Mpumbavi
Mbona.yeye alipokwa anaturingishia MAVI8 Kuna mtu alimpinga!
Amekula amavimbiwa Sasa anatupulia!
Kuna mdau kakuuliza nani alimpigaLissu Risasi!?
Nami.naongeza hivi mnafikiri Damu ya Mawazo itawaacha salama
Mpumbavu kweli,hivi ktk mfumo was CCM Kuna mtu anaweza kumpinga Rais 😣View attachment 2100413
"Wapo watu wanakula urefu wa Kamba na wanavimbiwa, hivi hawa watu wana uhalali wa kutuambia sisi tuishi maisha ya uadilifu? na mimi nitakuwa nauliza na wewe unakula kwa urefu wa kamba? kama ndio basi usiongee na mimi". Polepole
"Mimi nilitegemea kuona kuna Mawaziri watajitokeza na kulaani ile kauli ya kula kwa urefu wa kamba kwamba kuna wenzetu wanakula kwa urefu wa kamba na kauli hii haikubaliki, mimi nilidhani watu watatoka, lakini wapi ni kwa sababu ni wanafiki" Polepole
Pia, soma: Thread 'Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...' Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
Mbona.yeye alipokwa anaturingishia MAVI8 Kuna mtu alimpinga!
Amekula amavimbiwa Sasa anatupulia!
Kuna mdau kakuuliza nani alimpigaLissu Risasi!?
Nami.naongeza hivi mnafikiri Damu ya Mawazo itawaacha salama