johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya 70% wanaikubali CCM.
Komredi Polepole amesema hayo jijini Mbeya alikoendesha harambee ya kuichangia CCM na kuvunja rekodi kwa kukusanya sh 160 milioni kati ya sh 156 milioni zilizobajetiwa
Wananchi wa Mbeya wamesema watampiga chini Sugu liwake jua au inyeshe mvua na kwamba watamchagua mgombea yoyote atakayeteuliwa na CCM
Chanzo: Channel ten tv
Maendeleo hayana vyama!
Komredi Polepole amesema hayo jijini Mbeya alikoendesha harambee ya kuichangia CCM na kuvunja rekodi kwa kukusanya sh 160 milioni kati ya sh 156 milioni zilizobajetiwa
Wananchi wa Mbeya wamesema watampiga chini Sugu liwake jua au inyeshe mvua na kwamba watamchagua mgombea yoyote atakayeteuliwa na CCM
Chanzo: Channel ten tv
Maendeleo hayana vyama!