Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Ndio aina ya viongozi wenu mwendazake alisema traffic rushwa 5000 ruksa hiyo ni kidogo. Ulikuwa kwenye usukani hukusema lolote. Katiba mpya n tume huru ni muhimu ili Wtz wachague viongozi si bora kiongozi
kulikuwa na haja gani kuyasema hayo ya Magufuli?
Umeshindwa kabisa kuchambua hoja ya polepole, eti unahalalisha kosa kwa kosa lingine, wewe ni kilaza!
 
Sidhani kama hata form two failure umefika, its either std 7 failure au mchunga mbizi wa waziri. Nonsense
Mtu akiwa failure siyo kwamba hana nafasi katika jamii kutoa maoni yake. Wewe msomi inatakiwa upangue kwa hoja baada ya hoja. Amasivyo wewe ni msomi kwa cheti tu. Wengine wanaiba mitihani na kufika hadi vyuo vikuu.
 
Back
Top Bottom