ANDREW JOSEPH
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 422
- 405
Polepole anafanya ziara ya chama au serikali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm ina survive kwa sababu ya ujinga, umasikini na maradhi ya Watanzania, huwezi kuwa na taifa lililostaarabika ukakumbatia chama kilichoshindwa kutatua changamoto za miaka nenda rudi.Mkuu umeongea ukweli kabisa alafu cha kuchekesha jimbo hilo limeshawahi kuwa chini ya CCM kwa takriban miaka 40 na hakuna la maana wabunge wa CCM walifanya leo hii wanataka kulirudisha kwa hoja gani??
Yaani wanataka kurudisha majimbo yote ya upinzani CCM kana kwamba majimbo yaliyo chini ya CCM kwa miaka 60 kama chemba, uyui au kibakwe yana maendeleo makubwa hadi kutuaminisha jimbo likirudi ccm linapata maendeleo!!
Hawa jamaa wanashangaza sana
Polepole ww ni Mteuliwa kabla kutoa kauli itadhimini kwanza. Zitto ni Mchumi kwa hiyo hawezi kuangaika hata uhadhuri ni kazi kwani huko vyuoni kuna watu hawajapata elimu ya uraia kwa hiyo atakuwa sio zitto wa mchezomchezo .Unamkumbuka Chachagechage na wengine wengi kwa hiyo kaa nalo hiliKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)
View attachment 718311
Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.
"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020
Chanzo: EATV
Well said.... Ila sidhani kwa tume hii labda kama mtapigania katiba mpyaHii ni kweli kabisa. Nitafanya kazi ya Urais
Utamuelewa tu...kadri madiwani na wabunge wa upinzani wanavyohamia CCMHicho kijamaa bana,hata sikaelewagi.kazi kuchongachonga tu
Hahahahahaa Saafi kabisa!!Hii ni kweli kabisa. Nitafanya kazi ya Urais
Naona povu limeanza...Kama hautaachana na twitter na kujikita kwenye issue za wana kigoma ni wazi ubunge ni bye bye....Hii ni kweli kabisa. Nitafanya kazi ya Urais
Taifa limekosa dira mkuu, ni mwendo wa kuvunja miiko ya taifa hili kwa kukanyaga katiba na sheria zakeKama Polepole anakagua miradi inayotekelezwa na serekali ya CCM haulizwi wala haambiwa Kuwa kufanya hivyoni kosa kwa Kuwa mikutano ya wanasiasa na kazi zozote za wanasiasa zimepigwa marufuku kufanywa tofauti na majimbo yao.
Wakati huohuo Zitto ambaye maneno haya yamesemewa jimboni ana kamatwa na kuswekwa lupango Kwa Kuwa amekwenda kuguwa miradi inayosimamiwa na madiwani wa chama chake Kwa ubaguzi Kama huu kweli Mungu atakwenda kutupa nafasi ya kuwaongoza malaika Kama tulivyoomba?.
Ila Msiue watu.Kasi ya rais magufuli itafagia upinzani uchwara wengi 2020.
Kwa jinsi polepolee alivyo angekua mganga wa jadi hakika angepiga sana hela,sura yake inamuaminisha kila mtu
Hahahaha hawa wananuka damu za raia wasio na hatia sidhani kama wanaweza kukuelewaIla Msiue watu.