Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliowengi bado wanaamini itatokea miujiza ya kurudi tena duniani maana walimuona kama masiah waoInaelekea hajui kuwa JPM kalala usingizi wa milele.
Huyo mtu asitarajie kupatiwa huruma kutoka kwa watanzania hata siku mojaPolepole is a fool. Na bahati.mbaya hajui kusoma Alana za nyakati...wale wote walioumia kwenye awamu iliyopita hawajasahau Nini kiliwatokea. Na hawapo tayari kusamehe. Ajiandae kwa maumivu zaidi
Ha ha ha!Polepole is a fool. Na bahati.mbaya hajui kusoma Alana za nyakati...wale wote walioumia kwenye awamu iliyopita hawajasahau Nini kiliwatokea. Na hawapo tayari kusamehe. Ajiandae kwa maumivu zaidi
Mbinu hii unayoitahadhalisha hutumiwa sana na wachache wa hoja.
Huanza kumshambulia mtu personally kuliko kushambulia hoja yake kwa hoja zenye nguvu.
Mtu soft kama shaka hawezi kubishana na chakubanga hata dakika 2.
Siyo sawa kumgombeza mtu kwa kutoa maoni yake. Kama hukubaliani na hoja zake, toa zako tuzilinganishe na zake na kuamua hoja zipi zina mantiki zaidi. Kusema kwamba akikaa kimya nobody will miss him si kweli. Tupo ambao tunathamini kauli zake. Usitusemee bila kutuuliza maoni yetu. Ishia kutoa maoni yako tu. Uhuru wa kutoa maoni ndiyo msingi wenyewe wa demokrasia. Tusizibane midomo.View attachment 2040058
Polepole yupo katika mood ya kuchanganyikiwa kisiasa.
He has not been a bright fellow all along.
He is not even a Thinker.
Opportunist?-YES.
Polepole alichomoza wakati wa mjadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.
Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.
AKASIFIA MA V8!
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure ya opportunist Polepole.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!
Sasa yuko mitaani baada ya mentor wake Magufuli kufariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.
WHOM IS HE FOOLING?
Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.
Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!
Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
View attachment 2040058
Polepole yupo katika mood ya kuchanganyikiwa kisiasa.
He has not been a bright fellow all along.
He is not even a Thinker.
Opportunist?-YES.
Polepole alichomoza wakati wa mjadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.
Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.
AKASIFIA MA V8!
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure ya opportunist Polepole.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!
Sasa yuko mitaani baada ya mentor wake Magufuli kufariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.
WHOM IS HE FOOLING?
Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.
Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!
Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
Shaka ni mtu anayeongelea issues/ideas, ujenzi wa madarasa,maji, hospital etc. na Pole pole ni mtu anayependa kuongelea watu mfano hawajafanya hiki mara kile mara wahunu,amekosa nuru na utulivu kwa ujumla,ana tapa tapa hajui lipi la kushika.
Hapa wala si Kukuma Gang, ni mtu tu asiye na akili kujikweza akifikiri CCM aliyoingia haipo.suKuma gang hoyeee!!
Mkuu mtu mnafiki utamjibu kwa vipi.Siyo sawa kumgombeza mtu kwa kutoa maoni yake. Kama hukubaliani na hoja zake, toa zako tuzilinganishe na zake na kuamua hoja zipi zina mantiki zaidi. Kusema kwamba akikaa kimya nobody will miss him si kweli. Tupo ambao tunathamini kauli zake. Usitusemee bila kutuuliza maoni yetu. Ishia kutoa maoni yako tu. Uhuru wa kutoa maoni ndiyo msingi wenyewe wa demokrasia. Tusizibane midomo.
Je wakati yupo kama katibu mwenezi , na jpm akiwa rais waliweza kuwasikiliza wengine waliokuwa na hoja?nini kilimkuta nape, benard membe,Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.
Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, Polepole asijekuwa na pointi ya msingi halafu tukashindwa kuisikiliza kwasababu ya kumuhukumu kwa past.
Inajulikana wapo baadhi ya wanasiasa waliowahi kuongea pumba siku za nyuma lakini leo wakiongea tunawasikiliza, kwanini isiwe hivyo kwa Polepole?
Polepole anamchukia Samia, huo ni Ukweli! And Samia hana inzi yeyote na wala hana ukaribu na mteule wake yeyote yule, kifupi awamu ya Samia hakuna mteule asiyegusika!!Shida hamsikilizi Polepole! Polepole hana chuki na Samia ila anachuki na nzi zinazomzingira Samia. View attachment 2042306
Nyie mbona hamkuwaruhusu waliokuwa na mitazamo tofauti na nyie waseme? Mkuki kwa nguruwe siyo....Siyo sawa kumgombeza mtu kwa kutoa maoni yake. Kama hukubaliani na hoja zake, toa zako tuzilinganishe na zake na kuamua hoja zipi zina mantiki zaidi. Kusema kwamba akikaa kimya nobody will miss him si kweli. Tupo ambao tunathamini kauli zake. Usitusemee bila kutuuliza maoni yetu. Ishia kutoa maoni yako tu. Uhuru wa kutoa maoni ndiyo msingi wenyewe wa demokrasia. Tusizibane midomo.
"ISHI NA WATU VIZURI SPONSA UFARIKI."Shida hamsikilizi Polepole! Polepole hana chuki na Samia ila anachuki na nzi zinazomzingira Samia. View attachment 2042306