Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

View attachment 2040058Polepole yupo katika mood ya kuchanganikiwa kisiasa.
He has not been a bright fellow all along.
He is not even a Thinker.
Opportunist?-YES.

Polepole alichomoza wakati wa mbadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.

Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.
AKASIFIA MA V8!
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure kwa opportunist.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!

Sasa yuko mitaani baada ya mentor Magufuli kafariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.
WHOM IS HE FOOLING?

Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.

Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!

Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
If this isn't a spot on description of Pole Pole I don't know what will ever be.
Pole anaishi kwenye denial ya kuwa anakubalika sana na kuwa ana wafuasi wengi. Anasahau relevance pekee aliyokuwa nayo ni kuwa alikuwa kibaraka wa Magufuli. Hii inamaanisha umaarufu wake na thamani yake vimeondoka na Magufuli.
Ni swala la wakati atasahaulika kabisa kama alishawahi hata kuexist.
Haya madarasa yake ya uongozi yatabadilika kuwa madarasa ya mapishi.
 
Mbona mnatumia nguvu kubwa kuandika,

“Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote”

Mnamshambulia nini umekili hana sifa
Kelele zake zimetuchosha.
 
Polepole ni kichwa zaidi ya Shaka no doubt about it, nimegundua wengi hukwepa hoja zake kwa kujificha kwenye vivuli vya "sukuma gang" etc, mambo ya kipuuzi kabisa, Polepole ajibiwe kwa hoja , sio vitisho au kejeli, hizi akili migando zikemewe kama mapepo wachafu.
We ulishawahi kuijibu "hoja" ya ma V8?
Tena amezungukwa na mabendera ya chama!
Kama uwezo wako ni kama alionao Pole pole , basi n kukupa pole tu!
 
Wahuni mpo kazini
Kwa sasa hakuna mjinga hapa tanzania, hakuna cha mzizi wa siasa bali ni haki na uwajibikaji,
Usijidanganya kwa kutumia pesa ukazani kwa sasa zitampa mtu umaarufu kisiasa kama zamani.
Kwa sasa utaliwa na watu wataelekea wanapo jua kuna haki.
And thats the paradox
Polepole kazungumzia "wahuni", watu ambao in political terms ameshindwa kuwa define!
Pole pole kazungumzia wahuni , halafu kajikuta na yeye mwenyewe yumo kundi hilo hilo la wahuni.
Na mpo wengi wahuni, political vagabonds!
 
View attachment 2040058

Polepole yupo katika mood ya kuchanganikiwa kisiasa.
He has not been a bright fellow all along.
He is not even a Thinker.
Opportunist?-YES.

Polepole alichomoza wakati wa mjadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.

Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.
AKASIFIA MA V8!
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure ya opportunist Polepole.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!

Sasa yuko mitaani baada ya mentor wake Magufuli kufariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.
WHOM IS HE FOOLING?

Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.

Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!

Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
Yuko na haki ya kulonga na kusikilizwa,maana hakuna upumbavu ulio upumbavu mtupu,hata kwenye upumba na ya maana yamo Ila inahitaji mwenye hekima.
 
Polepole anajijua😃😃😃😃

Ufunuo 3:15-16​

Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.​

Polepole hajijui, hajielewi, hajawahi kuwa!
 
View attachment 2040058

Polepole yupo katika mood ya kuchanganikiwa kisiasa.
He has not been a bright fellow all along.
He is not even a Thinker.
Opportunist?-YES.

Polepole alichomoza wakati wa mjadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.

Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.
AKASIFIA MA V8!
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure ya opportunist Polepole.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!

Sasa yuko mitaani baada ya mentor wake Magufuli kufariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.
WHOM IS HE FOOLING?

Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.

Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!

Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
Binafsi namfam Polepole kuwa si mtu wa kuyumba katika kauli zake, Polepole ni mwanasiasa ambao wapo tayari kusimamia wanachokiamini, hanunuliki ye kwake siasa ni itikadi sio sehemu ya kutafutia ugali! Polepole ni mjamaa! Polepole ukimfatlia tangia huko nyuma kipind ata cha kampeni mwaka 2015 alikuwa anakubalina na Magufuli, Polepole kiitikadi ni rahisi kufanya siasa zake akishirikiana na wakina Mzee wa Mangura, Bashiru Ally, wakina Kabudi, Warioba na Butiku! Polepole ni mjamaa kiuhalisia hawezi kukaaa chungu kimoja na Mabepari.
 
Binafsi namfam Polepole kuwa si mtu wa kuyumba katika kauli zake, Polepole ni mwanasiasa ambao wapo tayari kusimamia wanachokiamini, hanunuliki ye kwake siasa ni itikadi sio sehemu ya kutafutia ugali! Polepole ni mjamaa! Polepole ukimfatlia tangia huko nyuma kipind ata cha kampeni mwaka 2015 alikuwa anakubalina na Magufuli, Polepole kiitikadi ni rahisi kufanya siasa zake akishirikiana na wakina Mzee wa Mangura, Bashiru Ally, wakina Kabudi, Warioba na Butiku! Polepole ni mjamaa kiuhalisia hawezi kukaaa chungu kimoja na Mabepari.
Acha hizo!
Polepole ni political oppurtunist.
Kusifia ma V8 ndio sera za kijamaa?
 
View attachment 2040058

Polepole yupo katika mood ya kuchanganikiwa kisiasa.
He has not been a bright fellow all along.
He is not even a Thinker.
Opportunist?-YES.

Polepole alichomoza wakati wa mjadala ya Katiba Mpya, na hadi leo sijui alikuwa akimuwakilisha nani, maana alikuwa aki blast the Political Status Quo.

Wakati wa JPM na hata baada ya kupata madaraka, maajabu yakatokea.
AKASIFIA MA V8!
Na raha zake, pamoja na AC zake!
Pamoja na ushamba, ile ilikuwa stark exposure ya opportunist Polepole.
Hizi ndiyo dalili za material opportunism!

Sasa yuko mitaani baada ya mentor wake Magufuli kufariki.
Ati akaanzisha Darasa la Siasa.
WHOM IS HE FOOLING?

Polepole hana mizizi ya kisiasa
Polepole hana ubavu wa mali wala wa kisiasa.
Polepole hana wafuasi wowote kisiasa, hana appeal yoyote.

Kuwatetea machinga ni ile opportunists appeal kujaribu kupata political capital.
It failed miserably!

Mimi namshauri Polepole aingie mitini tu, kama Bashiru.
No body will miss him.
Alipoongelea ma-viete pale alikuwa katika ulevi wa madaraka usioweza kuelezewa ukaeleweka. Siku zote muda ndio msema ukweli.

Utawajua wanasiasa rangi zao halisi kwa kuwa mvumilivu ukiuheshimu muda, kwani unaanika kila kitu na kukiweka wazi kwa kila mtu.
 
Binafsi namfam Polepole kuwa si mtu wa kuyumba katika kauli zake, Polepole ni mwanasiasa ambao wapo tayari kusimamia wanachokiamini, hanunuliki ye kwake siasa ni itikadi sio sehemu ya kutafutia ugali! Polepole ni mjamaa! Polepole ukimfatlia tangia huko nyuma kipind ata cha kampeni mwaka 2015 alikuwa anakubalina na Magufuli, Polepole kiitikadi ni rahisi kufanya siasa zake akishirikiana na wakina Mzee wa Mangura, Bashiru Ally, wakina Kabudi, Warioba na Butiku! Polepole ni mjamaa kiuhalisia hawezi kukaaa chungu kimoja na Mabepari.
Ujamaa wa kukana katiba mpya ambayo aliipigania. Umaarufu wa Polepole ulianzia kwenye katiba mpya. Lakini kwa sababu ya njaa zake (ndio kununuliwa kwenye) aliikana mazima hiyo katiba. Unataka atembee uchi ndio uamin kuwa ni malaya wa kisiasa mwenye maslahi ya tumbo lake tu?
 
1639210701363.png

Polepole anashauriwa ende slow slow!
Kuna road bump(tuta) atalikuta mbele!
 
And thats the paradox
Polepole kazungumzia "wahuni", watu ambao in political terms ameshindwa kuwa define!
Pole pole kazungumzia wahuni , halafu kajikuta na yeye mwenyewe yumo kundi hilo hilo la wahuni.
Na mpo wengi wahuni, political vagabonds!
Umemtafsili wewe lakini sio yeye alichomaanisha,
Yeye alisema watu serikalini na humo serikalini si wote wanasiasa na wengine wapo wa upinzani ni watumishi na ni wahalifu au wahuni.
 
Umemtafsili wewe lakini sio yeye alichomaanisha,
Yeye alisema watu serikalini na humo serikalini si wote wanasiasa na wengine wapo wa upinzani ni watumishi na ni wahalifu au wahuni.
Huna haja ya kumtetea, siye tumemweka kwenye mzani, hatoshi!
 
Polepole nje ya chama huo mvuto aupate wapi?

Nani mtu wa kumjali au kumfikiria Polepole hapa Tanzania ukiwaacha wanao mtegemea?

Ana mvuto gani kisiasa?
Mtaje mwana CCM mwenye ubavu na mvuto wa kisiasa hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom