Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwa ccm hakunaMtaje mwana CCM mwenye ubavu na mvuto wa kisiasa hapa Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ccm hakunaMtaje mwana CCM mwenye ubavu na mvuto wa kisiasa hapa Tanzania.
Gwajiboy na Polepole wanasubiriwa kwahamu na ile Kanda,hasa baada ya kuonyesha msimamo thabiti juu ya chanjo.Msukuma mwenzenu sasa mnaanza kumtenga kisa baba yake kafa?
Ina maana wasukuma wote hakuna anayeipenda chanjo au hakuna aliyechanja?Gwajiboy na Polepole wanasubiriwa kwahamu na ile Kanda,hasa baada ya kuonyesha msimamo thabiti juu ya chanjo.
Jabali lilitamuka chanjo hazifai,na ndo mtu pekee watu wa Kanda pendwa wa walimuamini.Ina maana wasukuma wote hakuna anayeipenda chanjo au hakuna aliyechanja?
Hapo siwezi kukubali kabisa kuwa walisuusia chanjo bali Gwaji alikuwa na maslahi binafsi
Jamaa aliwapoteza sana ndugu zakeJabali lilitamuka chanjo hazifai,na ndo mtu pekee watu wa Kanda pendwa wa walimuamini.
Kujitenga na mtazamo wa Jiwe no samaki nje ya bwawa.
Wahuni bhana 😁😁😁😁😁Huna haja ya kumtetea, siye tumemweka kwenye mzani, hatoshi!
Nafikiri ni muda wake sasa wa kufundishwa adabu na hilo limekuja by suprise kama alivyowatabiria wenzie😂 atafte kazi nyengine😂And thats the paradox
Polepole kazungumzia "wahuni", watu ambao in political terms ameshindwa kuwa define!
Pole pole kazungumzia wahuni , halafu kajikuta na yeye mwenyewe yumo kundi hilo hilo la wahuni.
Na mpo wengi wahuni, political vagabonds!
Nyinyi mnamwonea tu Polepole, Yeye alikuwa mkusanya maoni ya wananchi tu,alivyomaliza kukusanya wakayapeleka bunge la katiba,wakina Polepole hawakurusiwa kuingia humo kwenye bunge la katiba,wakabaki kutolea ufafanuzi kwenye makongamano na tv station, maoni yalivurugiwa kwenye bunge la katiba,walianza kunyofoa vipengere vyote vyenye kuwajibisha Serikali na mambo yaliyousu muungano,hapo ndipo mvurugano wa katiba ulikoanzia,sasa Hapo Polepole aliusika vipi kuvuruga maoni ya katiba, wakati akurusiwa hata kuingia kutoa hata ufafanuzi tu.Acheni chuki na PolepoleUjamaa wa kukana katiba mpya ambayo aliipigania. Umaarufu wa Polepole ulianzia kwenye katiba mpya. Lakini kwa sababu ya njaa zake (ndio kununuliwa kwenye) aliikana mazima hiyo katiba. Unataka atembee uchi ndio uamin kuwa ni malaya wa kisiasa mwenye maslahi ya tumbo lake tu?
Sio kwa Watanzania ndg.Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.
Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, Polepole asijekuwa na pointi ya msingi halafu tukashindwa kuisikiliza kwasababu ya kumuhukumu kwa past.
Inajulikana wapo baadhi ya wanasiasa waliowahi kuongea pumba siku za nyuma lakini leo wakiongea tunawasikiliza, kwanini isiwe hivyo kwa Polepole?
Wewe mpumbavu, usiwaingize watu wa kanda ya ziwa kwenye huo ujuha wako na MaguJabali lilitamuka chanjo hazifai,na ndo mtu pekee watu wa Kanda pendwa wa walimuamini.
Kujitenga na mtazamo wa Jiwe no samaki nje ya bwawa.
Mkuu huwa napenda sana comments zako maana huwa unatumia akili badala ya mihemko na kuendeshwa na uchama.Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.
Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, Polepole asijekuwa na pointi ya msingi halafu tukashindwa kuisikiliza kwasababu ya kumuhukumu kwa past.
Inajulikana wapo baadhi ya wanasiasa waliowahi kuongea pumba siku za nyuma lakini leo wakiongea tunawasikiliza, kwanini isiwe hivyo kwa Polepole?
Unanitukana unanijua?umelaaniwa kuanzia Sasa.Wewe mpumbavu, usiwaingize watu wa kanda ya ziwa kwenye huo ujuha wako na Magu
Ya nini kumsikiliza opportunist?!! Ili nini hasa? Tumekosa watanzania wa kuwasikiliza?!!!!! Unamsikiliza mtu asiye na principles, hajulikani ata anasimamia nini!!! Angebakia polepole wa katiba au angeibuka wakati wa dikteta akasimamia kimoja tungemuelewa. Huyu hana lolote la kusikilizwa...watu kama hawa Baba Wa Taifa aliwata malaya wa kisiasa. Sasa tumsikilize malaya?!!! Tumsilize kiroboto??!!!Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.
Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, Polepole asijekuwa na pointi ya msingi halafu tukashindwa kuisikiliza kwasababu ya kumuhukumu kwa past.
Inajulikana wapo baadhi ya wanasiasa waliowahi kuongea pumba siku za nyuma lakini leo wakiongea tunawasikiliza, kwanini isiwe hivyo kwa Polepole?
Amelaaniwa mama yako, baba yako na ukoo wako wote mnafirwa mchana wa jua kali.Unanitukana unanijua?umelaaniwa kuanzia Sasa.
Sukumbuki mwanasiasa aliyekuwa akiongea pumba huko nyuma ambaye leo tunamsikiliza na kumtilia maanani. Kama ni wachumia tumbo enzi za jiwe tunawafamu - hawana value-addition yoyote. Hawana kipya cha kutufunza.Polepole avumiliwe tu atoe maoni yake, ni haki yake kisheria, na naona itapendeza zaidi kama hoja zake zikijibiwa kwa hoja sioni sababu ya ku-refer alikotoka au alichowahi kusema.
Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, Polepole asijekuwa na pointi ya msingi halafu tukashindwa kuisikiliza kwasababu ya kumuhukumu kwa past.
Inajulikana wapo baadhi ya wanasiasa waliowahi kuongea pumba siku za nyuma lakini leo wakiongea tunawasikiliza, kwanini isiwe hivyo kwa Polepole?
What goes around, comes around.Nafikiri ni muda wake sasa wa kufundishwa adabu na hilo limekuja by suprise kama alivyowatabiria wenzie😂 atafte kazi nyengine😂