Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.

Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, Polepole asijekuwa na pointi ya msingi halafu tukashindwa kuisikiliza kwasababu ya kumuhukumu kwa past.

Inajulikana wapo baadhi ya wanasiasa waliowahi kuongea pumba siku za nyuma lakini leo wakiongea tunawasikiliza, kwanini isiwe hivyo kwa Polepole?

Haki ya mtu lazima iheshimiwe bila kujali amewahi kufanya nini au kusema nini siku za nyuma, kuipigania haki yako lazima uipiganie kwa mwenzako pia unapoona kile unachokipigania wewe anadhulumiwa bila kujali yuko upande upi kiitikadi.
Hapana kwanza wamzibe kwanza mdomo na kumbana pumbu afu baada ya hapo ndio watamuachia hiyo haki yake.... Hamna wakumjibi hoja zake Maan watu wanaona hastahili kujibiwa, kama hakutambuwa haki ya kutoa maoni mbadala wakati akiwa kiongozi who is yeye apewe hio haki lazima ajifunze kwamba ni lazima uvune ulichopanda
 
Pole yao sukuma gang woote popote pale walipo
Kwanza napinga hii dhana ya kuwa wasukuma ndio walukuwa wafuasi wa Mwendazake.
Mbina Dialo, msukuma pure, kaoata shida sana utawala wa JPM?

Na je hatujui kuwa hata Membe ametamja wazi kuwa Mwendazake ana dalili zote za kutikuwa Mtanzania halisi?
Wengine wabaenda mbali zaidi kusema JPM ni mrundi!
Ajabu CCM iko kimya na tuhuma hizi nzito.
Kwa wasukuma tunapakaziwa tu.
 
But if he's a nobody, a flea to an elephant, why worry so much about him in the first place?
Stay around this space long enough to appreciate the unfolding picture.
Surely your worries will come to rest.
 
Pole pole ana point, tunahitaji kuwajua WAHUNI wote ambao anadai awamu ya Tano haikuwamalizia kuwaondoa ndani ya CCM na ndiyo hao hao wanaompotosha mh. Rais.
 
Ukiona wahuni hamlali mko bize nae hadi kumvamia basi jua mzalendo huyu polepole anawanyima usingizi.
Unaweza bisha ukitaka ila mpaka umepata muda wa kumfungulia uzi ni wazi jamaa anakupa wakati mgumu...
Wewe na huyu mwendawazimu mnastahili kupewa kilicho chenu mfukuzwe kutoka chamani
 
Ukiona wahuni hamlali mko bize nae hadi kumvamia basi jua mzalendo huyu polepole anawanyima usingizi.
Unaweza bisha ukitaka ila mpaka umepata muda wa kumfungulia uzi ni wazi jamaa anakupa wakati mgumu...
Mkuu mimi si mshamba kama Polepole, Vieite tayari ninalo, sisubiri la mgawo wa chama!!
 
Pole pole ana point, tunahitaji kuwajua WAHUNI wote ambao anadai awamu ya Tano haikuwamalizia kuwaondoa ndani ya CCM na ndiyo hao hao wanaompotosha mh. Rais.
Sasa wake wahuni wakioasisiwa na awamu ya tano, wasiojulikana, mtawaweka kundi lipi?
 
Sasa wake wahuni wakioasisiwa na awamu ya tano, wasiojulikana, mtawaweka kundi lipi?
hapa ndipo Polepole anapobanwa kisawasawa, kwa hiyo tukubali tu kwamba ndani ya CCM mambo si swari, wacha tuone hili kundi kama litakuwa na nguvu au litapotea kama yalivyokuwa mengine.
 
Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.

Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, Polepole asijekuwa na pointi ya msingi halafu tukashindwa kuisikiliza kwasababu ya kumuhukumu kwa past.

Inajulikana wapo baadhi ya wanasiasa waliowahi kuongea pumba siku za nyuma lakini leo wakiongea tunawasikiliza, kwanini isiwe hivyo kwa Polepole?

Haki ya mtu lazima iheshimiwe bila kujali amewahi kufanya nini au kusema nini siku za nyuma, kuipigania haki yako lazima uipiganie kwa mwenzako pia unapoona kile unachokipigania wewe anadhulumiwa bila kujali yuko upande upi kiitikadi.
Kwa sababu huyu shida ya yoooteee haya ni cheo tuu hakuna kingine.
 
hapa ndipo Polepole anapobanwa kisawasawa, kwa hiyo tukubali tu kwamba ndani ya CCM mambo si swari, wacha tuone hili kundi kama litakuwa na nguvu au litapotea kama yalivyokuwa mengine.
Linapotea vibaya sana
 
Sasa wake wahuni wakioasisiwa na awamu ya tano, wasiojulikana, mtawaweka kundi lipi?
Materual oppurtunist na mshamba Polepole baada ya kupata madaraka, alisifia vile vitu ambavyo asingeweza kuvipata maishani.

Kusifia ma Vieite badala ya kudadavua misingi ya uchumi, usawa, haki na siasa bora.

Anapoongea misingi hiyo sasa tunaona ni unafiki mtupu.

Alipokuwa katibu mwenezi hakuibua matatizo ya watu kuwekwa ndani kwa kubambikwa kesi, watu wasiojulikana wakitamba, biashara zikifungwa na hali ya uchumi kudidimia.
Yeye kasifu Viete lake!
 
Back
Top Bottom