Uchaguzi 2020 Polepole: Kura ya maoni inaonesha Rais Magufuli anakubalika na wananchi kwa 90% na CCM inakubalika kwa 70%

Uchaguzi 2020 Polepole: Kura ya maoni inaonesha Rais Magufuli anakubalika na wananchi kwa 90% na CCM inakubalika kwa 70%

Kwahiyo Magufuli binafsi anakubalika kuliko chama chake....

Sawa yanaanziaga huku kuelekea kwenye umilele wa mamlaka
Na hata 2015 Maguful aliibeba CCM mwenyewe, inawezekana kabisa Kwa sababu hata Mimi binafsi namkubali Magufuli kuliko......
 
Utafiti uliofanywa na taasisi ya utafiti isiyo ya kiserikali Twaweza umebaini kuwa umaarufu wa Rais wa Tanzania, Dokta John Magufuli umeshuka kutoka asilimia 96 mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 55 mwaka huu.

Asilimia 55 ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli tangu alipoingia madarakani mwaka 2015. Kukubalika huku kumepungua kutoka 96% mwaka 2016, na 71% mwaka 2017.

Kiwango cha kukubalika kwa Rais kimeshuka kutoka kwenye rekodi ya juu kuwahi kuwekwa na Rais wa Tanzania mpaka rekodi ya chini tangu takwimu hizi zianze kukusanywa mwaka 2001...
Hahahaha jamaa akaambiwa sio Mtanzania, wanachukua passport yake
 
Tena ndoto za mchan asaa sita maana ara nyingi huwa zinatokana na mawazo hazina uhalisia

Hawa wayu bure kabisa, kam awanakubalika kiasi hicho waachie upinzani japo mwanya kidogo yu wa kufanya kampeni wala wasitumie nguvu ya jeshi la polisi
Ccm bado wako ndotoni

Ccm inakubalika 70% au 30%
 
Utafiti uliofanywa na taasisi ya utafiti isiyo ya kiserikali Twaweza umebaini kuwa umaarufu wa Rais wa Tanzania, Dokta John Magufuli umeshuka kutoka asilimia 96 mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 55 mwaka huu.

Asilimia 55 ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli tangu alipoingia madarakani mwaka 2015. Kukubalika huku kumepungua kutoka 96% mwaka 2016, na 71% mwaka 2017....
Utafiti huru ukifanywa sasa umaarufu huo utakuwa chini ya 10%.

Hiyo source ya taarifa, channel 10 ni ya ccm
 
UNDP wametunyima fweza hata za uchaguzi mkuu hizo za utafiti wametoa wapi?

Tujikinge na Corona maana inatisha kote duniani.
 
Ndugu Polepole, hakuna uhakika, chama chetu na hata Rais wetu wamepungua umashuhuri na kupendwa katika mikoa ya kilimanjaro, Arusha, Tanga, Lindi, Mtwara, Zanzibar, kigoma, Mara. Sasa iwapo hutupendwi karibia mikoa 8 - 10, itakuwaje tunapata asilimia hizo.

Tutashinga kwa kuchakachua, labda muwarudishe wale wachawi wa campaigne akina Kinana, Makamba, Nape wakiongozwa mzee wa Tabasamu Kikwete.
 
CCM wanachangisha harambee wanavuka malengo! CHADEMA wakichangisha kutimiza malengo mpaka wasaidiwe na CCM!
Good!

Viongozi wote wenye mitazamo ya kikomunisti huwa na tabia za kuwa na kura zao za maoni, na hutengeneza matokeo yanayobeba hisia na matamanio yao ili kuhadaa umma kuwa wanakibalika. Na hutumika shuruti kulazimisha matokeo hayo kwenye box la kura. Na mara zote huwa hawakubali kura za maoni huru, maana huwa zinatoa mwelekeo sahihi wa wananchi, ambazo kura hizo za maoni huwa haziwafurashi.

Hiyo kuchangiwa ccm inafanyika sio kwakuwa ccm inakubalika, au watu wanachanga kwa mapenzi yao, bali wanachanga ili kujiepusha na usumbufu wanaoweza kupata kutoka kwenye dola. Hofu ndio inayopelekea wananchi, hasa wafanyabishara, na watu wenye shughuli haramu, kuichangia ccm ili kufumbiwa macho kwenye shughuli zao.
 
Back
Top Bottom