Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Hawakujitokeza kupinga kwa kuwa ndiyo ukweli. Hawakutaka kuwa wanafiki. Wanatakiwa wale kwa urefu wa kamba zao kama ilivyo kwangu na kwako.

Kinyume chake watakula na vya wengine. Wanaovimbiwa yawezekana kamba zao ni ndefu mno zipunguzwe au walipofungwa pana nyasi nyingi mno wapunguziwe muda wa malisho.
 
Lukuvi,Kitila Mkumbo,Mwita Waitara na Paramagamba Kabudi naona kamba zilikuwa ndefu sana! Na ikizingatiawa ni wakaristo wakavywekwa! Akaingiza Hamadi Masauni,Asantu Kijaji,Riziwani kikwete n.k
 
Inexperience,teething problems za huyu rais. Nadhani rais alitaka kusema kiongozi asifanye mambo ambayo yako nje ya mamlaka yake.(Outside his sphere of influence).
Endelea kudhani! Hicho kikao kwa nini kilirushwa na Runinga! Kutafuata kupendwa wakati uwezo huna! Jiandae kwa mgao wa umeme! Nunua Solar au taa za kichina! Maana siku kumi zaweza kuzidi hawaaminiki hawa!
 
Deal na hoja achana na mtu!!!
 

Hawawezi Kama wewe ulivyokuwa huwezi wakati WA mwendazake
 

Hakika umejua kuwaelezea Ccm
 
Inexperience,teething problems za huyu rais. Nadhani rais alitaka kusema kiongozi asifanye mambo ambayo yako nje ya mamlaka yake.(Outside his sphere of influence).

Umekuwa mpiga lamli au sio!.

"Alitakakusema"
Alikuambia hivyo ndivyo alivyo takakusema?

Nachuki sana mijitu inayo jitoa akili nakujifanya kama zwazwa.
 
Hakukemea hata ile kauli kwamba "acheni trafiki wachukue hela ya ku brush viatu."

Analalamika kwa maumivu ya kutolewa kwenye ulaji na umaarufu wa kisiasa
 
Mpumbavu huyu. Angesema tu Mama ameonesha hali waliyokuwa nayo hata yeye. Yale Mavieti si urefu tu wa kamba aliyokuwa nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…