Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Kuna kitu sijawahi elewa, enzi za Msoga kuna mtu alipigwa Bomu, kuna kijana Arusha Alipigwa risasi hadharani kwenye maandamano just like Akwilina na PM akasema wapigwe tu, owner wa Mwanahalisi alimwagiwa tindikali, kiongozi wa madaktari alitekwa akaja kupatikana ameng'olewa kucha bt sijawahi kuskia hili likihusanishwa na Mzee wa Msoga au Nape aliekua Katibu Mwenezi...
Now days kuna mauaji kila siku, like everyday ukiamka unakutana na habari za mauaji( I lost a school mate aliekua mwenezi wa cdm mwanza, alipotea akaja patikana mochwari)
bt siskii Mama akisemwa ktk haya...
Unless tuambiane kuna exception inapokuja ktk haya masuala...kwamba yakifanyika utawala fulani then ni lao, yakifanyika tawala fulani haya hayawahusu...Or its a syndicate maalum kuchafua watu fulani na kukwepesha kwa wengine.
Kinachoendelea kwa Magufuli sio kwamba alikuwa kiongozi mbaya au dikteta ni chuki na visasi kwa kuwatumbua vyeti feki, kupinga ufisadi na rushwa, ukwepaji kodi, kuzuia uuzaji madawa ya kulevya, waliojenga kiholela mabarabarani ,wadhulumaji ndio wanaoendesha chuki kwa magufuli kwa kimvuli cha lisu kupigwa risasi, akwilini, Ben saanane kupotea sijui democrasia unafiki mtupu hawana uchungu na hizo haki za binadamu ni maslahi yao binafsi
 
Polepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
Lissu kibaraka wa mabeberu aliye tutishia kuwa tutashitakiwa na wazungu kwa kuwadhibiti wasituibie
 
Pole pole kamba yako kwasasa imekuwa fupi mno malisho yameanza kuisha ndio maana tunaanza kusikia kelele kipindi kamba yako ilipokuwa ndefu kipindi kile Cha JPM ulibaki kujigamba tu na kuisifia V8 kwahiyo tulia na wenzako waongezewe urefu wa kamba wale
 
Magufuli hawezi kuongea huo ujinga wa kula kwa urefu wa kamba! Waacheni wale kwa urefu wa kambana kufanya birthday!
View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole

"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole

Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Nchi ina amani mi naona ndio jambo kuu, hakuna watu kutekwa, kuibiwa fedha zao za kigeni kwenye maduka live live, makesi ya kubambika kama zimepungua sana, watu kuishi kwa khofu jamaa kesho ataamkaje, watu kuvunjiwa majumba yao, kupotezwa na kudhalilishwa kwa kupimwa vinasaba na kunyimwa haki za uraia, wenye mashamba yao kunyanganywa kwa nguvu na dola, watu wasiojulikana kutesa watu, kuibia watu kuuliwa bila majibu alimradi haya mambo yameondoka nadhani tuna amaani,
 
Mama kaongea ukweli bila kupinda pinda. Viongozi wengi ufaidika na vyeo vyao- kwa mfano Safari za magari , kiongozi akiwa madarakani anaweza kusafiri kilomita nyingi za safari binafsi ambazo si za kikazi. Hapo utasemaje - si kiongozi amekula kwa urefu wa kamba yake. Mifano ipo mingi jinsi Viongozi wanavyofaidika na nafasi zao bila kuonekana kwamba wamewaibia wananchi.
Sidhani kama hata form two failure umefika, its either std 7 failure au mchunga mbizi wa waziri. Nonsense
 
CCM mkirudia kosa mlilotufanyia 2015 na nyie tutawszika chato naona kwenye lichama lenu Kuna mabaki ya yule nyang'au wenu mliemwokota huko chato,mkamleta mjini Lumumba.
 
IMG_20220119_153335.jpg
 
Lkn hii ni “free Country“ na ana haki ya kutoa maoni yake kama Mbunge, kosa lake ni lipi ? Mbunge hapaswi kukosoa au kutoa maoni yake tena ?

Polepole ni Mbunge, kaona Serikali haifanyi sawa, anaikosoa, kosa liko wapi ?
Spika kakosoa tu wakamvamia nchi nzima sembuse huyo mbunge !!?
 
View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole

"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole

Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Huyu nae vip, mbona kipindi cha mwendazake alikua kimya, alivyokua akiwaambia watu kua, wataishi Kama mashetani, kila atarudi kijijini na kuondoka dar, pia aliwaambia wana kagera kua Mimi sikuleta tetemeko, kaeni na Mav.I yenu . na maneno mengi mengi machafu , kwa alikua wapi kipindi hicho kukemea , mwambieni akae kwa kutilia
 
Alishapoteza ushujaa muda mrefu, hapo alipo analazimisha ushujaa uchwara. Unyama mwingi ulifanyika kwenye utawala wa Magufuli na alifurahia kwani alikuwa kwenye mlo, sasa hivi hayupo kwenye ulaji ndio anatafuta kick ili arudi kwenye mlo tena.
Tulimwambia hakusikia na sasa hayupo!!Uzi wa Tumiaakili huo kausome!! Pole pole anasema kama alivyoelekezwa kusema!! pole pole alikaa kimya hakuwa na la kufanya angefanya nini??ili na yeye afe??sio kila mtu Anaweza kufia wengine ila kusemea wengine!!!
 
Kama hakumuunga mkono lowasa mbona hujawai kumuunga mkono dr slaa au ndo muendelezo wa unafiki ulionao wewe na wenzio?
,mimi binafsi kuunga mkono chadema sio jambo ila tunaangalia majority walifanyaje. Na kingine wewe usipo muunga mkono polepole wenzako watamuunga iwe kwenye mwanga au gizani endelea kubaki negative kwa kila jambo siku utakapoona upo peke yako ndo utakapoacha kutumia makalio kwenye kufanya maamuzi.
Kuna kitu kimoja mkuu hujaelewa hapo hapingi kwasababu ya uwana harakati ila alicho nacho ni chuki na kumkomoa Kwa kupinga kila kitu anachosema ata kama ni cha kweli kwasababu tu alikuwepo awamu ya Tano.

NB. Punguza maneno makali tujadili na kutoa maoni yetu bila kuvunjiana heshima.
 
Polepole akubali tu mambo yamebadilika baada ya mungu wake kufariki aache masononeko atajiumiza bure apate maradhi ya kujitakia.
 
Mbona chadema waliwahi kumshambulia Lowassa ni fisadi na pia wakasema wanaushahidi na ufisadi wake lakini hao hao wakampokea kwenye chama chao na wakamkabidhi kuwa mgombea wa Uraisi pamoja na unafiki Huu walionyesha lakini bado wengine wanawaamini wanapotoa hoja zao inakuaje kwa Mhe PolePole iwe nongwa?
CHADEMA ni chama tawala?
Shame on you.
 
1643518350293.png

kashakata kamba anaenda kula mahindi kwenye mashamba ya watu.
Mbuzi huwezi tu ukamwacha umemfunga tu kila siku ale kwenye urefu wa kamba yake siku nyingine achelewi kukata kamba na kwenda kuvamia mashamba ya watu .
Mbuzi hata ukimfunga kamba lazima umchunge asije kata kamba na kuingia kwenye mashamba ya watu , huyu maza nazani hajawai kufuga mbuzi wa kufungwa kamba anajiongelesha tu kizembezembe
 
Polepole awe mpole kamba yake ilishakatika awaachie wengine nao wale
Wakati wa Magufuli hamkuwa mnasema haya kwa kina Nnape February na washirika wao although wao wamerudi kula na hawataki kuwaachia wengine, hamseni kabisa yaani vile ni unafiki, roho mbaya and others same like this...
 
Dr. Slaa nilimuunga mkono akiwa CDM sio nje ya hapo. Sumzuii yoyote kumuunga mkono lakini huwa siungi mkono wanafiki. Kama mpo mnaomuunga mkono gizani, sasa unasaka huruma ya nini? Sihitaji kuwa upande wa wengi zaidi ya kufanya ninachokiamini. Ww endelea kufuata upande walioko mabasha zako maana ndio wanaolipa maisha.
kama uungi mkono mtu mnafiki mbona unamuunga mkono Tundu lissu aliwahi kumshambulia Lowassa kuwa ni fisadi na huyo huyo akampokea kwenye chama chao na pia akamfanyia mpaka kampeni uoni kuwa unafanya double standard?
 
AGAIN mkuu hii ni mada tunaijadili na hatuwezi wote tukawa na mawazo sawa,wewe umeona ni kosa kwa CDM kumchukua Mr.Lowasa kuwa presidential candidate wao ni kosa(ni absolute your right)mwingine ataona CDM waliamua kwa busara kumchukua Mr.Lowassa na wana facts zao,kuja kwa Mr.Lowassa CDM walifanikiwa kupata kura zaidi ya 6M za urais(hii ni rekodi hata Mr.Mrema hakuifikia),walipata wabunge wengi wa kuchaguliwa bungeni,na walifanikiwa kuchukua almost majiji yote hapa Tanzania,sasa why wewe uwanyoshee kidole kwa mafanikio yote haya!sometimes we need to relax kidogo ili kuonyesha demokrasia tuliyokua nayo humu..JF
Shida sio kumpokea Lowassa shida ni unafiki waliouonesha kwa kumpokea mtu ambaye wao wenyewe walimtuhumu kuwa ni fisadi na wanaushahidi na ufisadi wake nawakaenda mbali zaidi mpaka wakamuweka kwenye list of shames inakuaje huyo huyo mnampokea na anakuwa mgombea wenu wa uraisi? Hoja kuu Mnamwita PolePole ni mnafiki mbona karibia wanasiasa wote ni wanafiki ikiwamo hao wa Chadema pamoja na unafiki wa viongozi wa Chadema waliwahi kuonesha na wengine pia wanaonesha recently lakini mnawasiliza hoja zao kwanini kwa PolePole iwe mnafanya personal attack badala ya kujadili hoja zake?
 
Back
Top Bottom