Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Ana unafiki wa hali ya juu mno mi huwa najiuliza hivi huyu ndie polepole wa nyakati za kukusanya maoni ya katiba mpya au ??amekuwa ni mtu wa ajabu sana kumbe ni msaka fulsa tu hana hata anachokiamini.
 
Kwani Polepole ana hoja ipi ya msingi? Yaani nini hoja yake na ikiwa anayo anataka nini Ili hiyo hoja yake ikamilike au itekelezwe? Binafsi sikuwa kumuona Polepole akiwa na hoja hata mara moja (tangu enzi hizo) zaidi ya kumuona mpayukaji tu.
Naona umesha panic.
 
Polepole wacha avune alichokipanda na hata ukimtetea hautafanikiwa kamwe
Hawa nao tunawaweka kundi la pole pole au?

cdm.jpeg
 
Polepole anajijua😃😃😃😃

Ufunuo 3:15-16​

Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.​

 
Ana unafiki wa hali ya juu mno mi huwa najiuliza hivi huyu ndie polepole wa nyakati za kukusanya maoni ya katiba mpya au ??amekuwa ni mtu wa ajabu sana kumbe ni msaka fulsa tu hana hata anachokiamini.
Na hawa ulijiuliza?
Au ndio promotion ya unafk wa hali ya juu unaousema.
cdm.jpeg
 
Hapa sio sehemu ya mahubiri.
Halafu Polepole anavyobadilika badilika kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ni baridi au moto?
Polepole anajijua[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Ufunuo 3:15-16​

Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.​

 
Mbele ya umma wa wanachi wa kawaida polepole ana ushawishi mkubwa na anaeleweka.
Ikipendeza kwa vibrant democracy tuliyonayo angepewa nafasi akatoa mawazo yake na yakasaidia ccm.
 
Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.

Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, Polepole asijekuwa na pointi ya msingi halafu tukashindwa kuisikiliza kwa kwasababu ya kumuhukumu kwa past.

Inajulikana wapo baadhi ya wanasiasa waliowahi kuongea pumba siku za nyuma lakini leo wakiongea tunawasikiliza, kwanini isiwe hivyo kwa Polepole?
Mkuu ndiyo maana nimeweka hiyo clip ya Polepole na ma V8.
Historically Polepole hajawahi kuwa Thinker, kwa maana ya kuelezea siasa from principles.

Polepole hana principles zozote to speak of.
 
Polepole ni kichwa zaidi ya Shaka no doubt about it, nimegundua wengi hukwepa hoja zake kwa kujificha kwenye vivuli vya "sukuma gang" etc, mambo ya kipuuzi kabisa, Polepole ajibiwe kwa hoja , sio vitisho au kejeli, hizi akili migando zikemewe kama mapepo wachafu.
Hebu orodhesha hizo hoja za Polepole zinazohitaji majibu?! Halafu siyo hoja kila moja zinatakiwa kujibiwa hasa wapiga kelele kama huyu. Polepole anatakiwa kuonywa vikali aache kelele badala ya kupoteza energy kumjibu.
 
Mkuu ndiyo maana nimeweka hiyo clip ya Polepole na ma V8.
Historically Polepole hajawahi kuwa Thinker, kwa maana ya kuelezea siasa from principles.

Polepole hana principles zozote to speak of.
Polepole kwenye issue ya Katiba pendekezwa alikuwa na "mawe" namkumbuka vizuri sana, na bado ninaamini hicho kichwa chake bado kina yale "mawe" kama ni kumuhukumu kwa alichowahi kusema, wanasiasa wangapi wamewahi kwenda kinyume na misimamo yao na bado leo wakiongea tunawasikiliza?
 
Hebu orodhesha hizo hoja za Polepole zinazohitaji majibu?! Halafu siyo hoja kila moja zinatakiwa kujibiwa hasa wapiga kelele kama huyu. Polepole anatakiwa kuonywa vikali aache kelele badala ya kupoteza energy kumjibu.
Msubiri baadae saa tano asubuhi.
 
View attachment 2040058Polepole yupo katika mood ya kuchanganikiwa kisiasa.
He has not been a bright fellow all along.
He is not even a Thinker.
Opportunist?-YES.

Polepole alichomoza wakati wa mbadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.

Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.
AKASIFIA MA V8!
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure kwa opportunist.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!

Sasa yuko mitaani baada ya mentor Magufuli kafariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.
WHOM IS HE FOOLING?

Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.

Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!

Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
Usemage pole pole sio kumtisha mwenzio
 
Back
Top Bottom