Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo ya uchaguzi Tanzania na kukubalika ni vitu viwili tofauti. Ukikubalika na polisi na tume huna haja ya kukubalika na wananchi.Baada ya uchaguzi ndio utaelewa mwana Sacco's
Wewe wasemaYes ndo maana alipata kura 4000000 ..hzo nyingine ni kwa msaada wa Tume ya uchaguzi...hakushinda
Ipo siku wataambiwa washike ukutaSiku hizi kuna watu wanaona fahari sana kuwa watumwa wa watu wengine kazi yao kubwa ni kujipendekeza na kujitoa fahamu kisa hela na umaarufu
Huyu jamaa kesi yake iliishia wapi ?Utafiti uliofanywa na taasisi ya utafiti isiyo ya kiserikali Twaweza umebaini kuwa umaarufu wa Rais wa Tanzania, Dokta John Magufuli umeshuka kutoka asilimia 96 mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 55 mwaka huu.
Asilimia 55 ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli tangu alipoingia madarakani mwaka 2015. Kukubalika huku kumepungua kutoka 96% mwaka 2016, na 71% mwaka 2017...
CCM wanachangisha harambee wanavuka malengo! CHADEMA wakichangisha kutimiza malengo mpaka wasaidiwe na CCM!
Good!
Wanaota ndo za mchana haoCcm bado wako ndotoni
Ccm inakubalika 70% au 30%
Sasa ni kipi kinamuogepesha kuruhusu TUME HURU!? Na hii sample yake ilikuwa ni ya ukubwa gani na katika mikoa ipi?
Hata wakipiga kura mapolisi watupu hafiki hata 50%. Maigizo hayana mvuto tena.Mwanaccm pekee aliyeshinda kwa kishindo kihalali kwa asimilia nyingi ni Jakaya Kikwete mwaka 2005.
Hata yeye mwaka 2010 alikuwa amechokwa kura zikapungua.
Utakuwa ni mchezo wa futuhi mtu ufanye mambo ya ovyo ovyo halafu uje ushinde kwa asilimia 90.
Only fools from L7 can buy that.
Mkuu, hayo ndiyo maelekezo yanatolewa kwa Tume ya Uchaguzi. Hawatakubali Yohana apate 57 %...... Unless huyo mtu hajipendi.
Thubutu yakoTunaomba muchapishe fomu nyengine basi aje kuchukuwa Membe walau tujiridhishe ni kweli anapendwa kwa 90% au 100%. Maana isijekuwa anapendwa kwa 100% ila Slow Slow anapindisha takwimu.
Wewe ni Mataga huna jipyaNa hata 2015 Maguful aliibeba CCM mwenyewe, inawezekana kabisa Kwa sababu hata Mimi binafsi namkubali Magufuli kuliko......
Uoga alionao kurubusu tume huru ni ishara kuwa anajua hakubalikiSasa ni kipi kinamuogepesha kuruhusu TUME HURU!? Na hii sample yake ilikuwa ni ya ukubwa gani na katika mikoa ipi?