Tetesi: Polepole Kuitisha Kikao kuwajadili Nape na Bashe, ni baada ya Kinana kugoma

Status
Not open for further replies.
Hivi humo ndani inapaswa kila kiyu kiwe ndioooooooooo

Tcha

Mna kazi basi

Bora mje tulime bamia tu

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
ICU case

Sent from my HTC One X using JamiiForums mobile app
 
Kwani polepole kachaguliwa na nani? Hiki cheo si kazi yake kucheza ngoma kwa midomo.
 
Lumumba matumbo joto Kinana kawaacha njia pansa

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Maisha yanaenda kasi sana Nape wa bao la mkono leo ndio wakujadiliwa na ccm?
 
Whatever man, CCM ni Chama Dola, that's what matters!
....Bila kusahau kwamba hiki ndicho chama kilichoipindisha nchi ikawa kama seli mundu, jambo ambalo limempa kazi kubwa mkulu kujaribu kuinyoosha nchi na hata Ulaya amekosa nafasi kwenda. Yaani hakuna mtanzania atakayekisahau au ambaye hajaisoma namba kwa ajili ya hiki chama.
 
huyu mkulu yupo wapiii jamani wanaLUMUMBA?
 
Hivi Pole Pole na nape nani anaijua ccm, mwambieni pole Pole atulie, asije tokea mlango alioingilia

Mnakumbuka siasa za kikwete na mzee mangula, mwisho wa siku kipi kilitokea watu si walienda mpigia magoti mzee mangula aje okoa jahazi kwaiyo pole Pole tulia kabisa
 
Shida wakati mwingine watu tunaaminishwa kutofautiana fikra ni uadui!Tutumie vizuri mbongo zetu.

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Nnape fukuza akaanzishe chama maana hakuwa na nia ya mabadiliko nakama alikuwa nayo basi Magu ndio jibu ila na Magu anamsumbuwa huyu sio mnyama wala ndege fukuza
 
Nnape fukuza akaanzishe chama maana hakuwa na nia ya mabadiliko nakama alikuwa nayo basi Magu ndio jibu ila na Magu anamsumbuwa huyu sio mnyama wala ndege fukuza

tusubiri time will tell
 
Vita vya panzi ni furaha kwa kunguru

Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
 
Unaujua muundo wa CCM na jinsi unavyofanya kazi?
Unamjua MANGULA WEWE?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…