Pauline rogat
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 339
- 196
Serikali Isiyo top heavy maana yake nini?
Kama kuna meyor wa jiji ni kwa nini juu yake kuwe na DED, DC, DAS, DMO,DEO, na viongozi wote wa idara zote za serikali; na juu Yao tena RC, RAS,DRAS, na hao wengine wote kwenye mkoa!!!!!
Hawa wote wapunguzwe na wizara zipunguzwe kabisa! Milia iwe tu ile ya Mwalimu Nyerere ila kule vijijini kuwe na viongozi wengi na wazuri waliochaguliwa na watu bila rushwa!
Kama kuna meyor wa jiji ni kwa nini juu yake kuwe na DED, DC, DAS, DMO,DEO, na viongozi wote wa idara zote za serikali; na juu Yao tena RC, RAS,DRAS, na hao wengine wote kwenye mkoa!!!!!
Hawa wote wapunguzwe na wizara zipunguzwe kabisa! Milia iwe tu ile ya Mwalimu Nyerere ila kule vijijini kuwe na viongozi wengi na wazuri waliochaguliwa na watu bila rushwa!