Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Polepole: Nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba

Acheni rais apingwe akifanya makosa, ataruhusuje mawaziri wafanye ufisadi eti sababu ni wakati wao halafu chadema wafurahi na kumbeza polepole kisa katoka hadharani na kulaani ile ruhusa? Chadema msipende kupinga Kila kitu kisa Polepole ni CCM.
Akisema Lema au Lisu wanatoka na kubinua binua vi matako vyao huku wakibetua vimidomo kama mwajuma mdala 2, na hapo wanaona kasema mungu wao asiyekua na ufalme mbinguni.
 
Magufuli hawezi kuongea huo ujinga wa kula kwa urefu wa kamba! Waacheni wale kwa urefu wa kambana kufanya birthday!
Aliyeongea rushwa kwa trafiki ni pesa ya kubrashia viatu nani? Alikuwa anatoa ujumbe gani hapo? Au ulikuwa hujaingia mjini kutoka huko kolomije
 
View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole

"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole

Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Yeye mbona alininuaga wabunge, madiwani na viongozi wengine wa upinzani kwa urefu wa kamba yake?! Kamba imekatika sasa anaanza kulialia. Atulie tu, kwenye kundi la waadilifu hayupo hata kwenye 100 bora.

Mwadilifu gani anashiriki kuharibu uchaguzi na kuiba kura mchana kweupeee?
 
View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole

"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole

Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Yani utegemee mawaziri watoke walaani kauli ya mkuu wao? Tusidanganyane siyo Tanzania hii labda unazungumzia nchi nyingine. Hata hivyo wakati Polepole akiwa kwenye nafasi kauli tata nyingi zilikuwa zilikuwa zinatolewa aliwahi kulaani? Hizo ni siasa tu!
 
Inexperience,teething problems za huyu rais. Nadhani rais alitaka kusema kiongozi asifanye mambo ambayo yako nje ya mamlaka yake.(Outside his sphere of influence).

Hapana alitoa na mifano kabisa akasema kuna mmoja anafahamu analipwa sijui dola 2m kwenye kila utengenezaji wa meli kwamba huko ndio kuvimbiwa fuatilia vizuri ile clip ya bibi tozo
 
Polepole tuambie nani alimpiga Lisu risasi haya mengine ni mambo yenu ya kihayawani tangu zamani
Jikite kwenye mada kenge wewe,unampambania lissu wakati yeye yupo ubeligiji anakunywa double distiled vodka na mbebez za kizungu hana ata wasiwasi .
 
Kila mtu ale kwa nafasi yake yeye muda wake ulishapita
 
Mbona chadema waliwahi kumshambulia Lowassa ni fisadi na pia wakasema wanaushahidi na ufisadi wake lakini hao hao wakampokea kwenye chama chao na wakamkabidhi kuwa mgombea wa Uraisi pamoja na unafiki Huu walionyesha lakini bado wengine wanawaamini wanapotoa hoja zao inakuaje kwa Mhe PolePole iwe nongwa?
Wakikujibu ni tag plzzz
 
Hujui kuwa yule ni gaidi kufanya hayo kwake ni rahisi sana!
Kwa taarifa yako gaidi jiwe ndio maana Mungu akaamua ampeleke haraka sana motoni .
Marehemu gaidi alikuwa anatumia vijana wake akina mfungwa sabaya
 
Aliyeongea rushwa kwa trafiki ni pesa ya kubrashia viatu nani? Alikuwa anatoa ujumbe gani hapo? Au ulikuwa hujaingia mjini kutoka huko kolomije
Boro huyu katoka hadharani kukemea kuliko hao jamaa zako wako wakina lissu na lema wanakuna kende tuu hawajui la kufanya.
 
Nimeamini watanzania wengi ni wajinga.Ukiangalia wengi wameacha kujadili hoja ya msingi juu ya kuibiwa rasilimali zao kwa viongozi kuruhusiwa Kuiba wamebaki wakimjadili mleta hoja! Petty issues ambazo hazina msingi zimegeuka kuwa agenda na wapigaji wanatumia mwanya huohuo. Acha tupigwe tu [emoji119]
 
Back
Top Bottom