Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
GoodPolepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GoodPolepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
We ujui lolote kuhusu mimi ukitoa ushabiki wa kisiasa ulionao ndio utanijua vizuri tofauti na hapo huwezi kunijuaUnadhani nimekujua leo ehh ,?
Polepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
Weka VIDEO tuone ushaidiNdio aina ya viongozi wenu mwendazake alisema traffic rushwa 5000 ruksa hiyo ni kidogo. Ulikuwa kwenye usukani hukusema lolote. Katiba mpya n tume huru ni muhimu ili Wtz wachague viongozi si bora kiongozi
Polepole kaanza kuzungumzia mambo haya ya democrasia na uongozi wakati wa mama Samia? Polepole yupo hata kabla mimi sijamjua Mama Samia kwa hiyo hapo hoja yako haipo sawa!Sina tatizo na kauli ya Polepole kwani ni kauli inayosemwa mara zote na wapenda haki. Nina tatizo na Polepole kusema maneno hayo ili apate support ya kumfungulia njia ya kurejea kwenye mlo.
Mimi niko poa sana, nimerejea mjini toka shamba maana mvua imegoma. Nasikitika kuendelea kupoteza hela zangu kwa kuendelea na kilimo cha kutegemea biblia ili mvua inyeshe. Acha niendelee na biashara yangu wa kuwa wakala wa miamala ya fedha ya kampuni za simu na mabenki hapa mjini.
Punguza jazba mataga poriWe ujui lolote kuhusu mimi ukitoa ushabiki wa kisiasa ulionao ndio utanijua vizuri tofauti na hapo huwezi kunijua
Basi tatizo limeanzia hapo, tunachokijadili hapa ni ukweli wa hii kauli na hiki kinachoendelea kwasasa kwenye huu utawala.Sina tatizo na kauli ya Polepole kwani ni kauli inayosemwa mara zote na wapenda haki. Nina tatizo na Polepole kusema maneno hayo ili apate support ya kumfungulia njia ya kurejea kwenye mlo.
Mimi niko poa sana, nimerejea mjini toka shamba maana mvua imegoma. Nasikitika kuendelea kupoteza hela zangu kwa kuendelea na kilimo cha kutegemea biblia ili mvua inyeshe. Acha niendelee na biashara yangu wa kuwa wakala wa miamala ya fedha ya kampuni za simu na mabenki hapa mjini.
Polepole kaanza kuzungumzia mambo haya ya democrasia na uongozi wakati wa mama Samia? Polepole yupo hata kabula mimi sijamjua Mama Samia kwa hiyo hapo hoja yako haipo sawa!
Basi tatizo limeanzia hapo, tunachokijadili hapa ni ukweli wa hii kauli na hiki kinachoendelea kwasasa kwenye huu utawala.
Hayo makando Kando aliyonayo shauriyake mwenyewe mana tukisema tujadili hayo tutajikuta kila mtu hastahili kukosoa chochote mana wote wana makando Kando mengi tu si ccm si upinzani.
🤣 nimecheka sana aisee sawa acha kazi iendelea tutafika japo tukiwa tumechoka sana.!!
Kusoma Cuba Kuna faida zake ndo kama hizi Sasa.
Wewe ndo unapima watu?Simzungumzii Polepole wa toka enzi za shule ya msingi, namuongelea Polepole wa rasimu ya Warioba, utawala wa Magufuli na sasa chini ya Samia. Polepole wa kweli tumeomuona wakati wa Magufuli alipopata mlo. Huyo wa sasa ni refurbished.
Sasa Rais si ndio alikuwa anawaonya kwamba wawe kwa kiasi badala ya kuiba na kuvimbiwa?View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole
"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole
Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Wewe kama huna pa kula ,endelea kulalama kama ndugu yako polepole 😁😁Magufuli hawezi kuongea huo ujinga wa kula kwa urefu wa kamba! Waacheni wale kwa urefu wa kambana kufanya birthday!
Wewe ndo unapima watu?
Na wewe endelea kuwa chawa!Wewe kama huna pa kula ,endelea kulalama kama ndugu yako polepole 😁😁
Mimi nakula kwa urefu wa kamba yangu.Na wewe endelea kuwa chawa!
😂😂😂Lissu katulia zake huko we upo bongo unahangaika nae
Wasalimie mopao mkuu.Nipo moshono