NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
nyuso zingine ndio maana huwezi jua kama zina ukoma au hazijanwa majihazina soni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaaHii ni kweli kabisa. Nitafanya kazi ya Urais
na kweli kwa kupachika makada wa ccm kama wasimamizi, kuwanyima viapo kama mlivyofanya uchaguzi wa madiwani, kuwafukuza kwenye vyumba vya kuhesabia kura mubaki wenyewe mbadilishe matokea, kuiba mabox ya kura na kurudishwa yakiwa yana kura tayari, hapo sawa mtashinda kwa kishindo tu
Zito alishahama upinzani siku nyingi sana.
Kwan Zito Ni mpinzan?
Huyo Ni kijana wao waache kuigiza
Hii ni kweli kabisa. Nitafanya kazi ya Urais
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)
View attachment 718311
Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.
"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020
Chanzo: EATV
Zito ni msomi mzuri tuu. Ana karata nyingi ikiwemo ya kuhamia kwenye chama dola. 2020 wapinzani watahamia wote CCM hata wao wanahitaji kula na wanafamilia piaKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)
View attachment 718311
Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.
"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020
Chanzo: EATV
Mungu aliongea nasi kwa kupitia mbunge Nasari akafanya kazi kiusahihi kama alivyotumwa na iliyompendeza Mungu kuleta ushahidi wa kununua madiwani ( Mnyeti). Sio lazima ukubali lakini ukikataa huu ushahidi wewe utakuwa shetani. Boy stop satanic behavior!!!!Hii zana ya kununua ni kichaka kipya cha ufipa boys kujificha ili wapate nafuu wakati chama kinateketea.
Stop this nonsense .