Uchaguzi 2020 Polepole: Zitto Kabwe atafute kazi nyingine, 2020 hatarudi Bungeni

Uchaguzi 2020 Polepole: Zitto Kabwe atafute kazi nyingine, 2020 hatarudi Bungeni

Huyu mjinga nani kamwambia kuwa ataiona 2020! Hiyo ni ndoto anayoota!
 
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)

View attachment 718311

Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.

"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020

Chanzo: EATV
Alafu taratibu bana mbunge atafute kazi nyingine kwa kupeleka train mwanza huku kigoma tukitaabika na mwanza wakiendelea kuwa nakila aina ya usafiri hatabidhaa zaujenzi wao wananua bei chini kuliko kigoma ccm huwa mnaipenda kgm wakati wa kura tu ccm haijawi kutuhurumia kgm zaidi yahadaa hayo maji magu je Alisha futa lini kauli yake yakusema yatapatikana mwishoni mwezi wa 11-2017 ilituripuke na hiyo kauli ya polepole yakutoa huduma ya maji mwezi 5-2018 nadhani haijuwi kigoma
 
Hivi una anzia wapi kuwaamin baadhi kuwa siyo maadui wanapofikia kuitaka jumuiya ya kimataifa ituwekee vikwazo vya kiuchumi, kisiasa, kidiplomasia na kadhalika....unaanzia wapi kuwaamini baadhi wanapoamua kwenda nchi ya jirani na kutumia vyombo vya nchi hiyo kuisema vibaya serikali ya nchini mwao...unaaazia wapi, na kuuliza.
===
Upinzani kuna baadhi ya watu muhimu sana wanaoitakia mema nchi yetu lakini wanazimwa na hawa ambao wanatupa mashaka ya uaminifu wao kwa nchi kwa maneno yao na matendo yao na wana sauti kweli hawa.
Wewe nae ni think tank ya maccm hapo ulipo
 
Badala ya kuhangaika na majimbo yanayoongozwa na upinzani wangejikita kwenye majimbo masikini kupindukia yanayoongozwa na wana ccm, mfano Kongwa kwa Job, Chemba kwa Nkamia, Mtela kwa Kibajaji, Kilindi, Pangani na mengineyo! 90% ya majimbo yanayoongozwa na Ccm ni masikini mno na hawana muda nayo! Ila Polepole ni miongoni mwa watu wanafiki sana!
Jimbo la Kishapu, Salawe, usiyasahau, haya majimbo ni ya hovyo zaidi
 
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)

View attachment 718311

Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.

"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020

Chanzo: EATV
Kupeleka maji tu ndo mmemaliza shida zao?
Laana ya karne !
 
Oh! Kwa hiyo successes na failures za utekelezaji wa masuala ya maendeleo kwenye majimbo na kata zote ni matunda ya CCM, siyo? Natumaini mtakumbuka hili kwenye kampeni, na siyo muanze kuwaponda wapinzani kwa kushindwa 'kuleta' maendeleo kwenye majimbo na kata zao.
Ndiyo maana yake. Wananchi waliwapa ridhaa ya kutekeleza hayo waliyowaahidi ndani ya miaka mitano. Baada ya hapo wananchi watawahukumu kupitia sanduku la kura 2020. Hivyo katika kipindi hiki wanajukumu ya kutekeleza hayo waliyoahidi. Tuwaache huru watekeleze ahadi za ilani yao. Tusiwakwamishe wala kuwawekea vizingiti vya kutekeleza ilani yao. Hakuna sababu za kuwapigia makelele, kuwakosoa na kuwatukana kwa sasa. Hakuna sababu ya nyie kuwashauri kama wanakosea kwani wakikosea ndiyo utakuwa mtaji wenu 2020. Mnatakiwa kuomba wazidi kukosea. Mukiwasahihisha mtakosa mtaji 2020. Infact mnatakiwa muwashauri vitu vya kuwapotosha ili kujenga mtaji wenu ifikapo 2020. Mnatakiwa kila siku kuwaombea wasifanikiwe ili muje mpate mtaji wa kuwashawishi wananchi wawachague ninyi. Hii diyo dhana ya multiparty politics inavyofanya kazi.
 
Tuwaache huru watekeleze ahadi za ilani yao. Tusiwakwamishe wala kuwawekea vizingiti vya kutekeleza ilani yao.

Kwa hiyo unasema kwamba umaskini na huduma mbovu za kijamii kunasababisha na serikali za CCM kukwamishwa na kuwekewa vizingiti kwenye kutekeleza ilani zao?

Ina maana serikali za CCM kushindwa kutenga 10% ya bajeti yake kwenye kilimo ili kuboresha maisha ya subsistence farmers (kwa mujibu wa Azimio la Maputo la mwaka 2003), kumesababishwa na wapinzani?

Serikali za CCM kushindwa kupeleka pesa za bajeti zilizoidhinishwa na Bunge ni kwa sababu ya vizingiti vya upinzani?

Unaweza kuwa specific katika kuelezea hivyo vizingiti na namna wanavyokwamisha na upinzani?

Hakuna sababu za kuwapigia makelele, kuwakosoa na kuwatukana kwa sasa.

Sababu ipo kwa kuwa maisha ya watu yanahusika hapa. Kwa akili zako za kikada, unaona sawa. Lakini mimi ninaangalia suala hili nje ya box la ukada. Siwezi kukaa kimya ati nisubiri miaka 5 iishe, wakati naona serikali ya CCM haifanyi sawa.

Hakuna sababu ya nyie kuwashauri kama wanakosea kwani wakikosea ndiyo utakuwa mtaji wenu 2020.

Wakikosea, tunaoumia ni sisi wananchi (wenye vyama, na wasio na vyama).

Mnatakiwa kuomba wazidi kukosea. Mukiwasahihisha mtakosa mtaji 2020.

Hapana, tunatakiwa kuwafanya wasikosee, ili wananchi wasiumie.

Infact mnatakiwa muwashauri vitu vya kuwapotosha ili kujenga mtaji wenu ifikapo 2020. Mnatakiwa kila siku kuwaombea wasifanikiwe ili muje mpate mtaji wa kuwashawishi wananchi wawachague ninyi. Hii diyo dhana ya multiparty politics inavyofanya kazi.

Rejea nilichokisema hapo juu.
 
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)

View attachment 718311

Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.

"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020

Chanzo: EATV
Biashara ya kununua anayoifanya kwa madiwani njaaa anadhani ataweza kununua na wananchi wa jimbo lote la Kigima???
 
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)

View attachment 718311

Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.

"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020

Chanzo: EATV
Siasa si zimezuiliwa ,sasa Hugo pole,anazunguka kama nani?? Au mfanyabiasharaaa?????
 
Back
Top Bottom