Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Polepole yupo tayari kupoteza maisha yake ili kukemea maovu
 
Ovyooo! Kuna Waziri aliyejitokeza kulaani Ile kauli ya VIETEEE???
Alikuwa anakula Kwa urefu WA kamba yake! Walimchunia!
 
View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole

"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole

Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Watalaani vipi kauli ya boss wao
 
View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole

"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole

Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Rais amebariki rasmi ufisadi serikalini. Mfano angalia jinsi askari wa usalama barabarani wanavyopokea rushwa hadharani bila uoga na takukuru wanapokea mishahara na kupandishwa vyeo
 
Mzee, hatujasahau tunaomba chenji ya ile pesa ya manunuzi ya wabunge na madiwani wa CDM.
 
Polepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
akikujibu hilo swali, rudi hapa na mrejesho. tumshukuru sana mama alienda hadi nairobi kumjulia hali pamoja na shinikizo na hofu zilizokuwa zimetawala kipindi kile, alienda, pamoja na kwamba lisu bado amemuona hana maana.
 
View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole

"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole

Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Watanzania kwa kupenda kupotosha kauli wanastahili PHD. Kula kwa urefu wa kamba ni kula kwa kutegemea mshahara wako wa halali, imepotoshwa kisiasa na huyu mnafiki nae kaingia mazima katika upotoshaji.
 
Anacho kisema Pole pole ni kweli hasa!!huwezi sema vile!!na majibu yenu ya kejeli kwake mtakuja ficha nyuso zenu!!muda si mrefu mtayapata na Pole pole atakuwa shujaa!!
Umekuwa nabii wa majanga, unayetegema kufeli badala ya kufanikiwa.
 
Polepole ni mwanasiasa wa ajabu sana asiyejitambua, asiyesoma alama za nyakati, aliyeko gizani na anaejaribu kupapasa akiwa pekupeku. Ni kama anatamani ndoto tamu iendelee bila kukubaliana na ukweli kwamba kumekucha. Sorry for him!
 
Umekuwa nabii wa majanga, unayetegema kufeli badala ya kufanikiwa.
Mbona we ni mkongwe kabisa jf?naamini umejiunga kabla yangu humu?ina Maana huoni hata kinachoendelea jamvini!!!??Huwa unasoma nyuzi zipi?? Pole pole ni mbwa anaebweka mwenye Mbwa yupo nyuma yake!!!!sasa kama una akili ungejiuliza Mwenye Mbwa ni nani?ni maiti iliozikwa chattle au ni nani hasa???!!!jitahidi kuwa na macho au hauli mboga za majani siku hizi??aiseh!!!acha niishie hapa!!
 
Watanzania kwa kupenda kupotosha kauli wanastahili PHD. Kula kwa urefu wa kamba ni kula kwa kutegemea mshahara wako wa halali, imepotoshwa kisiasa na huyu mnafiki nae kaingia mazima katika upotoshaji.

Wanasiasa wakati mwingine wanajipalia mkaa wao wenyewe; mtachoka tu kuwatetea! Sasa Rais anawaambia mawaziri wake, “…jipimieni…” What’s that nonsense?
 
Back
Top Bottom