Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamulize mbowePolepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
Ila chadema unaiaminiMnafiki si mtu wa kumuamini.
Na kweli mambo ya kihayawani wanajuana na ukijani kibichi . Walanguzi wa nchi yetu mnachoshaPolepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
We boya kweli, Lisu yupo mamtoni anakula bata we mpori pori upo unaharisha hapa.Polepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
Sina chama.Ila chadema unaiamini
Na akili za chadema zipo kama za Nani?Akili za Polepole kama za Crimea
Karibu upate Boerewors kiwandani Moshono Kona.Nipo moshono
Comredi Polepole endelea kupambana na hao wahuni mpaka kieleweke.View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole
"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole
Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Hata ikipita miaka 10,kuna umuhimu wa tume huru kuundwa, ili kuchunguza na kuwataja hadharani wale wote waliohusika kwenye matukio ya mauaji/kupotezwa watu wasio na hatia, kupigwa risasi TUNDU LISSU chini ya utawala wa MAGUFULI, na report hiyo isiache mashaka yoyote, hata kama wamekufa watajwe tujue...Polepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
Huyo Polepole ndie aliyekuwa ananunua wabunge wapinzani kwa njia haramu na za kificho.Je yeye alitengeneza zake ngapi?Wewe, Polepole, ndie mnafiki no. 1.
Ipo hadi ya buku na mbeeGrji mnauzaje pande hizo?
Gaidi mbowe,Polepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
Uko serious?Polepole awe mpole kamba yake ilishakatika awaachie wengine nao wale