Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Polepole anamchukia Samia, huo ni Ukweli! And Samia hana inzi yeyote na wala hana ukaribu na mteule wake yeyote yule, kifupi awamu ya Samia hakuna mteule asiyegusika!! Jiwe ndiye alizungukwa na inzi, akina Bashite, Sabaya, Mnyeti, Polepole, Bashiru, Kakoko, na hayo mainzi ya jiwe yalikuwa ni Miungu watu, kwa sasa wametolewa hicho cheo cha uungu wanahaha!! Bahati nzuri sana mtu ninayemkubali sana katika hilo kundi (Bashiru) ana adabu na anajitambua, katulia zake kimya, naamini ipo siku atakumbukwa
Upo mbali sana ila jipe mda utaelewa
 
Polepole is a fool. Na bahati.mbaya hajui kusoma Alana za nyakati...wale wote walioumia kwenye awamu iliyopita hawajasahau Nini kiliwatokea. Na hawapo tayari kusamehe. Ajiandae kwa maumivu zaidi
Atayakumbuka ma "Vieite"
 
Ukimsikiliza Humphrey Polepole na ukianza kumjua polepole before JPM hajaingia magogoni na Polepole wakati wa JPM na Polepole huyu wa Sasa utagundua Polepole anaumwa ugonjwa wa kihoro.

Polepole hakuwahi kudhani JPM angefariki mapema vile alijua kupewa ubunge ilikua njia ya kutaftiwa nafasi kwenye baraza la mawaziri lakini sivyo, kifo kimekatisha ndoto zake.

Polepole anapata wapi uhalali wa kukosoa wakati katika kipindi chake ndio wapinzani wa ndani ya CCM na nje walishughulikiwa kuliko wakati wowote ule anatakiwa atambue zama zao zimepita hizi ni zama nyingine.
Kinachonifurahisha ni kwamba analalamika akidai kuwa ana uhuru wa kuzungumza lakini kipindi akiwa top alikuwa hataki wanaopingana na mawazo yao wazungumze alidiriki hata kuwatishia.

Kweli maisha gwaride, ukisikia nyuma geuka ...
 
View attachment 2040058

Polepole yupo katika mood ya kuchanganyikiwa kisiasa.

He has not been a bright fellow all along.

He is not even a Thinker.

Opportunist?-YES.

Polepole alichomoza wakati wa mjadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.

Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.

AKASIFIA MA V8
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure ya opportunist Polepole.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!
Sasa yuko mitaani baada ya mentor wake Magufuli kufariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.

WHOM IS HE FOOLING?
Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.

Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!

Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
A failed politician can easily be bought and sold
 
Ukimsikiliza Humphrey Polepole na ukianza kumjua polepole before JPM hajaingia magogoni na Polepole wakati wa JPM na Polepole huyu wa Sasa utagundua Polepole anaumwa ugonjwa wa kihoro.

Polepole hakuwahi kudhani JPM angefariki mapema vile alijua kupewa ubunge ilikua njia ya kutaftiwa nafasi kwenye baraza la mawaziri lakini sivyo, kifo kimekatisha ndoto zake.

Polepole anapata wapi uhalali wa kukosoa wakati katika kipindi chake ndio wapinzani wa ndani ya CCM na nje walishughulikiwa kuliko wakati wowote ule anatakiwa atambue zama zao zimepita hizi ni zama nyingine.
Kama hivyo ilivyofanyika ndio mnalipiza kisasi cha kijinga hivyo?
 
Nimeenda kuangalia kamusi ili nijue maana ya neno mhuni, kumbe mhuni ni neno pana ila tafsiri yake kuu ni mtu ambaye hajaoa, ila pia pamoja na kutooa kuna viji- characteristics Kama Saba hivi vya mhuni, ambavyo ni kutokuwa na familia, uvaaji wa kutepesha suruari, kuvuta sigara unamolala, mpangilio mbovu wa chumba, kutoheshimu wakubwa na mengine mengi. Kumbe unaweza ukawa umeoa lkn ukawa na vijitabia vya uhuni so bado na wewe utahesabika ni mhuni. Kwa kuangalia mpangilio wa ghetto la polepole aiseeee yeye ndo ni mhuni namba moja
 
Back
Top Bottom