Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga ni mzigo mzito sana kuubeba ila kwa sababu ya njaa na kiu ya mafanikio binafsi ndio huwafanya watu kuubeba japo dhamira zao zikiwa zinawashtaki
Kwahiyo Zitto kutorudi bungeni ndio Tanzania ya viwanda itafanikiwa!
Kweli ccm imekosa kabisa uhalali wa kuendelea kuongoza serikali, kama taifa tunahitaji kuona mipango na sera mbalimbali zenye tija na uelekeo wa kufikia Tanzania yenye uchumi wa kati, na siyo blah blah za kijinga zisizo na afya kwa ustawi wa nchi hii
Tunahitaji kuona mfumo wa uboreshaji wa elimu bure, kilimo chenye tija kinachoendana na mazingira ya sasa na siyo kilimo cha kutegemea matone ya mvua kutoka mawinguni, uchumi kuimarika badala ya kudorora, huduma bora za afya n.k
Kuendelea kuona kuwa wapinzani ni maadui wa nchi hii hamtafanikiwa kamwe kujenga taifa lenye maendeleo ya kweli
Mmeshindwa kupambana na changamoto za wananchi mmeamua kuyafanya mawazo mbadala kama ni tatizo nchi hii! Sijui nani aliwaambia kama sisi kipaumbele chetu kama taifa ni kuua upinzani wa vyama! Upinzani hatuna tatizo nao kabisa, tatizo ni ninyi kushindwa kuwa sehemu ya viongozi na kujigeuza kuwa watawala.
Polepole anakagua miradi kama nani?? Kwani CCM ndio inatoa pesa za miradi hadi atishie kwamba zitto harudi 2020??Tulia usome kwa umakini uelewe si kukimbilia kujibu
Hao madiwani wanatekeleza ilani ya ccm maana ndiyo iliyoshinda kwenye uchaguzi mkuu wa 2015. Ilani za vyama vingine zilishindwa, hivyo haviwezi na hairuhusiwi kisheria kutekelezwa sehemu ye yote ya nchi. Hii ni kwa mjibu wa katiba na sheria zetu. Ilani ya ccm inatekelezwa nchi nzima. Jimbo la ushindi la ccm ni nchi nzima na ndiyo maana Polepole ana legacy ya kutembea nchi nzima na kukutana na wananchi popote pale nchini kuhamasisha, kuelimisha na kusimamia utekelezaji wa ilani hiyo ya nchi.......miradi inayotekelezwa na madiwani wa kata zilizo chini ya ACT.....
Kama Hashim Rungu? Nchi hii marais wako wengiHii ni kweli kabisa. Nitafanya kazi ya Urais
Hawaeleweki hawa, hapa sijui anakumbuka naona leo anajifanya mwehu eti hakumbuki.Huyu vuvuzela wa umri kijana sura ya mzee hajawahi kua na hoja hata siku moja,yeye kuropoka kma mwenyekiti wke
Mh Rais mwenyewe alitoa mwisho Iwe mwezi wa 11 mwaka jana(2017)
Yy nani Mr Buyer Slow slow!??[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Embu usitufanye wote hatujui sheria... Kama ilani ikipitishwa si inazaa mpango wa taifa wa miaka 5 ambao unakuwa hauna CHAMA ila wa WATANZANIA wote na ilani ya CCM inageuka illani ya KITAIFA sasa hayo ya kusema ilani ya CCM ndio kisheria inatakiwa kutekelezwa umeutoa wapi?? Mara 10 ungesema mpango wa taifa hapo sawa ila ilani ya CCM inaukomo hapoHao madiwani wanatekeleza ilani ya ccm maana ndiyo iliyoshinda kwenye uchaguzi mkuu wa 2015. Ilani za vyama vingine zilishindwa, hivyo haviwezi na hairuhusiwi kisheria kutekelezwa sehemu ye yote ya nchi. Hii ni kwa mjibu wa katiba na sheria zetu. Ilani ya ccm inatekelezwa nchi nzima. Jimbo la ushindi la ccm ni nchi nzima na ndiyo maana Polepole ana legacy ya kutembea nchi nzima na kukutana na wananchi popote pale nchini kuhamasisha, kuelimisha na kusimamia utekelezaji wa ilani hiyo ya nchi.
Aah kumbe Chakubanga!atajibiwa na BulichekaKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)
View attachment 718311
Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.
"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020
Chanzo: EATV
Kwani ubunge ni ajira?!!!Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)
View attachment 718311
Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.
"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020
Chanzo: EATV
Well said mkuuUjinga ni mzigo mzito sana kuubeba ila kwa sababu ya njaa na kiu ya mafanikio binafsi ndio huwafanya watu kuubeba japo dhamira zao zikiwa zinawashtaki
Kwahiyo Zitto kutorudi bungeni ndio Tanzania ya viwanda itafanikiwa!
Kweli ccm imekosa kabisa uhalali wa kuendelea kuongoza serikali, kama taifa tunahitaji kuona mipango na sera mbalimbali zenye tija na uelekeo wa kufikia Tanzania yenye uchumi wa kati, na siyo blah blah za kijinga zisizo na afya kwa ustawi wa nchi hii
Tunahitaji kuona mfumo wa uboreshaji wa elimu bure, kilimo chenye tija kinachoendana na mazingira ya sasa na siyo kilimo cha kutegemea matone ya mvua kutoka mawinguni, uchumi kuimarika badala ya kudorora, huduma bora za afya n.k
Kuendelea kuona kuwa wapinzani ni maadui wa nchi hii hamtafanikiwa kamwe kujenga taifa lenye maendeleo ya kweli
Mmeshindwa kupambana na changamoto za wananchi mmeamua kuyafanya mawazo mbadala kama ni tatizo nchi hii! Sijui nani aliwaambia kama sisi kipaumbele chetu kama taifa ni kuua upinzani wa vyama! Upinzani hatuna tatizo nao kabisa, tatizo ni ninyi kushindwa kuwa sehemu ya viongozi na kujigeuza kuwa watawala.
Anapiga kampeni huyo, double standard.Wabunge wenye midomo lazima kura zao ziporwe wanauhakika 100% watazipora na hatarudi kama siyo kuzipora wanajuaje maamuzi ya wapiga kura
Mh. Zitto Urais wa TFF au??Hii ni kweli kabisa. Nitafanya kazi ya Urais