Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Polepole nje ya chama huo mvuto aupate wapi?

Nani mtu wa kumjali au kumfikiria Polepole hapa Tanzania ukiwaacha wanao mtegemea?

Ana mvuto gani kisiasa?
Jisemee wewe na Chadema wenzako ndo mnachuki nae, watanzania wengi tunaoumizwa na namna nchi inavyoenda tunamwelewa sana Pole pole.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Jisemee wewe na Chadema wenzako ndo mnachuki nae, watanzania wengi tunaoumizwa na namna nchi inavyoenda tunamwelewa sana Pole pole.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Usiseme watanzania wengi bali sema wasukuma wenzako.

Sukuma gang lazima mtalia lia sana safari hii maana hakuna cha kudekezwa wala nini kama mlivyokuwa mbabeebwa
 
Polisi wa CCM hakipiga riasasi tatu bila kupatia lazima ajieleze!

Miss Tanzania, et al. 2020. Temeke. Nyambali Nyangwine Printing Press.
 
Mimi naona yuko confused,Magufuli hayupo tena, ameachwa vulnerable, ndio ujue hasara za kuwa chawa wa mtu!!...kajaribu kutafuta ushawishi Kisiasa kaishia kuwa rejected material...he is left confused on what will be his next move, tutarajie more 'shots' from him mpaka hapo afikie at equilibrium state LOL...plus is he not in his 50's??? Middle age crisis...😭😭😭😭😭😭
 
Mbele ya umma wa wanachi wa kawaida polepole ana ushawishi mkubwa na anaeleweka.
Ikipendeza kwa vibrant democracy tuliyonayo angepewa nafasi akatoa mawazo yake na yakasaidia ccm.
Chama kiko kwa Mabepari sasa, Mjamaa hawezi kugusa!

Nilichomuelewa Polepole hana tatizo na Rais Samia, ila anatatizo na watu wanaomzunguka kwani ni wajanja mnooo, ni watu wakuvizia ukifumba macho kuja kufumbua washakupiga.
 
Polepole ni kama GSM, kadiri mnavyompinga ndivyo thamani yake inapanda, kumbukeni jambo baya huwa na wafuasi wanaoendana nalo na zuri linakuwa na wafuasi wake.

Msisahau huu msemo maarufu; "Mwanasiasa akikwambia toka nje kuna giza jiongeze mwenyewe uende ukahakikishe kweli kuna giza"


Pamoja na huyu ndugu kutokuwa na mizizi ya kisiasa, bado anaweza kuwa upande huo huo wa siasa, hakuna mtu anayezaliwa kuwa mwanasiasa, tena ana afadhali kubwa Polepole kuwa mwanasiasa, sababu imetika ndani yake yeye kama yeye na siyo kama hao kina Nape, Januari waliobebwa kutokana na wazazi wao, mtofautishe hao.

Wakati katiba inampa nafasi kuhoji, kuuliza nk kama mtanzania mwingine, basi aachwe azungumze pasi kuvunja sheria.
 
Polepole amezaliwa na kukulia maisha ya kitumishi (wokovu) kushiriki kwa namna yeyote kupoka haki ya Watanzania kutautesa sana moyo wake, aombe msamaha kwa Mungu na wanadamu awe salama.
 
Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.

AKASIFIA MA V8!

Na raha zake, pamoja na AC zake!

Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure kwa opportunist.

Hizi ndiyo dalili za material opportunism[emoji1534][emoji1533]
Anahitaji toba.
 
Polepole ni kichwa zaidi ya Shaka no doubt about it, nimegundua wengi hukwepa hoja zake kwa kujificha kwenye vivuli vya "sukuma gang" etc, mambo ya kipuuzi kabisa, Polepole ajibiwe kwa hoja , sio vitisho au kejeli, hizi akili migando zikemewe kama mapepo wachafu.
Huyo shetani mbona alishiriki wazo la kujibiwa Lisu kwa risasi badala ya hoja?.
 
Polepole angekuwa na msimamo basi asingekubali kuteuliwa kuwa dc wa ubungo.

Kumbuka kwenye ukusanyaji wa maoni ya katiba pendekezwa ya mzee Warioba alivyo kuwa analaani vyeo vya udc.
Mchumia tumbo na njaa kali tu
 
Polepole nje ya ccm ya jiwe ni sawa na kambale nje ya bwawa tu hana lolote na hana lolote
Tetesi ni kwamba amshaanza kubanwa.
Darasa lake la Siasa limeambiwa ni uchochezi.

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amesema ameitwa na Mamalaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kujieleza kuhusu tuhuma zinazomkabili huku akidaiwa kutoa maudhui ambayo yanaashiria uchochezi na chuki kwa Serikali kupitia mtandao wa YouTube.
 
Mpigania tumbo mshamba mshamba mkubwa,watu walimpa ufuasi kwa sababu ya mahitaji ya katiba,akaja Muoga mpiga kelele kwa sababu ya woga wake akampa kula,imekwisha anaenda tena kwa wale aliowasaliti akidhani anakubalika sana au ana akili nyingi ili AZIBWE TENA MDOMO,mara hii imekula kwake,ataaibika,kama alikopa akauze mali zake,
Huyu alijua mambo mengi hayaendi sawa wala kwa maslahi ya Taifa,ila kwaajili ya tumbo lake,alikuwa kimya akifurahia V8.
 
Back
Top Bottom