuwa na point ya msingi huyu ndugu, asituumize akili. Alipaswa atumie vizuri nafasi aliyopewa lakini ni wazi kuwa hakuitumia vizuri hata kidogo.

Kwa nafasi aliyopewa ni bora Shaka anaonesha anachokiamini mara nyingine kuelezea mazila wayapatayo wananchi yanayosababishwa na watendaji au taasisi za serikali. Polepole ni mfano mbaya wa watanzania. Anaonesha habits za kiburundi.
 
Hawezi kuwa na point ya msingi huyu ndugu, asituumize akili. Alipaswa atumie vizuri nafasi aliyopewa lakini ni wazi kuwa hakuitumia vizuri hata kidogo. Kwa nafasi aliyopewa ni bora Shaka anaonesha anachokiamini mara nyingine kuelezea mazila wayapatayo wananchi yanayosababishwa na watendaji au taasisi za serikali. Polepole ni mfano mbaya wa watanzania. Anaonesha habits za kiburundi.
Mkuu kumbuka kuwa samaki daima hawezi kusahau majini maana ndiyo kwake.
 
Polepole ni kichwa zaidi ya Shaka no doubt about it, nimegundua wengi hukwepa hoja zake kwa kujificha kwenye vivuli vya "sukuma gang" etc, mambo ya kipuuzi kabisa, Polepole ajibiwe kwa hoja, sio vitisho au kejeli, hizi akili migando zikemewe kama mapepo wachafu.
Shaka anaingiaje katika mjadala wa Polepole?
 
Hawezi kuwa na point ya msingi huyu ndugu, asituumize akili. Alipaswa atumie vizuri nafasi aliyopewa lakini ni wazi kuwa hakuitumia vizuri hata kidogo. Kwa nafasi aliyopewa ni bora Shaka anaonesha anachokiamini mara nyingine kuelezea mazila wayapatayo wananchi yanayosababishwa na watendaji au taasisi za serikali. Polepole ni mfano mbaya wa watanzania. Anaonesha habits za kiburundi.
Unavyosema hawezi kuwa na pointi ya msingi unaonesha ulivyo myopic, jibu hoja zake anazo raise as simple as a,b,c, hizo kelele za Shaka unazomsifia kusema msiibe mali ya umma zimekuwepo toka enzi na bado tunaibiwa tu, kwanza huyo Shaka mwenyewe alikuwa na scandal Morogoro, ndio unamuamini?!
 
Back
Top Bottom