Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Polepole ni mtu wa hovyo sn na hatari kupita maelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mbali sana ila jipe mda utaelewaPolepole anamchukia Samia, huo ni Ukweli! And Samia hana inzi yeyote na wala hana ukaribu na mteule wake yeyote yule, kifupi awamu ya Samia hakuna mteule asiyegusika!! Jiwe ndiye alizungukwa na inzi, akina Bashite, Sabaya, Mnyeti, Polepole, Bashiru, Kakoko, na hayo mainzi ya jiwe yalikuwa ni Miungu watu, kwa sasa wametolewa hicho cheo cha uungu wanahaha!! Bahati nzuri sana mtu ninayemkubali sana katika hilo kundi (Bashiru) ana adabu na anajitambua, katulia zake kimya, naamini ipo siku atakumbukwa
Atayakumbuka ma "Vieite"Polepole is a fool. Na bahati.mbaya hajui kusoma Alana za nyakati...wale wote walioumia kwenye awamu iliyopita hawajasahau Nini kiliwatokea. Na hawapo tayari kusamehe. Ajiandae kwa maumivu zaidi
Kinachonifurahisha ni kwamba analalamika akidai kuwa ana uhuru wa kuzungumza lakini kipindi akiwa top alikuwa hataki wanaopingana na mawazo yao wazungumze alidiriki hata kuwatishia.Ukimsikiliza Humphrey Polepole na ukianza kumjua polepole before JPM hajaingia magogoni na Polepole wakati wa JPM na Polepole huyu wa Sasa utagundua Polepole anaumwa ugonjwa wa kihoro.
Polepole hakuwahi kudhani JPM angefariki mapema vile alijua kupewa ubunge ilikua njia ya kutaftiwa nafasi kwenye baraza la mawaziri lakini sivyo, kifo kimekatisha ndoto zake.
Polepole anapata wapi uhalali wa kukosoa wakati katika kipindi chake ndio wapinzani wa ndani ya CCM na nje walishughulikiwa kuliko wakati wowote ule anatakiwa atambue zama zao zimepita hizi ni zama nyingine.
Yeye pia ni Nzi mstaafu, ajue hilo.Shida hamsikilizi Polepole! Polepole hana chuki na Samia ila anachuki na nzi zinazomzingira Samia. View attachment 2042306
Wote ni wapuuzi tu na wachumia tumbo.Kamsikilize tena. Kisha Uwasikilize wakina Bulembo wakati wa JPM na Nnauye pia.
Lakini sikio la kufa halisikii dawa.Huyo mtu asitarajie kupatiwa huruma kutoka kwa watanzania hata siku moja
Usikute hata yeye alikuwa mmoja wa waanzilishi wa hilo jina la wasiyojulikanaLakini sikio la kufa halisikii dawa.
Kaonywa sana akae kimya, domo sasa limkiponza kichwa, wasiojulikana enzi zake wameanzia kwake.
A failed politician can easily be bought and soldView attachment 2040058
Polepole yupo katika mood ya kuchanganyikiwa kisiasa.
He has not been a bright fellow all along.
He is not even a Thinker.
Opportunist?-YES.
Polepole alichomoza wakati wa mjadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.
Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.
AKASIFIA MA V8
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure ya opportunist Polepole.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!
Sasa yuko mitaani baada ya mentor wake Magufuli kufariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.
WHOM IS HE FOOLING?
Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.
Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!
Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
What goes around, comes around!Usikute hata yeye alikuwa mmoja wa waanzilishi wa hilo jina la wasiyojulikana
100%What goes around, comes around!
Kama hivyo ilivyofanyika ndio mnalipiza kisasi cha kijinga hivyo?Ukimsikiliza Humphrey Polepole na ukianza kumjua polepole before JPM hajaingia magogoni na Polepole wakati wa JPM na Polepole huyu wa Sasa utagundua Polepole anaumwa ugonjwa wa kihoro.
Polepole hakuwahi kudhani JPM angefariki mapema vile alijua kupewa ubunge ilikua njia ya kutaftiwa nafasi kwenye baraza la mawaziri lakini sivyo, kifo kimekatisha ndoto zake.
Polepole anapata wapi uhalali wa kukosoa wakati katika kipindi chake ndio wapinzani wa ndani ya CCM na nje walishughulikiwa kuliko wakati wowote ule anatakiwa atambue zama zao zimepita hizi ni zama nyingine.
Kumbe Polepole ni msukuma [emoji1][emoji1]Msukuma mwenzenu sasa mnaanza kumtenga kisa baba yake kafa?